TAMISEMI: FORM FIVE SELECTION 2025/2026

_________________________________________________

MATANGAZO YA AJIRA  KILA SIKU BOFYA HAPA

_________________________________________________

NOTES ZA KIDATO CHA 1 HADI 6 BOFYA HAPA

_________________________________________________

MAGROUP MAPYA YA WHATSAAP BOFYA HAPA

_________________________________________________
MATANGO YA AJIRA BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

Iran Yaua 18 Shambulio la Israel October 1

Filed in Habari by on October 14, 2024 0 Comments

Iran Yaua 18 Shambulio la Israel October 1

Tangazo

Habari hii na nyingine nyingi zinapatikana kwenye telegram channel yetu na WhatsApp channel yetu tumia linki hapo chini kujiunga

BONYEZA HAPA KUJIUNGA NA TELEGRAM CHANNEL YETU

Wa Israel 18 wameripotiwa kupoteza maisha baada ya shambulio kali lililofanywa na Iran mnamo tarehe 1 October mwaka huu. Iran iliweza kutuma zaidi ya makombola 180 nyenye aina ya balisti kwa inchi ya Israel yaliopelekea vifo vya watu 18 na majeruhi

Kutokana na shambulio hilo imepelekea Uingereza kuweza kutangaza vikwazo la baadhi ya maafisa wa kijeshi wa taifa la Iran.  kufuatia shambulio hilo.

How Israel managed to intercept '99 per cent' of Iran's drone and missile  attack - ABC News

Waliowekew vizui ni pamoja na

  • Abdolrahim Mousavi – Ambaye ni kamanda wa jeshi la Iran
  • Hamid Vahedi – kamanda wa jeshi la anga la Iran
  • Mjumbe wa Baraza Kuu la Usalama la Taifa la Iran

Vikwazo vilivyowekwa kwao ni pamoja na kutokusafiri nje ya nchi na mali zao zote kuzuiliwa, hayo yameweza kusemwa na wizara ya mambo ya nje ya Uingereza.

Taarifa kutoka Israel zinasema makombora mengi yaliweza kuzuiliwa wakati yalipokua yakifanya shambulizi kutokea Iran.

MATANGO YA AJIRA BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *