WALIO CHAGULIWA KIDATO CHA TANO 2025

_________________________________________________

MATANGAZO YA AJIRA  KILA SIKU BOFYA HAPA

_________________________________________________

NOTES ZA KIDATO CHA 1 HADI 6 BOFYA HAPA

_________________________________________________

MAGROUP MAPYA YA WHATSAAP BOFYA HAPA

_________________________________________________
MATANGO YA AJIRA BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

Nafasi Mpya 17 Za Kazi Kutoka Halmashauri ya Mji Kondoa

Filed in Nafasi Za Kazi Tanzania 2025 by on August 21, 2024 0 Comments

Nafasi Mpya 17 Za Kazi Kutoka Halmashauri ya Mji Kondoa

Tangazo

Habari hii na nyingine nyingi zinapatikana kwenye telegram channel yetu na WhatsApp channel yetu tumia linki hapo chini kujiunga

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kondoa anawatangazia Watanzania wenye sifa na nia ya kufanya kazi katika Halmashauri ya Mji Kondoa kuomba nafasi za kazi iliyotajwa hapo chini, baada ya kupokea Kibali chenye Kumb. Na. FA 97/288/01/09 cha tarehe 25 Juni 2024 kutoka kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora.

Nafasi Mpya 17 Za Kazi Kutoka Halmashauri ya Mji Kondoa

DEREVA DARAJA LA II (NAFASI 05)

KAZI NA MAJUKUMU YA DEREVA DARAJA LA II

i. Kukagua gari kabla na baada ya safari ili kubaini hali ya usalama wa gari

ii. Kupeleka watumishi kwenye safari za kazi

iii. Kufanya matengenezo madogomadogo ya gari

iv. Kukusanya na kusambaza nyaraka mbalimbali

v. Kujaza na kutunza taarifa za safari zote katika daftari la safari ( log book)

vi. Kufanya usafi wa gari

vii. Utajaza taarifa za utendaji kazi kila wiki kwenye Mfumo wa ess (PEPMIS)

SIFA ZA KUAJIRIWA
Awe amehitimu Elimu ya Kidato cha Nne (IV) au Sita (Form Six), Awe na leseni ya Daraja la C au E ya uendeshaji magari ambayo amefanyia kazi kwa muda usiopungua mwaka mmoja bila kusababisha ajali. Awe amehudhuria
mafunzo ya msingi ya uendeshaji magari (Basic Driving Course) yanayotolewa na Chuo cha VETA au NIT au Chuo kingine kinachotambulika na Serikali.

NGAZI YA MSHAHARA

Kwa kuzingatia ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS B

 BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD PF FILE

MACHAGUZI YA MHARIRI;

1. Nafasi Mpya za Kazi Kutoka Chuo Kikuu cha Dodoma Agosti 2024 (UDOM)

2. Nafasi Mpya Za Kazi Wizara ya Maji Agosti 2024

3. Nafasi Mpya 4 Za Kazi Kutoka Chuo kikuu cha Mzumbe Agosti 2024

4. Tangazo La Kuitwa Kwenye Usaili Agosti 2024

5. Tangazo La Kuitwa Kazini Taasisi Mbalimbali Za Umma Agosti 2024

6. Nafasi Mpya 18 Za Kazi Kutoka Halmashauri Ya Wilaya Ya Tunduru Agosti 2024

7. Nafasi Mpya 18 Za Kazi Kutoka Halmashauri Ya Mji Kasulu Agosti 2024

MATANGO YA AJIRA BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA
MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *