Kisiwa24 BlogKisiwa24 BlogKisiwa24 Blog
  • Ligi Ya NBC
    • Ratiba Ya NBC Tanzania
    • Msimamo NBC Tanzania
  • Makala
  • Ajira Mpya
  • Michezo
  • Vyuo Vyote
    • Kozi Zitolewazo Na Vyuo
    • Ada Za Vyuo
    • Sifa za Kujiunga Na Vyuo
    • Jnsi ya Kujiunga Na Vyuo
  • Education
    • Secondary Notes
      • O’ Level Notes
        • Form One
        • Form Two
        • Form Three
        • Form Four
      • A’ Level Notes
        • Form 5
        • Form 6
    • Secondary Syllabus
      • Primary Syllabus
      • O’ Level Syllabus
      • A’ Level Syllabus
  • Technology
    • Phone Review
© 2025 Kisiwa24 Blog. All Rights Reserved.
Reading: Yanga vs Mashuja Leo 19/12/2024
Share
Font ResizerAa
Kisiwa24 BlogKisiwa24 Blog
Font ResizerAa
  • Ligi Ya NBC
    • Ratiba Ya NBC Tanzania
    • Msimamo NBC Tanzania
  • Makala
  • Ajira Mpya
  • Michezo
  • Vyuo Vyote
    • Kozi Zitolewazo Na Vyuo
    • Ada Za Vyuo
    • Sifa za Kujiunga Na Vyuo
    • Jnsi ya Kujiunga Na Vyuo
  • Education
    • Secondary Notes
    • Secondary Syllabus
  • Technology
    • Phone Review
  • Ligi Ya NBC
  • Makala
  • Ajira Mpya
  • Michezo
  • Vyuo Vyote
  • Education
  • Technology
© 2025 Kisiwa24 Blog. All Rights Reserved.
Home » Yanga vs Mashuja Leo 19/12/2024
Michezo

Yanga vs Mashuja Leo 19/12/2024

Kisiwa24
Last updated: December 18, 2024 6:22 pm
Kisiwa24
Share
SHARE
MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

Yanga vs Mashuja Leo 19/12/2024, habari mwanamichezo wa Kisiwa24, karibu katika makala hii fupi itakayoenda kutoa uchambuzi mfupi wa mechi ya Yanga Dhidi ya Mashujaa kwenye ligi kuu ya NBC Tanzania bara msimu wa 2024/2025

Contents
Yanga vs Mashuja Leo 19/12/2024Mapendekezo ya Mhariri:

Yanga vs Mashuja Leo 19/12/2024

Mechi ya Yanga na Mashujaa ni mechi ya matumaini mapya kwa klabu ya Yanga ambayo imetoka kushiriki michuano ya klabu bigwa Afrika kwa kucheza michezo 3, katika michezo hiyo mitatu Yanga imepoteza michezo 2 na kutoa sare mchezo mmoja.

Nafasi ya Kila Timu kwenye Ligi kuu ya NBC

Yanga SC

Kwenye msimamo wa ligi kuu ya NBC klabu ya yanga ipo katika nafasi ya 4 ikiwa imecheza taklibani michezo 11 na kujikusanyia pointi 27. Katika michezo 11 ambayo klabu ya Yanga imefanikiwa kuicheza kwenye ligi kuu ya NBC imeshinda michezo 9 na kupoteza michezo 2.

Mashujaa FC

Klabu ya mashujaa inakutana na Yanga kwenye mchezo wa ligi kuu ya NBC round ya 4 ikiwa katika nafasi ya 7 huku ikiwa imefanikiwa kucheza michezo 14, katika michezo hiyo 14, imeshinda michezo 4, imetoa sare michezo 7 na kufungwa michezo 3 hivyo kujinyakulia pointi 19.

Utabiri wa Mchezo

Kutokana na uzoefua na rekodi za nyuma mchezo huu klabu ya Yanga inanafasi kubwa ya kushinda mchezo huu. kama klabu ya Yanga itashinda mchezo huu itakua na pointi 30 hivyo kusongea hadi nafasi ya 3 mbele ya Singida Big Stars kwa utofauti wa magoli.

Ila kama mashujaa atashinda mchezo huu atasogea hadi nafasi ya sita kwa kua na pointi 22 na kuishisha klabu ya Fountain Gate ambayo inapointi 20.

Kama mchezo utamalizika kwa matokeo ya Sare basi kila timu itasalia kwenye nafasi iliyopo kwani Yanga itakia na pointi 28 na Mashujaa itakua na pointi 20.

Muda na Mahari Mchezo utakapochezwa

Mechi hii ya Yanga vs Mashujaa itachezewa jijini Dar es salaam

  • Uwanja wa Benjamini Mkapa
  • Muda; 6:00 jioni

Je wewe kama shabiki wa Yanga au Mashujaa nini matarajio yako kueleka mchezo huu? unaweza kuacha komenti yako hapo chini

Mapendekezo ya Mhariri:

1. CV ya Fahad Aziz Bayo Mchezaji Mpya wa Yanga Sc

2. TETESI  za Usajili Yanga SC 2024/2025

3. Orodha ya Makombe Yote ya Simba SC Kwenye Ligi Kuu Tanzania

4. Msimamo wa Ligi ya NBC Championship Tanzania 2024/2025

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

You Might Also Like

Orodha ya Mabingwa wa UEFA Champions League 1955-2025

Kikosi cha simba kilicho safiri kuelekea TUNISIA

CV ya Mamadou Samake Mchezaji Mpya wa Azam FC

Msimamo Wa Kundi C CAF Champions League 2024/2025

Utajiri wa Mchezaji Cristiano Ronaldo

Share This Article
Facebook Whatsapp Whatsapp Telegram Copy Link Print
What do you think?
Love0
Happy0
Joy0
Sad0
Previous Article CV ya Fahad Aziz Bayo Mchezaji Mpya wa Yanga Sc CV ya Fahad Aziz Bayo Mchezaji Mpya wa Yanga Sc
Next Article Matokeo ya Yanga Vs Mashujaa Leo 19/12/2024 Matokeo ya Yanga Vs Mashujaa Leo 19/12/2024
Leave a review

Leave a Review Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Please select a rating!

banner banner
Kwa Matangazo ya Ajira Mpya 2025
Je unatafuta kazi? basi kutazama nafasi mpya za kazi zinazitoka kila siku bonyeza BUTTON hapo chini
Bofya HAPA

Latest News

KIKOSI Cha Simba Sc vs KMC leo 11 May 2025
KIKOSI Cha Simba Sc vs KMC leo 11 May 2025
Michezo
Nafasi za Kazi Tradesperson 1 - Mechanic at Geita Gold Mining Ltd (GGML) May 2025
Nafasi za Kazi Tradesperson 1 – Mechanic at Geita Gold Mining Ltd (GGML) May 2025
Nafasi Za Kazi Tanzania 2025
Nafasi za Kazi Courier at DHL Group May 2025
Nafasi za Kazi Courier at DHL Group May 2025
Nafasi Za Kazi Tanzania 2025
Msimamo wa ligi kuu ya NBC
Msimamo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara 2024/2025
Michezo
Mabasi Ya Dar To Morogoro
Mabasi Ya Dar To Morogoro
Makala
NECTA Matokeo ya Kidato cha Sita 20252026 Mkoa wa Kagera
NECTA Matokeo ya Kidato cha Sita 2025/2026 Mkoa wa Kagera
NECTA Form Six Results 2025/2026

You Might also Like

Cv ya Sead Ramovic Kocha Mpya wa Klabu ya Yanga
Michezo

Cv ya Sead Ramovic Kocha Mpya wa Klabu ya Yanga

Kisiwa24 Kisiwa24 3 Min Read

Ratiba Ya Mechi za Chelsea Zilizobaki Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) 2024/2025

Kisiwa24 Kisiwa24 4 Min Read
Msimamo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara 2024/2025
Michezo

Msimamo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara 2024/2025

Kisiwa24 Kisiwa24 4 Min Read
Idadi Ya Makombe Alioshinda Yanga kwenye Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara
Michezo

Idadi Ya Makombe Alioshinda Yanga kwenye Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara

Kisiwa24 Kisiwa24 2 Min Read

Jinsi ya Kuweka na Kutoa Pesa Premier Bet 2025

Kisiwa24 Kisiwa24 4 Min Read

Jumla ya Makombe ya Simba Tangu Mwaka 1936

Kisiwa24 Kisiwa24 5 Min Read
Kisiwa24 BlogKisiwa24 Blog
© 2025 Kisiwa24 Blog All Rights Reserved.
adbanner