Kisiwa24 BlogKisiwa24 BlogKisiwa24 Blog
  • Ligi Ya NBC
    • Ratiba Ya NBC Tanzania
    • Msimamo NBC Tanzania
  • Makala
  • Ajira Mpya
  • Michezo
  • Vyuo Vyote
    • Kozi Zitolewazo Na Vyuo
    • Ada Za Vyuo
    • Sifa za Kujiunga Na Vyuo
    • Jnsi ya Kujiunga Na Vyuo
  • Education
    • Secondary Notes
      • O’ Level Notes
        • Form One
        • Form Two
        • Form Three
        • Form Four
      • A’ Level Notes
        • Form 5
        • Form 6
    • Secondary Syllabus
      • Primary Syllabus
      • O’ Level Syllabus
      • A’ Level Syllabus
  • Technology
    • Phone Review
© 2025 Kisiwa24 Blog. All Rights Reserved.
Reading: Kikosi cha Yanga vs Al-Hilal leo Ijuma 06/12/2024 Klabu Bingwa Afrika
Share
Font ResizerAa
Kisiwa24 BlogKisiwa24 Blog
Font ResizerAa
  • Ligi Ya NBC
    • Ratiba Ya NBC Tanzania
    • Msimamo NBC Tanzania
  • Makala
  • Ajira Mpya
  • Michezo
  • Vyuo Vyote
    • Kozi Zitolewazo Na Vyuo
    • Ada Za Vyuo
    • Sifa za Kujiunga Na Vyuo
    • Jnsi ya Kujiunga Na Vyuo
  • Education
    • Secondary Notes
    • Secondary Syllabus
  • Technology
    • Phone Review
  • Ligi Ya NBC
  • Makala
  • Ajira Mpya
  • Michezo
  • Vyuo Vyote
  • Education
  • Technology
© 2025 Kisiwa24 Blog. All Rights Reserved.
Home » Kikosi cha Yanga vs Al-Hilal leo Ijuma 06/12/2024 Klabu Bingwa Afrika
Michezo

Kikosi cha Yanga vs Al-Hilal leo Ijuma 06/12/2024 Klabu Bingwa Afrika

Kisiwa24
Last updated: October 9, 2024 4:06 am
Kisiwa24
Share
SHARE
MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

Kikosi cha Yanga vs Al-Hilal leo Ijuma 06/12/2024 Klabu Bingwa Afrika

Contents
Kundi la Yanga Klabu Bingwa AfrikaHitimisho

Tangazo

Habari hii na nyingine nyingi zinapatikana kwenye telegram channel yetu na WhatsApp channel yetu tumia linki hapo chini kujiunga

BONYEZA HAPA KUJIUNGA NA TELEGRAM CHANNEL YETU

Kikosi cha Yanga vs Al-Hilal leo Ijuma 06/12/2024 Klabu Bingwa Afrika, Habari mwanasoka wa Habarika24, katika mala hii tutaenda kuangazia kikosi cha klabu ya Yanga dhidi ya klabu ya Al-Hilal Omudurman kitakachoenda kucheza leo katika ligi ya Mabingwa barani Afrika.

Kundi la Yanga Klabu Bingwa Afrika

Baada ya kuchezeshwa kwa droo ya kupanga makundi katika michuano ya klabu bingwa Afrika (CAF Champions Leagure ) klabu ya yanga iliweza kuwekwa katika kundi A lenye timu nne ambazo ni.

  • TP Mazembe (DR Congo)
  • Yanga (Tanzania)
  • Al Hilal SC (Sudan)
  • MC Alger (Algeria)

Leo Yanga ana cheza na na klabu ya Al-Hilal Omdurman ya kutokea Sudani katika hatua ya makundi, huu ndio mchezo wa kwanza kabisa kwa blabu ya Yanga katika kusaka tiketi ya kufuzu kwenda robo fainali ya Michuano ya klabu bingwa barani Afrika.

Kikosi cha Yanga vs Al-Hilal leo Ijuma 06/12/2024 Klabu Bingwa Afrika

Hapa chini ni kikosi cha wachezaji wa Yanga wanao tarajia kucheza katika mchezo huu wa hatua ya makundi dhidi ya klabu ya Al-Hilal Omdurman ya huko Sudan

  1. Djigui Diarra
  2. Abutwalib Mshery
  3. Nickson Kibabage
  4. Kouassi Yao
  5. Farid Mussa
  6. Dickson Job
  7. Bakari Mwamnyeto
  8. Ibrahim Abdallah
  9. Max Nzengeli
  10. Khalid Aucho
  11. Pacome Zouzoua
  12. Stephen Aziz Ki
  13. Mudathir Yahya
  14. Salum Abubakar
  15. Clement Mzize
  16. Clatous Chama
  17. Prince Dube
  18. Chadrack Boka
  19. Khomeiny Aboubakar
  20. Aziz Andabwile
  21. Duke Abuya
  22. Kennedy Musonda
  23. Jean Othos Baleke

Hapo juu ni orodha ya wachezaji 23 ambao ndio wanaunda kikosi cha klabu ya Yanga katika michuano ya ligi ya mabingwa barani Afrika na miongoni mwa wachezaji hapo juu ndio wanaotarajia kuanza katika kikosi dhidi ya klabu ya Al-Hilal Omdurman leo Ijuma 06/12/2024 katika mchezo wa hatua ya makundi Klabu Bingwa Afrika.

