Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Bariadi anawatangazia
Watanzania wenye sifa kuomba nafasi za kazi kumi na moja (11) katika Halmashauri hii
baada ya kupata kibali kutoka Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na
Utawala Bora.
NAFASI za Kazi Bariadi District Council
Bonyeza Hapa kudownload PDF ya Tangazo

