TAMISEMI: FORM FIVE SELECTION 2025/2026

_________________________________________________

MATANGAZO YA AJIRA  KILA SIKU BOFYA HAPA

_________________________________________________

NOTES ZA KIDATO CHA 1 HADI 6 BOFYA HAPA

_________________________________________________

MAGROUP MAPYA YA WHATSAAP BOFYA HAPA

_________________________________________________
MATANGO YA AJIRA BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

Mfano wa Barua Rasmi | Muundo wa barua Rasmi

Filed in Makala by on September 20, 2024 0 Comments

Mfano wa Barua Rasmi | Muundo wa barua Rasmi

Tangazo

Habari hii na nyingine nyingi zinapatikana kwenye telegram channel yetu na WhatsApp channel yetu tumia linki hapo chini kujiunga

Mfano wa barua rasmi au barua ya kikazi, Habari ya wakati huu mpenzi wa blog yako pendwa ya Habarika24, katibu katika makala hii fupi ambayo itaenda kukupa maezo na mfo juu ya barua rasmi au baru aya kikazi.

Barua Rasmi

Hii ni aina ya barua ambayo huandikwa kwa lengo maalumu hasa mawala ya kiofisi . Mmabo yanayo bebwa na barua rasmi ni kama vile;

  1. Barua za kuomba kazi au vitu mbali mbali
  2. Kutoa taarifa za mikutano ya kiofisi
  3. Kuagiza vifaa mbali mbali vya kiofisi

Aina za Barua Rasmi

Kuna aina nyingi za barua rasmi lakini barua zote hizo zinaweza kugawanywa katika makundi makuu 3 kulingana na dhumuni harisi la barua husika. Makundi hayo ni pamoja na

  • Barua za taarifa
  • Barua za maombi mbalimbali
  • Barua za upokeaji vifaa.

Mtindo wa barua Rasmi

Mtindo wa barua rasmi ni tofauti kabosa na baru nyingine kama zile za kirafiki kwani barua hizi humfunga mwandishi kwa kua humtaka mwandishi kuandika barua hii kwa ufupi zaidi huku ndienda moja kwa moja kwenye lengo la barua kwa kutumia lugha nyepesi na sentensi fupi fupi zinazo fuata sheria na kanuni za uandishi

Mfano wa Barua Rasmi

Mfano wa Barua Rasmi

Muundo wa barua Rasmi

Hapa chini tutaenda kuangalia mambo yaliyomo katika uandhishi wa barua resmi

1. Anwani ya mwandishi

Hii huandikwa juu kabisa mwa barua upande wa kulia mwa karatasi,

2. Tarehe

Bada ya anuani ya mwandichi basi chini ya anauani hiyo ndipo uandikwa tarehe, hii hutoa taarifa juu ya siki gani baria ndio iliandikwa.

3. Kumbukumbu namba

Hii ni namba ambayo huwa kama kitambulisho cha barua; mara nyingi huwa na tarakimu pamoja na herufi, kwa mfano: MFF HG 01

4. Anwani ya mwandikiwa

Anuani ya mwandikiwa hukaa upande wa kushoto mwa karatasi baada ya kumbu kumbu namba na huanza kwa kutaja cheo cha unayemwandikia

5. Mwanzo wa barua

Hii huandikwa chini y anuani ya mwandikiwa kama salamu kwa neno “ndugu” kisha kutaja jina au cheo cha mwandikiwa

6. Kichwa cha barua

Kishwa cha barua hutaja kwa ufupi zaidi lengo au dhumuni la barua, kishwa cha barua hudokeza kwa ufupi sana nini kusudi la msingi la barua hiyo

7. Kiini Cha Barua

Hap ndio hutolewa maelezo ya kina juu ya lengo na kusudi la barua kwa kuzingatia kichwa cha barua. Mwandishi anapaswa kutumia sentesi fupi fupi katika kuelezea lengo na kusudi la barua kwa kuzingatia lugha nyepesi na inayoeleweka.

8. Mwisho wa barua

Hapa mwandishi wa barua hutumia maeno mazuri ya kuhitimisha barua yake mfano wa maneo yanayotumika ni pamoja na

  • Wako mtiifu
  • Wako katika kazi
  • Wako katika kujenga taifa
  • Wako mwanachama

9. Saini au jina la mwandishi

Baada ya hitimisho la barua mwandishi wa barua anatakiwa kuweka saini au kutaja jina lake

10. Cheo cha mwandishi

Hapa mwandishi humalizia kwa kutaja cheo chake, mfano wa cheo ni kama vile

  1. Mwombaji,
  2. Mwalimu wa darasa,
  3. Mwanafunzi,
  4. Kiranja mkuu,
  5. Waziri wa elimu,
  6. Mjumbe wa tawi

Hitimisho

Mwandishi wa barua rasmi anapaswa kuzingatia mtindo na muundo wa barua kwani hicho ndio kielelezo cha utambulisho wa barua hii. Mambo ya msingi ya kuzingatia ni kama vile matumiji ya lugha,Matumizi ya sentensi fupi zenye kufuata kanuni za kiuandishi, kujikita kwenye lengo la batua na matumizi ya lugh nyepesi,

Mapendekezo ya Mhariri;

1. Ada, Fomu, Kozi na Sifa za Kujiunga na Chuo Cha Utalii Dar es Salaam

2. Aina Za Majeshi Tanzania

3. Bei ya iPhone 16 Pro Max Tanzania 2024

4. Bei ya iPhone 16 ProTanzania 2024

5. Viwango Vipya Vya Mishahara ya Walimu Serikalini

6. EWURA Bei Mpya za Mafuta Tanzania 2024

Asante kwa kusoma makala yetu hadi mwisho, ikiwa una maswali yoyote tafadhali acha maoni hapa chini au unaweza Wasiliana nasi. Usisahau kujiunga nasi kwenye WhatsApp gropu letu kwa updates zaidi.

Jiunge na Whatsap Gropu letu kwa updates za kila siku

BONYEZA HAPA

MATANGO YA AJIRA BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *