Close Menu

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    What's Hot

    Обзор гемблингового казино: техничные и пользовательские особенности

    November 5, 2025

    1xBet na Paris Saint-Germain Yaongeza Ushirikiano Kwa Misimu 3 Zaidi

    October 15, 2025

    Jinsi ya kupika Pilau kwenye Rice Cooker

    October 9, 2025
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Kisiwa24
    • Home
    • Ajira
    • Makala
    • Michezo
    • Usaili
    • Kuitwa Kazini
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Kisiwa24
    Home»Nafasi Za Kazi Tanzania 2025»NAFASI za Kazi ya Muda INEC Tume ya Taifa ya Uchaguzi 2025
    Nafasi Za Kazi Tanzania 2025

    NAFASI za Kazi ya Muda INEC Tume ya Taifa ya Uchaguzi 2025

    Kisiwa24By Kisiwa24July 7, 2025No Comments3 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    NAFASI za Kazi ya Muda INEC Tume ya Taifa ya Uchaguzi 2025
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi itangaza nafasi za kazi za muda za watendaji wa vituo vya kupigia kura kwaajili ya Uchaguzi Mkuu wa 2025.

    Table of Contents

    Toggle
    • MASHARTI YA JUMLA
      • BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD PDF YA TANDAZO

    Kwa madhumuni ya uendeshaji wa uchaguzi mkuu na kwa kuzingatia masharti ya kifungu cha 6 (6) cha Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani Na. 1 ya Mwaka 2024, kikisomwa pamoja na kanuni ya 10(1) ya Kanuni za Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani za Mwaka 2025, Mkurugenzi wa Uchaguzi anakaribisha maombi kutoka kwa watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi Mbalimbali kama zilizoanishwa katika Tangazo hili la Ajira.

    NAFASI za Kazi ya Muda INEC Tume ya Taifa ya Uchaguzi 2025

    MATANGAZO YA AJIRA BOFYA HAPA

    Nafasi Za Kusimamia Uchaguzi Mkuu 2025 zilizotangazwa ni kama zilizoanishwa hapa chini.

    • Wasimamizi wa Vituo vya Kupigia Kura.
    • Wasimamizi wasaidizi wa Vituo vya Kupigia kura.
    • Makarani Waongozaji Wapiga Kura.

    SIFA ZA WAOMBAJI WA NAFASI ZA WASIMAMIZI AU WASIMAMIZI WASAIDIZI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA

    • Awe raia wa Tanzania.
    • Ametimiza umri wa miaka 18.
    • Asiwe kiongozi wa chama cha siasa.
    • Awe mwadilifu, mtiifu na mwenye akili timamu.
    • Awe amehitimu Elimu ya Kidato cha nne (4) au zaidi na anajua kusoma na kuandika katika lugha ya Kiswahili au kiingereza.
    • Pia, anayeweza kusoma na kuelewa kitabu cha Maelekezo kwa Wasimamizi wa Vituo vya Kupigia Kura na
    • Awe mkazi wa kata anayoomba kufanya kazi.

    SIFA ZA WAOMBAJI WA NAFASI YA KARANI MWONGOZAJI WAPIGA KURA

    • Awe raia wa Tanzania.
    • Awe ametimiza umri wa miaka 18.
    • Asiwe kiongozi wa chama cha siasa.
    • Awe mwadilifu, mtiifu na mwenye akili timamu.
    • Awe amehitimu Elimu ya kidato cha nne (4) au zaidi na anajua kusoma na kuandika katika lugha ya kiswahili au kiingereza.
    • Pia, anayeweza kusoma na kuelewa kitabu cha Maelekezo kwa Makarani Waongozaji Wapiga Kura.
      na
    • Awe mkazi wa kata anayoomba kufanya kazi.

    MALIPO

    Malipo yatakuwa kama ifuatavyo hapa chini.

    Siku ya Uchaguzi Msimamizi wa Kituo atalipwa posho ya Shilingi 70,000/= kwa siku kwa muda wa siku mbili, posho ya chakula Shilingi 20,000/= kwa siku moja na nauli Shilingi 20,000/=.

    Msimamizi Msaidizi wa Kituo atalipwa posho ya Shilingi 65,000/= kwa siku kwa muda wa siku mbili, posho ya chakula Shilingi 20,000/= kwa siku moja na nauli Shilingi 20,000/=

    Karani Mwongozaji Wapiga Kura atalipwa posho ya Shilingi 65,000/= kwa siku moja na posho ya chakula Shilingi 20,000/=.

