Close Menu
Kisiwa24

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    What's Hot

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026
    Kisiwa24Kisiwa24
    • Home
    • Ajira
    • Michezo
    • Makala
    • Elimu
    Kisiwa24
    Home»Ajira»Tangazo La Kuitwa Kwenye Usahili Kada Ya Afya Septemba 2024
    Ajira

    Tangazo La Kuitwa Kwenye Usahili Kada Ya Afya Septemba 2024

    Kisiwa24By Kisiwa24August 30, 2024No Comments2 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    Tangazo La Kuitwa Kwenye Usahili Kada Ya Afya Septemba 2024

    Tangazo

    Habari hii na nyingine nyingi zinapatikana kwenye telegram channel yetu na WhatsApp channel yetu tumia linki hapo chini kujiunga

    BONYEZA HAPA KUJIUNGA NA TELEGRAM CHANNEL YETU

    BONYEZA HAPA KUJIUNGA NA WHATSAPP CHANNEL YETU

    Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya MDAs & LGAs anapendakuwataarifuWaombaji Kazi wote walioomba kazi kuwa usaili unatarajiwa kuendeshwa kuanzia tarehe 02-09-2024hadi12-09-2024 hatimaye kuwapangia vituo vya kazi waombaji kazi watakaofaulu usaili huo.

    Tangazo La Kuitwa Kwenye Usahili Kada Ya Afya Septemba 2024

    Wasailiwawanaoitwakwenye usaili wanapaswa kuzingatia maelekezo yafuatayo:-

    1. Usaili utafanyika kuanzia tarehe kama ilivyooneshwa kwenye tangazo hili muda na sehemuambapousaili utafanyika umeainishwa kwa kila Kada.

    2. Kila msailiwa anatakiwa kufika kwenye eneo la usaili akiwa amevaa Barakoa (Mask)

    3. Kila Msailiwa anapaswa kuwa na kitambulisho kwa ajili ya utambuzi;

    4. Vitambulisho vinavyokubalika ni pamoja na:- Kitambulisho cha Mkazi, KitambulishochaMpigakura,Kitambulisho cha kazi,Kitambulisho cha Uraia, Hati ya kusafiria au barua ya utambulishokutokaSerikali ya Mtaa/Kijiji unachotoka.

    5. Wasailiwa wanatakiwa kufika na VYETI VYAO HALISI, kuanzia cheti cha kuzaliwa,kidatochaIV,VI,Astashahada, Stashahada,Stashahada ya Juu, Shahada na kuendelea kutegemeananasifazaMwombaji.

    6. Wasailiwa watakaowasilisha Testimonials, Provisional Results, Statement of results, hatizamatokeo za kidato cha IV na VI (form V and form VI results slips) HAVITAKUBALIWANAHAWATARUHUSIWA KUENDELEA NA USAILI.

    7. Kila msailiwa atajigharamia kwa Chakula, Usafiri na Malazi.

    8. Kila Msailiwa azingatie tarehe, muda na mahali alipopangiwa kufanyia usaili.

    9. Kwa waombaji waliosoma nje ya Tanzania wahakikishe Vyeti vyao vimehakikiwa nakuidhinishwanaMamlaka husika (kama TCU, NACTE au NECTA)

    10. Waombaji kazi ambao majina yao hayakuonekana katika tangazo hili watambue kuwahawakukidhivigezo. Hivyo, wasisite kuomba tena pindi nafasi za kazi zitakapotangazwa na kuzingatiamahitajiyatangazo husika.

    11. Kwa kada ambazo wanatakiwa kusajiliwa na Bodi zao za Kitaaluma wanapaswakujanavyetivyao Halisi vya Usajili pamoja na Leseni za kufanyia kazi.

    12. Wasailiwa wote walioitwa kwenye usaili wahakikishe wanaingia kwenye akaunti zao nakunakili nambaya mtihani kwa kuwa namba hizo hazitatolewa iku ya usaili

    13. Wasailiwa wote mnajulishwa kuwa hali ya hewa ya Jiji la Dodoma ni baridi hivyo mnashauriwakuvaanguo zinazohimili hali ya hewa ya ubaridi.

    Tangazo La Kuitwa Kwenye Usahili Kada Ya Afya Septemba 2024

    BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD PDF FILE

    Mapenedekezo Ya Mhariri;

    1. Nafasi Mpya 15 Za Kazi Kutoka Halmashauri ya Manispaa Ya Tabora

    2. Mshahara wa Mkurugenzi wa Halmashauri

    3. Nafasi Mpya 15 Za Kazi Kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino

    4. Nafasi Mbali Mbali Za kazi zilizotangazwa Agosti 2024

    5. Nafasi Mpya Za Kzi Kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Newala 

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleMabasi Dar Kwenda Mbeya
    Next Article Nafasi Mpya 15 Za Kazi Halimashauri Ya Manispaa Ya Tabora
    Kisiwa24

    Related Posts

    Ajira

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026
    Ajira

    NAFASI 33 za Kazi Chuo Cha MUST

    January 3, 2026
    Ajira

    NAFASI 10 za Kazi Halmshauri ya Mji Babati

    January 3, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    Demo
    Top Posts

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202560 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202537 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202536 Views
    Stay In Touch
    • Facebook
    • YouTube
    • TikTok
    • WhatsApp
    • Twitter
    • Instagram
    Latest Reviews

    Subscribe to Updates

    Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

    Demo
    Most Popular

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202560 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202537 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202536 Views
    Our Picks

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    • Home
    • Buy Now
    © 2026 ThemeSphere. Designed by ThemeSphere.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.