YUSUPH KAGOMA RASMI KUITUMIKIA SIMBA SC

Kwataarifa za hadi sasa ni kuwa Management ya Kiungo mkabaji Yusuph Kagoma imekamilisha malipo ya kiasi cha TSH 45 Million leo kwenye ya Account ya Yanga SC NMB.
Kila la kheri Yusuph Kagoma.
Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.
