Close Menu

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    What's Hot

    1xBet na Paris Saint-Germain Yaongeza Ushirikiano Kwa Misimu 3 Zaidi

    October 15, 2025

    Jinsi ya kupika Pilau kwenye Rice Cooker

    October 9, 2025

    Jinsi ya Kuwasha Rice Cooker

    October 9, 2025
    Facebook X (Twitter) Instagram
    • Demos
    • Buy Now
    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest Vimeo
    Kisiwa24Kisiwa24
    • Home
    • Features
      • View All On Demos
    • Buy Now
    Subscribe
    Kisiwa24Kisiwa24
    Home»Nafasi Za Kazi Tanzania 2025»MAJINA ya Walioitwa Kwenye Usaili Majina Ya Nyongeza 07-10-2025
    Nafasi Za Kazi Tanzania 2025

    MAJINA ya Walioitwa Kwenye Usaili Majina Ya Nyongeza 07-10-2025

    Kisiwa24By Kisiwa24October 8, 2025No Comments2 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email
    MAJINA ya Walioitwa Kwenye Usaili Majina Ya Nyongeza 07-10-2025
    MAJINA ya Walioitwa Kwenye Usaili Majina Ya Nyongeza 07-10-2025

    Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba yaTaasisi ya Utafiti wa
    Kilimo Tanzania (TARI), Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA), Taasisi ya Elimu Tanzania
    (TIE), Chuo cha Mipango ya Maendeleo Vijijini (IRDP) anapenda kuwataarifu Waombaji Kazi
    wote walioomba kazi kuwa usaili unatarajiwa kuendeshwa kuanzia tarehe 08/10/2025 hadi
    13/10/2025 hatimaye kuwapangia vituo vya kazi waombaji kazi watakaofaulu usaili huo.Wasailiwa
    wanaoitwa kwenye usaili wanapaswa kuzingatia maelekezo yafuatayo:-
    1. Usaili utafanyika kuanzia tarehe kama ilivyooneshwa kwenye tangazo hili muda na sehemu
    ambapo usaili utafanyika umeainishwa kwa kila Kada.
    2. Kila msailiwa anatakiwa kufika kwenye eneo la usaili akiwa amevaa Barakoa (Mask)
    3. Kila Msailiwa anapaswa kuwa na kitambulisho kwa ajili ya utambuzi;
    4. Vitambulisho vinavyokubalika ni pamoja na:- Kitambulisho cha Mkazi, Kitambulisho cha Mpiga
    kura,Kitambulisho cha kazi,Kitambulisho cha Uraia, Hati ya kusafiria, Leseni ya Udereva au barua
    ya utambulisho kutoka Serikali ya Mtaa/Kijiji unachotoka.
    5. Wasailiwa wanatakiwa kufika na VYETI VYAO HALISI, kuanzia cheti cha kuzaliwa,kidato cha IV,
    VI, Astashahada, Stashahada,Stashahada ya Juu, Shahada na kuendelea kutegemeana na
    sifa za Mwombaji.
    6. Wasailiwa watakaowasilisha Testimonials, Provisional Results, Statement of results, hatiza
    matokeo za kidato cha IV na VI (form V and form VI results slips) HAVITAKUBALIWA NA
    HAWATARUHUSIWA KUENDELEA NA USAILI.
    7. Kila msailiwa atajigharamia kwa Chakula, Usafiri na Malazi.
    8. Kila Msailiwa azingatie tarehe, muda na mahali alipopangiwa kufanyia usaili.
    9. Kwa waombaji waliosoma nje ya Tanzania wahakikishe Vyeti vyao vimehakikiwa na kuidhinishwa
    na Mamlaka husika (kama TCU, NACTVET au NECTA)
    10. Waombaji kazi ambao hawajaona majina yao kwenye tangazo hili wanapaswa kuingia kwenye
    akaunti zao za Ajira Portal na kuona sababu za kutokuitwa kwao ili wasikose fursa wakati
    mwingine.
    11. Kwa kada ambazo wanatakiwa kusajiliwa na Bodi zao za Kitaaluma wanapaswa kuja na vyeti
    vyao Halisi vya Usajili pamoja na Leseni za kufanyia kazi.
    12. Wasailiwa wote walioitwa kwenye usaili wahakikishe wanaingia kwenye akaunti zao na kunakili
    namba ya mtihani kwa kuwa namba hizo hazitatolewa iku ya usaili.
    13. Wasailiwa ambao majina yao yanatofautiana katika nyaraka zao wanapaswa kuwasilisha Hati ya
    Kiapo cha Kubadili Jina (Deed Poll) iliyosajiliwa na Wizara ya Ardhi.

    BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD PDF YA MAJINA

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleNAFASI za Kazi Halmashauri ya Jiji la Arusha
    Next Article MATOKEO Ya Usaili Wa Vitendo Uliofanyika Tarehe 07-08/10/2025
    Kisiwa24

    Related Posts

    Nafasi Za Kazi Tanzania 2025

    Majina ya Usaili kusimamia Uchaguzi NEC 2025 – Jimbo la Moshi Vijijini

    October 8, 2025
    Nafasi Za Kazi Tanzania 2025

    MATOKEO Ya Usaili Wa Vitendo Uliofanyika Tarehe 07-08/10/2025

    October 8, 2025
    Nafasi Za Kazi Tanzania 2025

    NAFASI za Kazi Halmashauri ya Jiji la Arusha

    October 8, 2025
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    Recent Posts

    • 1xBet na Paris Saint-Germain Yaongeza Ushirikiano Kwa Misimu 3 Zaidi
    • Jinsi ya kupika Pilau kwenye Rice Cooker
    • Jinsi ya Kuwasha Rice Cooker
    • Jinsi ya kupika Maharage kwenye Rice cooker
    • Jinsi ya kupika wali kwenye Gesi au Rice Cooker

    Recent Comments

    1. E Qambayoya on Orodha ya Maswali ya Usaili Nafasi ya Usimamizi Uchaguzi Mkuu 2025
    2. Kasubi on Majina ya Walioitwa Kwenye Usaili kusimamia Uchaguzi NEC 2025
    3. Kisiwa24 on NAFASI 320 za Kazi Kutoka Akiba Commercial Bank PLC
    4. MTIE MOHAMED on NAFASI 320 za Kazi Kutoka Akiba Commercial Bank PLC
    5. Princepius on Namba za Mabinti Wanaotafuta Wachumba 2025
    Demo
    Top Posts

    Maswali ya Interview Ajira za Zimamoto 2025

    March 31, 202520 Views

    Jinsi Ya Kujua Namba Ya Kitambulisho Cha Mpiga Kura

    June 23, 202514 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2025

    July 12, 202513 Views
    Stay In Touch
    • Facebook
    • YouTube
    • TikTok
    • WhatsApp
    • Twitter
    • Instagram
    Latest Reviews

    Subscribe to Updates

    Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

    Demo

    Archives

    • October 2025
    • September 2025
    • August 2025
    • July 2025
    • June 2025
    • May 2025
    • April 2025
    • March 2025
    • February 2025
    • January 2025
    • December 2024
    • November 2024
    • October 2024
    • September 2024
    • August 2024
    • July 2024

    Categories

    • A' Level Secondary Notes
    • Afya
    • Bei ya
    • Books Analysis For Secondary Education
    • Burudani
    • CV za Wachezaji
    • Elimu
    • Forex Trading
    • Form 5 Notes
    • Form 6 Notes
    • Form Four Mock Exams
    • Form Four Notes
    • Form One Notes
    • Form Three Notes All Subjects
    • Habari
    • Internship Opportunities
    • Jobs
    • Kampuni Za Kubeti Tanzania
    • Kampuza za Mabasi na Nauli zake
    • Kilimo Na Ufugaji
    • Kuitwa Kazini Utumishi
    • Mafundisho ya Imani
    • Magazeti
    • Mahusiano
    • Majina Ya Waliochaguliwa Kujiunga Na Vyuo Vikuu
    • Makala
    • Matokeo
    • Matokeo Darasa la Saba
    • Matokeo Ya Mechi
    • Michezo
    • Mitandao ya Simu Tanzania
    • Movies
    • Mtokeo ya Mitihani ya Taifa
    • Music Video
    • Nafasi Za Kazi Tanzania 2025
    • NECTA Form Six Results 2025/2026
    • NEW
    • New Syllabuses For Secondary Education
    • Nyimbo
    • O Level Notes
    • Phone Review
    • ready_text
    • Samsung Phones
    • Secondary Notes
    • Shule za Sekondari Mikoa Yote Tanzania
    • Siafa za Kujiunga na Vyuo Tanzania
    • TAMISEMI Selection
    • Tecno Phone
    • Tecno Spark Phones
    • Tetesi za Usajili
    • Uncategorized
    • Usaili
    • Utalii Wa Tanzania
    • Vyuo Mbali Mbali Tanzania
    • Vyuo Mbali Mbali Vya Ualimu Tanzania
    • Vyuo vya Afya Tanzania
    Most Popular

    Maswali ya Interview Ajira za Zimamoto 2025

    March 31, 202520 Views

    Jinsi Ya Kujua Namba Ya Kitambulisho Cha Mpiga Kura

    June 23, 202514 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2025

    July 12, 202513 Views
    Our Picks

    1xBet na Paris Saint-Germain Yaongeza Ushirikiano Kwa Misimu 3 Zaidi

    October 15, 2025

    Jinsi ya kupika Pilau kwenye Rice Cooker

    October 9, 2025

    Jinsi ya Kuwasha Rice Cooker

    October 9, 2025

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    • Home
    • Buy Now
    © 2025 ThemeSphere. Designed by ThemeSphere.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.

    Powered by
    ...
    ►
    Necessary cookies enable essential site features like secure log-ins and consent preference adjustments. They do not store personal data.
    None
    ►
    Functional cookies support features like content sharing on social media, collecting feedback, and enabling third-party tools.
    None
    ►
    Analytical cookies track visitor interactions, providing insights on metrics like visitor count, bounce rate, and traffic sources.
    None
    ►
    Advertisement cookies deliver personalized ads based on your previous visits and analyze the effectiveness of ad campaigns.
    None
    ►
    Unclassified cookies are cookies that we are in the process of classifying, together with the providers of individual cookies.
    None
    Powered by