Kisiwa24 BlogKisiwa24 BlogKisiwa24 Blog
  • Ligi Ya NBC
    • Ratiba Ya NBC Tanzania
    • Msimamo NBC Tanzania
  • Makala
  • Ajira Mpya
  • Michezo
  • Vyuo Vyote
    • Kozi Zitolewazo Na Vyuo
    • Ada Za Vyuo
    • Sifa za Kujiunga Na Vyuo
    • Jnsi ya Kujiunga Na Vyuo
  • Education
    • Secondary Notes
      • O’ Level Notes
        • Form One
        • Form Two
        • Form Three
        • Form Four
      • A’ Level Notes
        • Form 5
        • Form 6
    • Secondary Syllabus
      • Primary Syllabus
      • O’ Level Syllabus
      • A’ Level Syllabus
  • Technology
    • Phone Review
© 2025 Kisiwa24 Blog. All Rights Reserved.
Reading: Viwango vya Mishahara ya Wachezaji wa Azam FC 2024/2025
Share
Font ResizerAa
Kisiwa24 BlogKisiwa24 Blog
Font ResizerAa
  • Ligi Ya NBC
    • Ratiba Ya NBC Tanzania
    • Msimamo NBC Tanzania
  • Makala
  • Ajira Mpya
  • Michezo
  • Vyuo Vyote
    • Kozi Zitolewazo Na Vyuo
    • Ada Za Vyuo
    • Sifa za Kujiunga Na Vyuo
    • Jnsi ya Kujiunga Na Vyuo
  • Education
    • Secondary Notes
    • Secondary Syllabus
  • Technology
    • Phone Review
  • Ligi Ya NBC
  • Makala
  • Ajira Mpya
  • Michezo
  • Vyuo Vyote
  • Education
  • Technology
© 2025 Kisiwa24 Blog. All Rights Reserved.
Home » Viwango vya Mishahara ya Wachezaji wa Azam FC 2024/2025
Michezo

Viwango vya Mishahara ya Wachezaji wa Azam FC 2024/2025

Kisiwa24
Last updated: December 25, 2024 11:56 am
Kisiwa24
Share
SHARE
MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

Viwango vya Mishahara ya Wachezaji wa Azam FC 2024/2025,Mishahara ya wachezaji wa Azam FC 2024/2025, Katika makala hii ya kimichezo tutaenda kumilikia viwango vya mishahara wanayolipwa wachezaji wa klabu ya Azam FC kwa msimu wa 2024/2025.

Kama wewe ni shabiki wa Azam FC huna budi kuweza kufahamu wachezaji wa klabu yako wanalipwa kiasi gani kwa mmoja mmoja, basi hapa utapata kujua mishahara ya wachezaji wote waliopo ndani ya klabu ya Azam FC.

Azam FC

Hii ni klabu maarufu sana nchini Tanzania kutokana na utajiri wa wawekezaji wake ambao ni Bhakresa Group. Timu hii inapatikana jijini Dar es Salaam na inatumia uwanja wa Azam Complex kama uwanja wake wanyumbani. Azam Fc kwa msimu huu wa 2024/2025 inashiriki katika ligi kuu ya NBC Tanzania bara

Kikosi Kinachounda Klabu ya Azam FC

Hapa chini ni jumla ya wachezaji wote wanounda kikosi cha Azm FC kwa msimu wa 2024/2025. Hatuwezi kuzungumzia mshahara wa wachezaji wa Azam FC bila kuwafahamu wachezaji hao na nafasi zao uwanjani.

Magolikipa

  • Mohamed Mustafa
  • Abdulai Iddrisu
  • Ali Ahamada
  • Zuberi Foba Masudi

Mabeki

  • Yeison Fuentes – Beki wa Kati
  • Lusajo Mwaikenda – Beki wa Kati
  • Yoro Diaby – Beki wa Kati
  • Abdalla Kheri – Beki wa Kati
  • Pascal Msindo – Beki wa Kushoto
  • Cheikh Sidibé – Beki wa Kushoto
  • Nathaniel Raphael Chilambo – Beki wa Kulia

Viungo

  • Ever Meza – Kiungo wa Ulinzi
  • Adolf Bitegeko – Kiungo wa Ulinzi
  • Yannick Bangala – Kiungo wa Ulinzi
  • Feisal Salum – Kiungo wa Kati
  • Sospeter Bajana – Kiungo wa Kati
  • James Akaminko – Kiungo wa Kati
  • Yahya Zayd – Kiungo wa Kushambulia
  • Tepsi Evance – Kiungo wa Kushambulia

Winga

  • Abdul Hamisi Suleiman – Winga wa Kushoto
  • Gibril Sillah – Winga wa Kushoto
  • Iddy Seleman Nado – Winga wa Kushoto
  • Franck Tiesse – Winga wa Kulia

Washambuliaji

  • Jhonier Blanco – Mshambuliaji wa Kati
  • Franklin Navarro – Mshambuliaji wa Kati
  • Nassor Saadun – Mshambuliaji
  • Adam Omar Adam – Mshambuliaji wa Kati
  • Alassane Diao – Mshambuliaji wa Kati

Mishahara ya wachezaji wa Azam FC 2024/2025

Baada ya kuweza kutizama kikosi kiachounda klabu ya Azam Fc embu sasa tutizame mishahara ya wachezaji wa Azam FC kwa msimu wa 2024/2025

Hapa chini ni jedwali linaloonyesha mshahara wa kila mchezaji aliyoko kwenye klabu ya Azam FC.