Kikosi kamili kitakacho anza tutakitoa hapa mara baada ya kutangazwa rasmi.

Mtarajio ya Mchezo

Mchezo utakua wa upinzani sana kwani kila timu inatarajia kupata ushindi wa mapema. Yanga atakua nyumbani kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa ni matarajio makubwa kwa mashabiki wa Yanga na taifa la Tanzania kwa klabu yao kushinda mchezo huu

Hitimisho

Kama wewe shabiki wa Yanga embu tuambie ungepewa nafasi ya kuunda kikosi cha Yanga kitakacho cheza na Al-Hilal Omdurman leo Ijuma 06/12/2024 katika michuano ya Klabu Bingwa Afrika hatua hii ya makundi ungeweka wachezaji gani?. Embu tumia uwanja wa komenti hapo chini kupanda first eleven yako.

Mapendekezo ya Mhariri;

1. Ratiba ya Mechi za Yanga Klabu Bingwa Afrika 2024/2025

2. Ratiba ya Michuano ya Klabu Bingwa Afrika 2024/2025 

3. Kundi la Yanga SC Klabu Bingwa Afrika 2024/2025

4. Makundi ya Klabu Bingwa Africa Msimu wa 2024/2025

5. Jinsi ya Kununua Tiketi za Mpira kupitia N Card 

Asante kwa kusoma makala yetu hadi mwisho, ikiwa una maswali yoyote tafadhali acha maoni hapa chini au unaweza Wasiliana nasi. Usisahau kujiunga nasi kwenye WhatsApp gropu letu kwa updates zaidi.

Jiunge na Whatsap Gropu letu kwa updates za kila siku

BONYEZA HAPA

MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

You Might Also Like

Ratiba ya Nusu Fainali Samia Women Super Cup 2025

Jezi Mpya Za yanga SC Kimataifa CAF 2024/2025

Kikosi cha Yanga Vs TP Mazembe Leo 04 Januari 2025

Wachezaji 10 Ghali Zaidi Afrika 2025

Kikosi Cha Yanga Msimu Wa 2024-2025

Share This Article
Facebook Whatsapp Whatsapp Telegram Copy Link Print
What do you think?
Love0
Happy0
Joy0
Sad0
Previous Article Msimamo wa Kudi D Ligi ya Mabingwa Barani Afrika 2024/2025 Msimamo wa Kudi D Ligi ya Mabingwa Barani Afrika 2024/2025
Next Article Matokeo Ya  Yanga vs Al-Hilal leo Ijuma 06/12/2024 Klabu Bingwa Afrika Matokeo Ya  Yanga vs Al-Hilal leo Ijuma 06/12/2024 Klabu Bingwa Afrika
Leave a review

Leave a Review Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Please select a rating!

banner banner
Kwa Matangazo ya Ajira Mpya 2025
Je unatafuta kazi? basi kutazama nafasi mpya za kazi zinazitoka kila siku bonyeza BUTTON hapo chini
Bofya HAPA

Latest News

Matokeo ya Kidato cha Sita 2025/2026 Mkoa wa Mtwara
Uncategorized
KIKOSI Cha Simba Sc vs KMC leo 11 May 2025
KIKOSI Cha Simba Sc vs KMC leo 11 May 2025
Michezo
Nafasi za Kazi Tradesperson 1 - Mechanic at Geita Gold Mining Ltd (GGML) May 2025
Nafasi za Kazi Tradesperson 1 – Mechanic at Geita Gold Mining Ltd (GGML) May 2025
Nafasi Za Kazi Tanzania 2025
Nafasi za Kazi Courier at DHL Group May 2025
Nafasi za Kazi Courier at DHL Group May 2025
Nafasi Za Kazi Tanzania 2025
Msimamo wa ligi kuu ya NBC
Msimamo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara 2024/2025
Michezo
Mabasi Ya Dar To Morogoro
Mabasi Ya Dar To Morogoro
Makala

You Might also Like

Jinsi ya Kupata Odds za Uhakika 2025

Kisiwa24 Kisiwa24 6 Min Read
Matokeo Mechi za Hatua ya Mtoano Ligi ya Mabingwa Ulaya 11/02/2025
Michezo

Matokeo Mechi za Hatua ya Mtoano Ligi ya Mabingwa Ulaya 11/02/2025

Kisiwa24 Kisiwa24 0 Min Read
Michezo

Yanga vs Ts Galaxy Kuonyeshwa Live Azam Tv

Kisiwa24 Kisiwa24 1 Min Read
Wachezaji wanaolipwa pesa nyingi Tanzania 2024
Michezo

Wachezaji wanaolipwa pesa nyingi Tanzania 2025

Kisiwa24 Kisiwa24 3 Min Read
Msimamo Wa Kundi C CAF Champions League 2024/2025
Michezo

Msimamo Wa Kundi C CAF Champions League 2024/2025

Kisiwa24 Kisiwa24 3 Min Read
Listi ya Wachezaji Waliocheza Mechi Nyingi zaidi Timu ya Taifa Tanzania (Taifa Stars)
Michezo

Listi ya Wachezaji Waliocheza Mechi Nyingi zaidi Timu ya Taifa Tanzania (Taifa Stars)

Kisiwa24 Kisiwa24 5 Min Read
Kisiwa24 BlogKisiwa24 Blog
© 2025 Kisiwa24 Blog All Rights Reserved.
adbanner