Close Menu
  • Home
  • Ajira
  • Michezo
  • Makala

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

MAJINA Walioitwa Kazini Chuo Kikuu Cha UDSM

December 13, 2025

NAFASI za Kazi Equity Bank Tanzania Limited

December 13, 2025

NAFASI Za Kazi DTB Bank Tanzania

December 13, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Kisiwa24Kisiwa24
  • Home
  • Ajira
  • Michezo
  • Makala
Subscribe
Kisiwa24Kisiwa24
Home»Michezo»Idadi Ya Makombe Alioshinda Yanga kwenye Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara
Michezo

Idadi Ya Makombe Alioshinda Yanga kwenye Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara

Kisiwa24By Kisiwa24December 11, 2024No Comments2 Mins Read
Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Idadi Ya Makombe Alioshinda Yanga kwenye Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara, Klabu ya Yanga ni moja ya klabu maarufu zaidi Tanzania na Afrika kwa ujumla.Yanga Sc imeanzishwa February 11, 1935, Inamakazi yake katika jiji la Dar es Salaam. Klabu ya Yanga inamajina ya utani kama vile Wananchi Fc; Vijana Stars (The Young Stars); Wananchi (kiboko).

Toka kuanzishwa kwake imekua ikishiriki katika kwenye ligi kuu ya Tanzania Bara ambayo kwa sasa inajulikana kama NBC Premier League. Kwa sasa klabu ya yanga inahudumiwa na kocha Sead Ramović.

Idadi Ya Makombe Alioshinda Yanga kwenye Ligi Kuu ya NBC

Hapa chini ni miaka ambayo klabu ya Yanga iliweza kuchukua ubingwa wa ligi kuu ya NBC toka kuanzishwa kwake mwaka 1935.

2023/2024

  • Yanga ilichukua ubingwa kwa pointi 80

2022/2023

  • Yanga ilichukua ubingwa kwa pointi 78

2021/2022

  • Yanga ilichukua ubingwa kwa pointi 74

2016/2017

  • Yanga ilichukua ubingwa kwa pointi 68

2015/2016

  • Yanga ilichukua ubingwa kwa pointi 73

2014/2015

  • Yanga ilichukua ubingwa kwa pointi 55

2012/2013

  • Yanga ilichukua ubingwa kwa pointi 60

2010/2011

  • Yanga ilichukua ubingwa kwa pointi 49

2008/2009

  • Yanga ilichukua ubingwa kwa pointi 28

2007/2008

  • Yanga ilichukua ubingwa kwa pointi 80

2006

  • Yanga ilichukua ubingwa kwa pointi 70

Makombe mengine amabayo Yanga aliweza kuyachukua kwenye ligi kuu ya NBC Tanzania bara ni yale ya mwaka;

  1. 2005
  2. 2002
  3. 1997
  4. 1996
  5. 1993
  6. 1992
  7. 1991
  8. 1989
  9. 1987
  10. 1985
  11. 1983
  12. 1981
  13. 1974
  14. 1972
  15. 1971
  16. 1970
  17. 1969
  18. 1968

Tangu mwaka 1968 hadi sasa klabu ya Yanga imechukua makombe 27 kwenye ligi kuu ya NBC Tanzania Bara na ndio imekua klabu yenye historia ya kua klabu iliyochukua makombe mengi zaidi ya ligi ya NBC Tanzania Bara.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
Previous ArticleNafasi za Kazi Chuo cha Bugando (CUHAS) Desemba 2024
Next Article Ratiba ya NBC Championship Tanzania 2024/2025 Ligi Daraja la Kwanza
Kisiwa24

Related Posts

Michezo

MATOKEO Simba vs Azam FC 07 December 2025

December 7, 2025
Michezo

Kikosi cha Simba vs Azam Leo 07/12/2025

December 7, 2025
Michezo

Matokeo ya Coastal Union Vs Yanga Sc Leo 7/12/2025 Ligi Kuu ya NBC Bara

December 7, 2025
Add A Comment
Leave A Reply Cancel Reply

Recent Posts

  • MAJINA Walioitwa Kazini Chuo Kikuu Cha UDSM
  • NAFASI za Kazi Equity Bank Tanzania Limited
  • NAFASI Za Kazi DTB Bank Tanzania
  • NAFASI za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
  • NAFASI za Kazi Chuo Kikuu Huria Cha Tanzania

Recent Comments

No comments to show.
Demo
Top Posts

MAJINA Walioitwa Kwenye Usaili MDAs & LGAs

December 6, 2025780 Views

NAFASI za Kazi Za Mkataba Wizara Ya Maliasili Na Utalii

December 6, 2025442 Views

NAFASI Mpya 5476 za Mafunzo ya Ufundi Stadi Katika Fani Mbalimbali

December 6, 2025424 Views
Stay In Touch
  • Facebook
  • YouTube
  • TikTok
  • WhatsApp
  • Twitter
  • Instagram
Latest Reviews

Subscribe to Updates

Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

Demo
© 2025 Kiswa24 Blog. Designed by Kisiwa24.

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.