Jina la Mchezaji Nafasi Yake Uwanjani Mshahara (TZS)
Mohamed Mustafa Golikipa 8M
Abdulai Iddrisu Golikipa 3M
Ali Ahamada Golikipa 13M
Zuberi Foba Masudi Golikipa –
Yeison Fuentes Beki wa Kati 6.2M
Lusajo Mwaikenda Beki wa Kati 2M
Yoro Diaby Beki wa Kati –
Abdalla Kheri Beki wa Kati 1.9M
Pascal Msindo Beki wa Kushoto 2M
Cheikh Sidibé Beki wa Kushoto 6M
Nathaniel Raphael Chilambo Beki wa Kulia 1.3M
Ever Meza Kiungo wa Ulinzi 5M
Adolf Bitegeko Kiungo wa Ulinzi 25K
Yannick Bangala Kiungo wa Ulinzi 5M
Feisal Salum Kiungo wa Kati 17.8M
Sospeter Bajana Kiungo wa Kati 3.4M
James Akaminko Kiungo wa Kati 5M
Yahya Zayd Kiungo wa Kushambulia 3M
Tepsi Evance Kiungo wa Kushambulia 800K
Abdul Hamisi Suleiman Winga wa Kushoto 2.7M
Gibril Sillah Winga wa Kushoto 6M
Iddy Seleman Nado Winga wa Kushoto 3M
Franck Tiesse Winga wa Kulia 7M
Jhonier Blanco Mshambuliaji wa Kati 10M
Franklin Navarro Mshambuliaji wa Kati 5.6M
Nassor Saadun Mshambuliaji 900K
Adam Omar Adam Mshambuliaji wa Kati 1M
Alassane Diao Mshambuliaji wa Kati 4M

Mwnozo wa mishahara ya wachezaji wa klabu ya Azam Fc umekua kichocheo kikubwa kwa wachezaji wenye uwezo wa juu kutamani kujiunga na klabu hiyo wakiwa na matarajio ya kulipwa vizuri, kitu kinacho fanya timu hiyo kuwa na wachezaji wenye uwezo wa hali yajuu na wenye kujituma zaidi wawapo uwanjani katika kutafuta matokeo bora kwa timu yao.

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

You Might Also Like

Ratiba ya Nusu Fainali Samia Women Super Cup 2025

Mechi ya Yanga vs Mshujaa leo 19/12/2024 Itakua Saa Ngapi?

Kikosi cha Simba VS KenGold Leo 18/12/2024

Ratiba Ya Mechi Za Simba SC Ligi Kuu Ya NBC Premier Msimu Wa 2024/2025

Ratiba ya Mechi za Leo Jumatano 18/12/2024

Share This Article
Facebook Whatsapp Whatsapp Telegram Copy Link Print
What do you think?
Love0
Happy0
Joy0
Sad0
Previous Article Nafasi Mbalimbali za Kazi Micro1 Nafasi Mbalimbali za Kazi Micro1
Next Article Wachezaji Wanaolipwa Pesa Nyingi Yanga Sc Wachezaji Wanaolipwa Pesa Nyingi Yanga Sc 2024/2025
Leave a review

Leave a Review Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Please select a rating!

banner banner
Kwa Matangazo ya Ajira Mpya 2025
Je unatafuta kazi? basi kutazama nafasi mpya za kazi zinazitoka kila siku bonyeza BUTTON hapo chini
Bofya HAPA

Latest News

KIKOSI Cha Simba Sc vs KMC leo 11 May 2025
KIKOSI Cha Simba Sc vs KMC leo 11 May 2025
Michezo
Nafasi za Kazi Tradesperson 1 - Mechanic at Geita Gold Mining Ltd (GGML) May 2025
Nafasi za Kazi Tradesperson 1 – Mechanic at Geita Gold Mining Ltd (GGML) May 2025
Nafasi Za Kazi Tanzania 2025
Nafasi za Kazi Courier at DHL Group May 2025
Nafasi za Kazi Courier at DHL Group May 2025
Nafasi Za Kazi Tanzania 2025
Msimamo wa ligi kuu ya NBC
Msimamo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara 2024/2025
Michezo
Mabasi Ya Dar To Morogoro
Mabasi Ya Dar To Morogoro
Makala
NECTA Matokeo ya Kidato cha Sita 20252026 Mkoa wa Kagera
NECTA Matokeo ya Kidato cha Sita 2025/2026 Mkoa wa Kagera
NECTA Form Six Results 2025/2026

You Might also Like

Tanzania Vs Guinea Leo 19 Novemba 2024
Michezo

Tanzania Vs Guinea Leo 19 Novemba 2024

Kisiwa24 Kisiwa24 4 Min Read
Matokeo Ya Yanga SC vs Kaizer Chiefs Leo 28 Julai 2024
MatokeoMichezo

Matokeo Ya Yanga SC vs Kaizer Chiefs Leo 28 Julai 2024

Kisiwa24 Kisiwa24 8 Min Read
Timu Yenye Magori Mengi Ligi Kuu Ya NBC
Michezo

Timu Yenye Magori Mengi Ligi Kuu Ya NBC 2024/2025

Kisiwa24 Kisiwa24 4 Min Read
Kikosi cha Pamba Jiji
Michezo

Kikosi cha Pamba Jiji dhidi ya Tanzania Prisons Ligi Kuu Ya Nbc Tanzania 16/08/2024

Kisiwa24 Kisiwa24 1 Min Read
Ratiba ya Mechi za Leo Ligi Kuu Ya NBC
Michezo

Ratiba ya Mechi za Leo Ligi Kuu Ya NBC 10/02/2025

Kisiwa24 Kisiwa24 5 Min Read
Wachezaji wanaolipwa pesa nyingi Tanzania 2024
Michezo

Wachezaji wanaolipwa pesa nyingi Tanzania 2025

Kisiwa24 Kisiwa24 3 Min Read
Kisiwa24 BlogKisiwa24 Blog
© 2025 Kisiwa24 Blog All Rights Reserved.
adbanner