Close Menu
  • Home
  • Ajira
  • Michezo
  • Makala

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

MAJINA Walioitwa Kazini Chuo Kikuu Cha UDSM

December 13, 2025

NAFASI za Kazi Equity Bank Tanzania Limited

December 13, 2025

NAFASI Za Kazi DTB Bank Tanzania

December 13, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Kisiwa24Kisiwa24
  • Home
  • Ajira
  • Michezo
  • Makala
Subscribe
Kisiwa24Kisiwa24
Home»Michezo»Huyu Hapa Kocha Mpya Wa Manchester United Mrithi Wa Ten Hag
Michezo

Huyu Hapa Kocha Mpya Wa Manchester United Mrithi Wa Ten Hag

Kisiwa24By Kisiwa24October 28, 2024No Comments3 Mins Read
Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Huyu Hapa Kocha Mpya Wa Manchester United Mrithi Wa Ten Hag, Jumatatu ya tarehe 28 mashabiki na wapenzi wa soka duniani kote walishuhudia klabu kubwa duniani Man Utd ikimfukuza kocha wake mkuu Eric Ten Hag kufuatia matokeo mabovu ya mfururizo kwa takribani mechi 8.

Matokeo yaliochangia kufukuzwa kwake ni mechi yake na West Ham Utd uyliofanyika siku ya jumapili ya tarehe 27 mwezi 10 kufuatia kichapo cha goli 2 kwa 1.

Kocha Mpya Wa Manchester United

Kocha Mpya Wa Manchester United
Kocha Mpya Wa Manchester United

Mrith wa Ten Hag kwa Muda Mfupi

Baada ya kufukuzwa kwake uongozi wa klabu ulimteua aliyekua kocha msaidizi wa Ten Hag Ruud van Nistelrooy kukiongoza kikosi hicho cha mashetani wekundu kwa muda.

Ten Hag anaondoka klabuni hapo akiacha Man utd katika nafasi ya 14 kwenye msimamo wa ligi kuu ya uingeleza huku ikiwa na pointi 11 na kucheza michezo 9 huku ikiwa na GD ya -3

Nani Kurithi mikoba ya Ten Hag Man Utd?

Kumekua na fufunu za makocha wengi kusakwa na matajiri wa united wakihitaji saini zao ili kukinoa kikosi hicho cha mashetani wekundu.

Miongoni mwa makocha wanaosakwa na wamiliki wa klabu ya Manchester United ni pamoja na hawa walioko kwenye picha hapa chini.

Kocha Mpya Wa Manchester United

Hao ndio makocha watano wanao waniwa ili kuweza kuchukua nafasi ya Eric Ten Hag ndani ya kikosi cha Man Utd

Embu Tupitie Wasifu wao Kwa Ufupi

Mmoja kati ya hawa hapa ndio anaetajwa kuchukua mikoba ya Eric Ten Hag katika klabu ya Man Utd ingwa kwa sasa R . Van Nistelrooy ndiye anaye hudumu kama kocha wa mpito apo awali alikua kocha msaidizi wa Ten Hag.

1. R. van Nistelrooy

Umri – Miaka 48

Kama kocha ameweza kushiriki michezo 148, ameshinda michezo 76, amedroo michezo 33 na kupoteza michezo 39.

2. Xavi

Umri – Miaka 44

Kama kocha ameweza kushiriki michezo 239, ameshinda michezo 157, amedroo michezo 36 na kupoteza michezo 46.

3. R. Amorim

Umri – Miaka 39

Kama kocha ameweza kushiriki michezo 244, ameshinda michezo 174, amedroo michezo 34 na kupoteza michezo 36.

4. G. Southgate

Umri – Miaka 54

Kama kocha ameweza kushiriki michezo 287, ameshinda michezo 138, amedroo michezo 64 na kupoteza michezo 85.

5. T. Frank

Umri – Miaka 51

Kama kocha ameweza kushiriki michezo 424, ameshinda michezo 191, amedroo michezo 97 na kupoteza michezo 136.

Hitimisho

Embu tuambie wewe kama shabiki wa Manchester Utd na shabiki wa soka la uingereza unadhani kutoka kwenye orodha hiyo hapo juu ni nani ataechukua mikoba ya Ten Hag pale Old Trafford ili kukinoa kikosi cha mashetani wekundu? Acha komenti yako hapo chini kupitia kisanduku cha maoni.

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
Previous ArticleRodri Mshindi Wa Ballon d’Or Msimu wa 2024
Next Article Jinsi ya Kutumia Kadi Ya GUSA AzamPesa
Kisiwa24

Related Posts

Michezo

MATOKEO Simba vs Azam FC 07 December 2025

December 7, 2025
Michezo

Kikosi cha Simba vs Azam Leo 07/12/2025

December 7, 2025
Michezo

Matokeo ya Coastal Union Vs Yanga Sc Leo 7/12/2025 Ligi Kuu ya NBC Bara

December 7, 2025
Add A Comment
Leave A Reply Cancel Reply

Recent Posts

  • MAJINA Walioitwa Kazini Chuo Kikuu Cha UDSM
  • NAFASI za Kazi Equity Bank Tanzania Limited
  • NAFASI Za Kazi DTB Bank Tanzania
  • NAFASI za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
  • NAFASI za Kazi Chuo Kikuu Huria Cha Tanzania

Recent Comments

No comments to show.
Demo
Top Posts

MAJINA Walioitwa Kwenye Usaili MDAs & LGAs

December 6, 2025783 Views

Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2025

July 12, 2025555 Views

NAFASI za Kazi Za Mkataba Wizara Ya Maliasili Na Utalii

December 6, 2025445 Views
Stay In Touch
  • Facebook
  • YouTube
  • TikTok
  • WhatsApp
  • Twitter
  • Instagram
Latest Reviews

Subscribe to Updates

Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

Demo
© 2025 Kiswa24 Blog. Designed by Kisiwa24.

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.