Close Menu
Kisiwa24

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    What's Hot

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026
    Kisiwa24Kisiwa24
    • Home
    • Ajira
    • Michezo
    • Makala
    • Elimu
    Kisiwa24
    Home»Ajira»Nafasi Za Kazi Kutoka Halmashauri ya Manispaa ya Songea Septemba 2024
    Ajira

    Nafasi Za Kazi Kutoka Halmashauri ya Manispaa ya Songea Septemba 2024

    Kisiwa24By Kisiwa24September 8, 2024No Comments4 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    Nafasi Za Kazi Kutoka Halmashauri ya Manispaa ya Songea Septemba 2024

    Tangazo

    Habari hii na nyingine nyingi zinapatikana kwenye telegram channel yetu na WhatsApp channel yetu tumia linki hapo chini kujiunga

    BONYEZA HAPA KUJIUNGA NA TELEGRAM CHANNEL YETU

    Songea Municipal Council is one of the eight Councils in Ruvuma Region. Songea Municipality is also the District and Regional headquarters. Other Councils are Songea Rural, Namtumbo, Mbinga and Tunduru.

    The four corners of the Municipal boundaries border with Songea Rural District and Madaba Council. It has historically been a location where people of the Ngoni tribe came from South Africa and fought indigenous people particularly Ndendeule tribe and settled in Songea because of the fertile land, favourable climatic conditions and continuously being a productive area.

    The Ngoni and other surrounding tribes fought the Germans in resisting foreign rule. There are historical sites and pictures which are associated with the Majimaji war. For example, there is a monument having been left behind depicting the clashes that happened in the Region, such as the first prison (Gereza), police post , the German court (Boma), the place where the Ngoni warriors were hanged (Mashujaa) and the mass-grave of the Ngoni.

    Songea Municipality enjoys passable roads, has adequate land, reliable water and electricity supply, airport and communication network. Apart from that, the Municipality has abundant labuor supply, health services, good governance as there is peace and tranquility prevailing which creates a favourable environment for both local and foreign investors. Therefore some of the important areas for investments are identified in this profile.

    Nafasi Za Kazi Kutoka Halmashauri ya Manispaa ya Songea Septemba 2024

    POST MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA II – 1 POST

    DUTIES AND RESPONSIBILITIES
    -Kuorodhesha barua zinazoingia Masjala kwenye regista (incoming correspondence register)
    -Kuorodhesha barua zinazotoka nje ya taasisi (outgoing correspondence register)
    -Kusambaza majalada kwa Watendaji (action officers)
    -Kupokea majalada kwa Watendaji (action officers)
    -Kupokea majalada yanayorudi masjala toka kwa Watendaji
    -Kurudisha majalada kwenye shabaka/kabati la majalada(racks/filling cabinets) au mahali pengine yanapohifadhiwa
    -Kufuatilia mzunguko wa majalada ndani ya Taasisi (file tracking)

    QUALIFICATION AND EXPERIENCE
    Kuajiriwa mwenye amehitimu Elimu ya Kidato cha Nne (IV) au Kidato cha Sita (VI) aliyehitimu Stashahada (NTA level 6) katika fani ya Masjala kutoka Vyuo vinavyotambuliwa na Serikali, mwenye ujuzi wa Kompyuta.

    REMUNERATION TGS C/1

    BONYEZA HAPA KUTUMA MAOMBI YAKO

    POST MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II – 3 POST

    i. Kuchapa barua, taarifa na nyaraka za kawadia na za siri;

    ii. Kupokea wageni na kuwasili shida zao na kuwaeleza wanapoweza kusaidiwa;

    iii. Kutunza taarifa za kumbukumbu ya matukio, miadi, tarehe za vikao, safari za Mkuu wake na ratiba za kazi zingine;

    iv. Kutafuta majalada na nyaraka zinazohitajika katika utekelezaji wa majukumu ya kazi;

    v. Kupokea majalada na kusambaza kwa Maofisa waliokatika Idara/Kitengo/Sehemu husika;

    vi. Kukusanya, kutunza na kuyerejesha majalada na nyaraka sehemu zinazohusika;

    vii.Kupanga dondoo na kufanya maandalizi ya vikao mablimbali;

    viii. Kuandaa orodha ya mahitaji ya vifaa vya ofisi; na

    ix. Kufanya kazi zingine atakazopangiwa na Mkuu wake wa kazi.

    QUALIFICATION AND EXPERIENCE
    Kuajiriwa Wahitimu wa Kidato cha Nne (Form Four) au Kidato cha Sita (Form Six) wenye Stashahada (Diploma) ya Uhazili au cheti cha NTA level 6 ya Uhazili. Aidha, wawe amefaulu somo la Hatimkato ya Kiswahili na Kiingereza maeneo 100 kwa dakika moja na kupata programu za kompyuta za ofisi kama vile: Word, Excel, Powepoint, Internet, E-mail na Publisher kutoka chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali.

    REMUNERATION TGS C/1

    BONYEZA HAPA KUTUMA MAOMBI YAKO

    Mapendekezo ya Mhariri;

    1. Tangazo la Kuitwa Kazini Bunge la Dododma 4-9-2024

    2. Tangazo La Kuitwa Kwenye Usaili Kada Za Afya Majina Ya Nyongeza

    3. Nafasi Mpya 35 Za Kazi Taasisi ya Dar es Salaam Maritime (DMI)

    4. Nafasi Mpya 15 Za Kazi Halimashauri Ya Manispaa Ya Tabora

    Asante kwa kusoma makala yetu hadi mwisho, ikiwa una maswali yoyote tafadhali acha maoni hapa chini au unaweza Wasiliana nasi. Usisahau kujiunga nasi kwenye WhatsApp gropu letu kwa updates zaidi.

    Jiunge na Whatsap Gropu letu kwa updates za kila siku

    BONYEZA HAPA

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleTangazo La Kuitwa Kwenye Usaili Chuo Kikuu Cha Mwalimu Julius K. Nyerere Cha Kilimo Na Teknolojia (MJNUAT) Septemba 2024
    Next Article Nafasi Za Kazi Kutoka Watumishi Housing Company (WHC) Septemba 2024
    Kisiwa24

    Related Posts

    Ajira

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026
    Ajira

    NAFASI 33 za Kazi Chuo Cha MUST

    January 3, 2026
    Ajira

    NAFASI 10 za Kazi Halmshauri ya Mji Babati

    January 3, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    Demo
    Top Posts

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202567 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202545 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202538 Views
    Stay In Touch
    • Facebook
    • YouTube
    • TikTok
    • WhatsApp
    • Twitter
    • Instagram
    Latest Reviews

    Subscribe to Updates

    Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

    Demo
    Most Popular

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202567 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202545 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202538 Views
    Our Picks

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    • Home
    • Buy Now
    © 2026 ThemeSphere. Designed by ThemeSphere.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.