Close Menu
  • Home
  • Ajira
  • Michezo
  • Makala

Subscribe to Updates

Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

What's Hot

MAJINA Walioitwa Kazini Chuo Kikuu Cha UDSM

December 13, 2025

NAFASI za Kazi Equity Bank Tanzania Limited

December 13, 2025

NAFASI Za Kazi DTB Bank Tanzania

December 13, 2025
Facebook X (Twitter) Instagram
Kisiwa24Kisiwa24
  • Home
  • Ajira
  • Michezo
  • Makala
Subscribe
Kisiwa24Kisiwa24
Home»Ajira»Tangazo la Kuitwa Kazini Bunge la Dododma 4-9-2024
Ajira

Tangazo la Kuitwa Kazini Bunge la Dododma 4-9-2024

Kisiwa24By Kisiwa24September 5, 2024No Comments2 Mins Read
Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
Share
Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

Tangazo la Kuitwa Kazini Bunge la Dododma 4-9-2024

Tangazo

Habari hii na nyingine nyingi zinapatikana kwenye telegram channel yetu na WhatsApp channel yetu tumia linki hapo chini kujiunga

Tangazo la Kuitwa Kazini Bunge la Dododma 4-9-2024

Katibu wa Bunge anapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali katika Utumishi wa Bunge waliotajwa katika Tangazo hili kwamba, walifaulu kushinda waombaji kazi wenzao kwenye usaili uliofanyika tarehe 24 – 29 Agosti, 2024 katika Ofisi za Bunge Dodoma. Hivyo, wahusika wanaarifiwa kwamba wanatakiwa kuripoti kazini Ofisi ya Bunge Dodoma ifikapo tarehe 09 Septemba, 2024 kwa ajili ya kukamilisha taratibu za ajira zao na
kupangiwa kazi. Waombaji kazi wanaoitwa kuripoti kazini wanatakiwa kuzingatia maelekezo yafuatayo:-

Tangazo la Kuitwa Kazini Bunge la Dododma 4-9-2024
Tangazo la Kuitwa Kazini Bunge la Dododma 4-9-2024

i. Kufika na vyeti halisi vya masomo kuanzia Kidato cha IV na kuendelea kulingana na sifa za kazi,
ii. Kufika na Cheti cha Kuzaliwa;
iii. Kufika na Kitambulisho cha Taifa;
iv. Kufika na Cheti halisi cha Ndoa (kama ipo); na
v. Kufika na Vyeti halisi vya kuzaliwa mtoto/watoto (kama wapo).

Kwa ambao masharti ya kazi zao yanawataka kusajiliwa na Mabaraza au Bodi zao za Kitaaluma wanatakiwa kuja na vyeti vyao vya usajili pamoja na leseni halali (valid licence) za kufanyia kazi.

BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD PDF FILE

Orodha ya Shule za Sekondari Mkoa wa Geita

 

Asante kwa kusoma makala yetu hadi mwisho, ikiwa una maswali yoyote tafadhali acha maoni hapa chini au unaweza Wasiliana nasi. Usisahau kujiunga nasi kwenye WhatsApp gropu letu kwa updates zaidi.

Jiunge na Whatsap Gropu letu kwa updates za kila siku

BONYEZA HAPA

Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
Previous ArticleOrodha ya Shule za Sekondari Mkoa wa Geita
Next Article Orodha ya Shule za Sekondari Kigoma Mjini Mkoa wa Kigoma
Kisiwa24

Related Posts

Ajira

MAJINA Walioitwa Kazini Chuo Kikuu Cha UDSM

December 13, 2025
Ajira

NAFASI za Kazi Equity Bank Tanzania Limited

December 13, 2025
Ajira

NAFASI Za Kazi DTB Bank Tanzania

December 13, 2025
Add A Comment
Leave A Reply Cancel Reply

Recent Posts

  • MAJINA Walioitwa Kazini Chuo Kikuu Cha UDSM
  • NAFASI za Kazi Equity Bank Tanzania Limited
  • NAFASI Za Kazi DTB Bank Tanzania
  • NAFASI za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Ngorongoro
  • NAFASI za Kazi Chuo Kikuu Huria Cha Tanzania

Recent Comments

No comments to show.
Demo
Top Posts

MAJINA Walioitwa Kwenye Usaili MDAs & LGAs

December 6, 2025777 Views

NAFASI za Kazi Za Mkataba Wizara Ya Maliasili Na Utalii

December 6, 2025439 Views

NAFASI Mpya 5476 za Mafunzo ya Ufundi Stadi Katika Fani Mbalimbali

December 6, 2025416 Views
Stay In Touch
  • Facebook
  • YouTube
  • TikTok
  • WhatsApp
  • Twitter
  • Instagram
Latest Reviews

Subscribe to Updates

Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

Demo
© 2025 Kiswa24 Blog. Designed by Kisiwa24.

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.