    Wakati wa mafunzo watendaji wote watalipwa posho ya kiasi cha Shilingi 50,000/= kwa siku na nauli kiasi cha Shillingi 20,000/= kwa kila siku ya mafunzo.

    MASHARTI YA JUMLA

    • Mwombaji lazima aainishe kata na nafasi anayoomba.
    • Mwombaji awe tayari kufanya kazi katika kituo chochote atakachopangiwa.
    • Mwombaji aambatishe: –
      a) nakala ya vyeti vya Elimu ya Sekondari na Taaluma ikiwa anavyo.
      b) wasifu (CV) ukionesha anuani yake ya makazi, namba za simu za kuaminika pamoja na majina ya wadhamini wake wawili na namba zao za NIDA.
      c) picha mbili zenye ukubwa sawa na picha iliyomo kwenye pasi ya kusafiria (Passport size) za hivi karibuni.
      d) barua ya utambulisho kutoka kwa mtendaji wa serikali ya mtaa au kijiji katika eneo analoishi..
    • Mwombaji ambaye ni mtumishi wa umma apitishe barua yake ya maombi kwa mwajiri wake.

    BARUA ZOTE ZA MAOMBI ZIANDIKWE ANUANI IFUATAYO:
    Mkurugenzi wa Uchaguzi,
    Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi,
    Uchaguzi House,
    Eneo la Uwekezaji Njedengwa,
    Kitalu D, Kiwanja Na.4,
    5 Barabara ya Uchaguzi,
    S.L.P. 358,
    41107 DODOMA.

    BARUA ZOTE ZA MAOMBI ZIANDIKWE NYUMA YA BAHASHA NAFASI ANAYOOMBA MWOMBAJI.

    ILI KURAHISISHA UTUMAJI WA MAOMBI, BARUA ZOTE ZA MAOMBI ZIKIWA ZIMEFUNGWA ZIPELEKWE KWA MSIMAMIZI MSAIDIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA AMBAYE ATAZIPOKEA NA KUZIWASILISHA KWA MSIMAMIZI WA UCHAGUZI.

    MWOMBAJI ATAKAYEBAINIKA KUWASILISHA TAARIFA ZA KUGHUSHI ATACHUKULIWA HATUA ZA KISHERIA.

    MWISHO WA KUTUMA MAOMBI NI TAREHE 11 JULAI, 2025.

    BONYEZA HAPA KUDOWNLOAD PDF YA TANDAZO

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Kisiwa24
    • Website

    Related Posts

    Majina ya Usaili kusimamia Uchaguzi NEC 2025 – Jimbo la Moshi Vijijini

    October 8, 2025

    MATOKEO Ya Usaili Wa Vitendo Uliofanyika Tarehe 07-08/10/2025

    October 8, 2025

    MAJINA ya Walioitwa Kwenye Usaili Majina Ya Nyongeza 07-10-2025

    October 8, 2025
    Leave A Reply Cancel Reply

    Demo
    Top Posts

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2025

    July 12, 2025137 Views

    PDF ya Majina ya Walioitwa Kwenye Usaili Jeshi la Magereza 2025/2026

    September 30, 202580 Views

    NAFASI za Kazi Kutoka Yas Tanzania

    October 4, 202572 Views
    Stay In Touch
    • Facebook
    • YouTube
    • TikTok
    • WhatsApp
    • Twitter
    • Instagram
    Latest Reviews

    Subscribe to Updates

    Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

    Demo
    Covid-19 Statistics

    [rb_covid countries_code=’CN’ countries_label=’China’ columns=1]

    Most Popular

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2025

    July 12, 2025137 Views

    PDF ya Majina ya Walioitwa Kwenye Usaili Jeshi la Magereza 2025/2026

    September 30, 202580 Views

    NAFASI za Kazi Kutoka Yas Tanzania

    October 4, 202572 Views
    Our Picks

    Обзор гемблингового казино: техничные и пользовательские особенности

    November 5, 2025

    1xBet na Paris Saint-Germain Yaongeza Ushirikiano Kwa Misimu 3 Zaidi

    October 15, 2025

    Jinsi ya kupika Pilau kwenye Rice Cooker

    October 9, 2025

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    • Home
    • Buy Now
    © 2025 ThemeSphere. Designed by ThemeSphere.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.