Close Menu

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    What's Hot

    L’univers captivant des machines à sous au casino Allyspin

    November 4, 2025

    Exploring the Thrill of the Aquatic Quest in Big Bass Bonanza

    November 4, 2025

    Il Viaggio Magico a Chicken Road Casino

    November 4, 2025
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Kisiwa24
    • Home
    • Ajira
    • Makala
    • Michezo
    • Usaili
    • Kuitwa Kazini
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Kisiwa24
    Home»Nafasi Za Kazi Tanzania 2025»Nafasi za kazi Kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Geita Septemba 2024
    Nafasi Za Kazi Tanzania 2025

    Nafasi za kazi Kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Geita Septemba 2024

    Kisiwa24By Kisiwa24September 7, 2024Updated:July 27, 2025No Comments4 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Nafasi za kazi Kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Geita Septemba 2024
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    Nafasi za kazi Kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Geita Septemba 2024

    Table of Contents

    Toggle
      • BONYEZA HAPA KUJIUNGA NA TELEGRAM CHANNEL YETU
    • Kuhusu Halmashauri ya Wilaya ya Geita
      • Dhamira:
      • Dira:
    • Nafasi za kazi Kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Geita Septemba 2024
      • MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II – 4 POST
      • POST MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA II – 2 POST

    Tangazo

    MATANGAZO YA AJIRA BOFYA HAPA

    Habari hii na nyingine nyingi zinapatikana kwenye telegram channel yetu na WhatsApp channel yetu tumia linki hapo chini kujiunga

    BONYEZA HAPA KUJIUNGA NA TELEGRAM CHANNEL YETU

    Kuhusu Halmashauri ya Wilaya ya Geita

    Wilaya ya Geita ni moja ya wilaya 5 zinazounda mkoa wa Geita. Ilipata hadhi ya kuwa wilaya mwaka 1962.Kipindi hicho iliitwa Geita province.Wilaya ya Geita ipo kati ya mita 1,100 hadi 1,300 kutoka usawa wa bahari.Pia ipo katika latitudi 208 hadi 3028 kusini mwa mstari wa ikweta na longitudi 32045 na 370 mashariki mwa mstari wa Greenwich.

    Kabla ya Uhuru wa Tanzania bara (Tanganyika),wilaya ya Geita ilikuwa na ukubwa wa kilomita za mraba 16,638 ambapo nchi kavu ilikuwa ni kilomita za mraba 10,123.94 na maji ilikuwa ni kilomita za mraba 6,514.06. Katika kipindi hicho Geita ilikuwa na idadi ya watu wapatao 371,407. Mnamo mwaka 1975 wilaya ya Geita iligawanywa na kupata wilaya ya Sengerema.Baada ya kugawanywa kwa wilaya hizi mbili, Wilaya ya Geita ilibaki na kilometa za mraba 7,825 ambapo nchi kavu ni kilometa za mraba 6,775 na maji ni kilometa za mraba 1,050.

    Kuimarisha uwezo wa Halmashuri  katika kutoa huduma endelevu  ili kuboresha maisha  ya wananchi na kuondoa umaskini ifikapo mwaka 2025.

    Dhamira:

    Mnamo mwaka 2013 wilaya ya Geita iligawanywa tena na kupata wilaya ya Nyang’hwale.Wilaya ya Geita ina Halmashauri mbili ambazo ni “Halmashauri ya wilaya ya Geita na Halmashauri ya Mji”.Halmashuri ya Geita ina ukubwa wa kilomita za mraba 5,366.7(4,316 nchi kavu na 1,050 maji).

    Dira:

    Kutekeleza sera za kitaifa pamoja na miongozo inayoelekeza utawala bora na ushirikishwaji wa wananchi katika kufanya maamuzi katika hatua mbalimbali  ili kujiletea  maendeleo endelevu .

    Nafasi za kazi Kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Geita Septemba 2024
    Nafasi za kazi Kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Geita Septemba 2024
    MATANGAZO YA AJIRA BOFYA HAPA

    Nafasi za kazi Kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Geita Septemba 2024

    MWANDISHI MWENDESHA OFISI DARAJA LA II – 4 POST

    DUTIES AND RESPONSIBILITIES

    i. Kuchapa barua, taarifa na nyaraka za kawadia na za siri;

    ii. Kupokea wageni na kuwasili shida zao na kuwaeleza wanapoweza kusaidiwa;

    iii. Kutunza taarifa za kumbukumbu ya matukio, miadi, tarehe za vikao, safari za Mkuu wake na ratiba za kazi zingine;

    iv. Kutafuta majalada na nyaraka zinazohitajika katika utekelezaji wa majukumu ya kazi;

    v. Kupokea majalada na kusambaza kwa Maofisa waliokatika Idara/Kitengo/Sehemu husika;

    vi. Kukusanya, kutunza na kuyerejesha majalada na nyaraka sehemu zinazohusika;

    vii.Kupanga dondoo na kufanya maandalizi ya vikao mablimbali;

    viii. Kuandaa orodha ya mahitaji ya vifaa vya ofisi; na

    ix. Kufanya kazi zingine atakazopangiwa na Mkuu wake wa kazi.

    QUALIFICATION AND EXPERIENCE

    Kuajiriwa Wahitimu wa Kidato cha Nne (Form Four) au Kidato cha Sita (Form Six) wenye Stashahada (Diploma) ya Uhazili au cheti cha NTA level 6 ya Uhazili. Aidha, wawe amefaulu somo la Hatimkato ya Kiswahili na Kiingereza maeneo 100 kwa dakika moja na kupata programu za kompyuta za ofisi kama vile: Word, Excel, Powepoint, Internet, E-mail na Publisher kutoka chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali.

    REMUNERATION TGS.C

    BONYEZA HAPA KUTUMA MAOMBI YAKO

     

    POST MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA II – 2 POST

    DUTIES AND RESPONSIBILITIES

    -Kuorodhesha barua zinazoingia Masjala kwenye regista (incoming correspondence register)

    -Kuorodhesha barua zinazotoka nje ya taasisi (outgoing correspondence register)

    -Kusambaza majalada kwa Watendaji (action officers)

    -Kupokea majalada kwa Watendaji (action officers)

    -Kupokea majalada yanayorudi masjala toka kwa Watendaji

    -Kurudisha majalada kwenye shabaka/kabati la majalada(racks/filling cabinets) au mahali pengine yanapohifadhiwa

    -Kufuatilia mzunguko wa majalada ndani ya Taasisi (file tracking)

    QUALIFICATION AND EXPERIENCE
    Kuajiriwa mwenye amehitimu Elimu ya Kidato cha Nne (IV) au Kidato cha Sita (VI) aliyehitimu Stashahada (NTA level 6) katika fani ya Masjala kutoka Vyuo vinavyotambuliwa na Serikali, mwenye ujuzi wa Kompyuta.

    REMUNERATION TGS C

    BONYEZA HAPA KUTUMA MAOMBI YAKO

    Mapendekezo ya Mhariri;

    1.Tangazo la Kuitwa Kazini Bunge la Dododma 4-9-2024

    2. Tangazo La Kuitwa Kwenye Usaili Kada Za Afya Majina Ya Nyongeza

    3. Nafasi Mpya 35 Za Kazi Taasisi ya Dar es Salaam Maritime (DMI)

    4. Nafasi Mpya 32 za Kazi Kutoka Taasisi Ya Utafiti Wa Misitu Tanzania

    5. Nafasi Mpya 15 Za Kazi Halimashauri Ya Manispaa Ya Tabora

    6. Tangazo La Kuitwa Kwenye Usahili Kada Ya Afya Septemba 2024

    7. Nafasi Mpya 318 za Kazi Kutoka Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania

    Asante kwa kusoma makala yetu hadi mwisho, ikiwa una maswali yoyote tafadhali acha maoni hapa chini au unaweza Wasiliana nasi. Usisahau kujiunga nasi kwenye WhatsApp gropu letu kwa updates zaidi.

    Jiunge na Whatsap Gropu letu kwa updates za kila siku

    BONYEZA HAPA

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Kisiwa24
    • Website

    Related Posts

    Majina ya Usaili kusimamia Uchaguzi NEC 2025 – Jimbo la Moshi Vijijini

    October 8, 2025

    MATOKEO Ya Usaili Wa Vitendo Uliofanyika Tarehe 07-08/10/2025

    October 8, 2025

    MAJINA ya Walioitwa Kwenye Usaili Majina Ya Nyongeza 07-10-2025

    October 8, 2025
    Leave A Reply Cancel Reply

    Demo
    Top Posts

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2025

    July 12, 2025105 Views

    PDF ya Majina ya Walioitwa Kwenye Usaili Jeshi la Magereza 2025/2026

    September 30, 202550 Views

    NAFASI za Kazi Kutoka Yas Tanzania

    October 4, 202547 Views
    Stay In Touch
    • Facebook
    • YouTube
    • TikTok
    • WhatsApp
    • Twitter
    • Instagram
    Latest Reviews

    Warning: Undefined array key "file" in /home/u605461473/domains/habarika24.com/public_html/wp-content/themes/smart/inc/media.php on line 688
    Makala

    Pico 4 Review: Should You Actually Buy One Instead Of Quest 2?

    8.5 By Kisiwa24January 15, 20210
    Uncategorized

    A Review of the Venus Optics Argus 18mm f/0.95 MFT APO Lens

    8.1 By Kisiwa24January 15, 20210
    Magazeti

    DJI Avata Review: Immersive FPV Flying For Drone Enthusiasts

    8.9 By Kisiwa24January 15, 20210

    Subscribe to Updates

    Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

    Demo
    Covid-19 Statistics

    [rb_covid countries_code=’CN’ countries_label=’China’ columns=1]

    Most Popular

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2025

    July 12, 2025105 Views

    PDF ya Majina ya Walioitwa Kwenye Usaili Jeshi la Magereza 2025/2026

    September 30, 202550 Views

    NAFASI za Kazi Kutoka Yas Tanzania

    October 4, 202547 Views
    Our Picks

    L’univers captivant des machines à sous au casino Allyspin

    November 4, 2025

    Exploring the Thrill of the Aquatic Quest in Big Bass Bonanza

    November 4, 2025

    Il Viaggio Magico a Chicken Road Casino

    November 4, 2025

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    • Home
    • Buy Now
    © 2025 ThemeSphere. Designed by ThemeSphere.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.