TAMISEMI: FORM FIVE SELECTION 2025/2026

_________________________________________________

MATANGAZO YA AJIRA  KILA SIKU BOFYA HAPA

_________________________________________________

NOTES ZA KIDATO CHA 1 HADI 6 BOFYA HAPA

_________________________________________________

MAGROUP MAPYA YA WHATSAAP BOFYA HAPA

_________________________________________________
MATANGO YA AJIRA BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

Tangazo La Kuitwa Kwenye Usaili Agosti 2024

Filed in Nafasi Za Kazi Tanzania 2025 by on August 19, 2024 0 Comments

Tangazo La Kuitwa Kwenye Usaili Agosti 2024

Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Elimu Tanzania anapenda kuwataarifu waombaji waliokidhi vigezo katika tangazo la Ajira ya Mkataba nafasi ya MKUZA MITAALA SOMO LA UTALII (TOURISM) kuwa, usaili unatarajiwa kufanyika kuanzia tarehe 29/08/2024 hadi 30/08/2024 saa mbili Kamili Asubuhi katika Ofisi za Makao Makuu ya Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) zilizopo MwengeBamaga Karibu na Ofisi za Baraza la Mitihani la Tanzania, Jijini Dar es Salaam.

Tangazo La Kuitwa Kwenye Usaili Agosti 2024

Wasailiwa walioitwa kwenye usaili wanapaswa kuzingatia maelekezo yafuatayo:-

1. Kila Msailiwa anatakiwa kufika akiwa amevaa NADHIFU.

2. Kila Msailiwa anapaswa kuwa na kitambulisho kwa ajili ya utambuzi. Vitambulisho vinavyokubalika ni pamoja na:- Kitambulisho cha Mkazi, Kitambulisho cha Mpiga kura, Kitambulisho cha kazi, Kitambulisho cha Uraia au Hati ya kusafiria.

3. Wasailiwa wanatakiwa kufika na VYETI VYAO HALISI (ORIGINAL), kuanzia cheti cha kuzaliwa, kidato cha IV, VI na Shahada.

4. Wasailiwa watakaowasilisha (Testimonials, Provisional Results, Statement of results) hati za matokeo HAZITAKUBALIWA NA HAWATARUHUSIWA KUENDELEA NA USAILI.

5. Kila Msailiwa atajigharamia kwa Chakula, Usafiri na Malazi.

6. Kila Msailiwa azingatie tarehe, muda na mahali alipopangiwa kufanyia usaili.

7. Kwa waombaji waliosoma nje ya Tanzania wanatakiwa kufika na Hati za Uhakiki wa Vyeti vyao kutokakwa Mamlaka zinazohusika (kama TCU, NACTE au NECTA).

8. Waombaji kazi ambao majina yao hayakuonekana katika tangazo hili watambue kuwa hawakukidhi vigezo. Hivyo, wasisite kuomba tena pindinafasi za kazi zitakapotangazwa kwa kuzingatia mahitaji ya tangazo husika.

MWAJIRI: MKURUGENZI MKUU, TAASISI YA ELIMU TANZANIA
KADA: MKUZA MITAALA DARAJA LA II (UTALII)
MAHALI: USAILI WA KUANDIKA NA MAHOJIANO UTAFANYIKA KATIKA UKUMBI WA MIKUTANO, MAKAO MAKUU, TAASISI YA ELIMU TANZANIA
TAREHE NA MUDA WA USAILI WA KUANDIKA: 29/08/2024 SAA 2:00
ASUBUHI TAREHE NA MUDA WA USAILI WA MAHOJIANO: 30/08/2024 SAA 2:00
ASUBUHI.

Download PDF HAPA

Mapendekezo ya mhariri:

1. Jinsi Ya Kuangalia Salio La NSSF Kwa Njia ya Simu

2. Jinsi Ya Kulipia King’amuzi Cha Azam Tv 

3. Jinsi ya Kujiunga na Mfumo wa Maombi ya Ajira TAMISEMI

4. Jinsi ya Kupata Namba ya NIDA Kwa Njia ya SMS

5. Jinsi Ya Kuangalia Deni La Gari 2024 (TMS Traffic Check)

MATANGO YA AJIRA BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

Tags:

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *