Close Menu
Kisiwa24

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    What's Hot

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026
    Kisiwa24Kisiwa24
    • Home
    • Ajira
    • Michezo
    • Makala
    • Elimu
    Kisiwa24
    Home»Ajira»Nafasi za kazi Afisa Ununuzi Daraja La II Kutoka  MDAs na LGAs Nafasi 350 August 2024
    Ajira

    Nafasi za kazi Afisa Ununuzi Daraja La II Kutoka  MDAs na LGAs Nafasi 350 August 2024

    Kisiwa24By Kisiwa24August 4, 2024No Comments2 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    Nafasi za kazi Afisa Ununuzi Daraja La II Kutoka  MDAs na LGAs Nafasi 350 August 2024

    Habari hii na nyingine nyingi zinapatikana kwenye telegram channel yetu na WhatsApp channel yetu tumia linki hapo chini kujiunga

    BONYEZA HAPA KUJIUNGA NA TELEGRAM CHANNEL YETU
    BONYEZA HAPA KUJIUNGA NA WHATSAPP CHANNEL YETU

    AFISA UNUNUZI DARAJA LA II (PROCUREMENT OFFICER II) – NAFASI 350

    MAJUKUMU YA KAZI

    i. Kushiriki katika kuandaa nyaraka za zabuni;

    ii. Kusambazi hati/nyaraka za zabuni;

    iii. Kuwasiliana na idara mbalimbali kuhusu mahitaji ya ununuzi;

    iv. Kukusanya na kutunza taarifa ya bei za soko (Market Intelligence) kwa baadhi ya bidhaa;

    v. Kuhakiki hati zote za madai kabla ya malipo; na

    vi. Kufanya kazi nyingine atakazopangiwa na msimamizi wake wa kazi.

    SIFA ZA MWOMBAJI

    Kuajiriwa wenye Shahada/Stashahada ya Juu ya Ununuzi au Ugavi kutoka katika Chuo kinachotambuliwa na Serikali au wenye “Professional level Ill” inayotolewa na Bodi ya Wataalamu wa Ununuzi na Ugavi (Procurement and Supplies Professionals and Technicians Board (PSPTB)); au sifa nyingine inayotambuliwa na PSPTB na awe aliyesajiliwana PSPTB kama “Graduate Procurement and Supplies Professional”.

    NGAZI YA MSHAHARA

    Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali yaani TGS D

    Mwisho wa kutuma maombi ya kazi ni tarehe 16 Agosti, 2024.

    MUHIMU: Kumbuka kuambatisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa pamoja na vyeti vya elimu, anuani ya barua hiyo ielekezwe kwa;
    KATIBU,
    OFISI YA RAIS,
    SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA,
    S. L. P. 2320, DODOMA.

    Maombi yote yatumwe kwenye mfumo wa kielektroniki wa Ajira (Recruitment Portal) kupitia anuani ifuatayo; http://portal.ajira.go.tz/.= (Anuani hii pia inapatikanaMkwenye tovuti ya Sektretarieti ya Ajira kwa kuingia sehemu
    iliyoandikwa‘Recruitment Portal’)

    Maombi yatakayowasilishwa nje ya utaratibu ulioainishwa katika tangazo
    hili HAYATAFIKIRIWA.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleNafasi za kazi Mpima Ardhi Daraja La II Kutoka  MDAs na LGAs – Nafasi 4 August 2024
    Next Article Nafasi za kazi Afisa Uvuvi Daraja La II Kutoka  MDAs na LGAs Nafasi 87 August 2024
    Kisiwa24

    Related Posts

    Ajira

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026
    Ajira

    NAFASI 33 za Kazi Chuo Cha MUST

    January 3, 2026
    Ajira

    NAFASI 10 za Kazi Halmshauri ya Mji Babati

    January 3, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    Demo
    Top Posts

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202567 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202545 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202538 Views
    Stay In Touch
    • Facebook
    • YouTube
    • TikTok
    • WhatsApp
    • Twitter
    • Instagram
    Latest Reviews

    Subscribe to Updates

    Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

    Demo
    Most Popular

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202567 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202545 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202538 Views
    Our Picks

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    • Home
    • Buy Now
    © 2026 ThemeSphere. Designed by ThemeSphere.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.