WALIO CHAGULIWA KIDATO CHA TANO 2025

_________________________________________________

MATANGAZO YA AJIRA  KILA SIKU BOFYA HAPA

_________________________________________________

NOTES ZA KIDATO CHA 1 HADI 6 BOFYA HAPA

_________________________________________________

MAGROUP MAPYA YA WHATSAAP BOFYA HAPA

_________________________________________________
MATANGO YA AJIRA BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

Msimamo wa Ligi Kuu Uingereza EPL 2024/2025

Filed in Michezo by on April 25, 2025 0 Comments

Msimamo wa Ligi Kuu Uingereza EPL 2024/2025, EPL standing 2024/2025, msimamo wa EPL 2024/2025, Habari ya wakati huu mwana soka wa Habarika24, karibu katika makala hii ambayo itaenda kukuonyesha msimamo wa ligikuu ya Uingereza almaarufu kama Epl ( English Premier Leuge standing) kwa msimu wa 2024/2025.

Kama wewe ni mfuatiliaji wa mpira wa miguu na shabiki wa ligi kuu ya uingereza basi katika makala hii utaweza kuona msimamo mzima wa ligi unavyokwenda nani anaongoza ligi na timu gani zipo kwenye nafasi ya tatu bora pia timu zipi zipo katika nafasi tatu za mwisho

Msimamo wa Ligi Kuu Uingereza (EPL Standing) 2024/2025

Hapa chini ni msimamo kamili wa ligi kuu ya Uingereza kwa msimu wa 2024/2025, kwa sasa ligi kuu ya uingereza inaongozwa na klabu ya Liverpool ikiwa na pointi 50 na kufuatiwa na Arsenal yenye pointi 44, kwa klabu ya Man Untd yenyewe bado inajitafuta kwani katika msimamo wa ligi ipo katika nafasi ya 13 ikiwa na pointi 26
Rank Club MP GD Pts
1 Liverpool 33 44 79
2 Arsenal 34 34 67
3 Man City 34 23 61
4 Nottm Forest 33 14 60
5 Newcastle 33 18 59
6 Chelsea 33 18 57
7 Aston Villa 34 5 57
8 Bournemouth 33 12 49
9 Fulham 33 3 48
10 Brighton 33 0 48
11 Brentford 33 6 46
12 Crystal Palace 34 -4 45
13 Everton 33 -6 38
14 Man United 33 -8 38
15 Wolves 33 -13 38
16 Tottenham 33 10 37
17 West Ham 33 -18 36
18 Ipswich Town 33 -38 21
19 Leicester City 33 -46 18
20 Southampton 33 -54 11

Kufuzu na Kushuka Daraja

  1. Timu zitakazo maliza ligi katika nafasi ya 1 hadi ya 4 zitafuzu kwenda kucheza katika michuano ya ligi ya mabingwa ulaya (UEFA Champion League) msimu ujao.
  2. Kwa timu itakay maliza katika nafasi ya 5 itaenda kushiriki michua no ya ligi ya Europa katika hatua ya makundi
  3. Na timu zitakazo maliza ligi katika nafasi ya 18 hadi 20 zitashuka daraja.

Kuhusu Ligi kuu ya Uingereza ( Epl)

English Premier League (EPL) ilianzishwa mwaka 1992, na tangu wakati huo imekuwa ikionyesha kiwango cha juu cha soka na ushindani mkubwa. EPL imekuwa ikiwavutia wachezaji bora zaidi kutoka sehemu mbalimbali za dunia, na kufanya ligi hii kuwa kitovu cha soka la kimataifa. Vilabu kama Manchester United, Chelsea, Liverpool, na Arsenal vimejijengea umaarufu mkubwa kwa kutwaa mataji mengi na kushiriki mashindano ya kimataifa kama UEFA Champions League.

Timu Zinazoshiriki Ligi Kuu Ya Uingereza (Epl)

Kwenye ligi kuu ya Uingereza kunajula ya klabu 20, ambazo ni

  • Liverpool
  • Man City
  • Nottm Forest
  • Brighton
  • Chelsea
  • Arsenal
  • Fulham
  • Aston Villa
  • Tottenham
  • Brentford
  • Bournemouth
  • Newcastle
  • Man United
  • West Ham
  • Leicester City
  • Everton
  • Crystal Palace
  • Wolves
  • Ipswich Town
  • Southampton

Bingwa wa Msimu Uliopita

Msimu wa 2023/2024 wa EPL ulikuwa wa kuvutia sana, huku Manchester City ikiibuka kama mabingwa wa ligi hiyo. Kikosi cha Pep Guardiola kiliendelea kuonyesha ubora wake, kikiweza kumaliza msimu na pointi nyingi zaidi kuliko wapinzani wao wakuu kama Arsenal na Liverpool. Ushindi huu uliifanya Manchester City kuwa mabingwa mara ya nne katika misimu mitano iliyopita, ikithibitisha utawala wao katika soka la Uingereza.

Kuhusu Msimamo wa 2024/2025

Msimamo huu wa ligi kuu ya Epl umeanza kwa ushindani mkubwa sana kwani timu nyingi zinazoshuriki katika michuano hii zimefanya usajiri wa wachezaji bora na wenye kujituma, hadi sasa tunao bingwa mtetezi Machester City anaongoza ligi huku akifuatiwa na Arsenal. Tunatumaini ligi ya Epl kwa msimu wa 2024/2025 itakua na burudani ya kutosha kupita hata ile ya msimu uliota.

Hitimisho

Kwa Msimao wa Ligi kuu ya Uingereza (Epl) hapo juu embu acha komenti yako kwenye kisanduku cha kuweka komenti juu ya timu yako nafasi yake na unatarajia nini kwa timu yako katika msimamo wa ligi kuu ya england itamaliza ligi ya Epl ikiwa katika nafasi ya ngapi.

Mapendekezo ya Mhariri;

1. Ratiba ya Mechi Za Leo Ligi Mbali Mbali Duniani

2. Ratiba Ya Ligi Kuu England 2024/2025 EPL

3. Msimamo Ligi Kuu NBC 2024/2025

4. Ratiba Ya Ligi Kuu Ya Nbc Msimu

5. Ratiba Ya Mechi Zote Za Yanga Ligi Kuu Ya Nbc Msimu Wa 2024/2025

MATANGO YA AJIRA BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA
MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

Tags:

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *