Kwa Video za Connection za Wakubwa Tu (18+) BOFYA HAPA
Kwa Video za Connection za Wakubwa Tu (18+) BOFYA HAPA

TAARIFA Kwa Walioitwa kwenye Usaili wa Tarehe 28-29 Julai, 2025

Filed in Nafasi Za Kazi Tanzania 2025 by on July 17, 2025 0 Comments

Wasailiwa wote mlioitwa kwenye usaili utakaofanyika kwa njia ya mtandao (ONLINE) tarehe 28 – 29 Julai 2025, mnatakiwa kuhuisha (update) taarifa katika akaunti zenu za ajira portal, kwa kuainisha mahali ulipo kwa sasa ili
upangiwe kituo cha usaili karibu na eneo lako.

TAARIFA Kwa Walioitwa kwenye Usaili wa Tarehe 28-29 Julai, 2025

Ili kuhuisha taarifa zako – nenda kwenye eneo la PERSONAL DETAILS, kisha rekebisha eneo la CURRENT RESIDENT REGION kwa kuandika Mkoa na Wilaya uliyopo kwa sasa. Na kwa wale ambao hawajaitwa kwenye usaili kwa sababu mbalimbali, endapo watataka kukata rufaa – wanaweza kuwasiliana na kituo cha Huduma kwa wateja namba 0262160350 au kwa barua pepe [email protected] / [email protected] mwisho wa zoezi hili ni Julai 21,
2025.

Tembelea Tovuti ya www.ajira.go.tz kwa maelezo zaidi.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Kwa Video za Connection za Wakubwa Tu (18+) BOFYA HAPA
Kwa Video za Connection za Wakubwa Tu (18+) BOFYA HAPA
error: Content is protected !!