Close Menu
Kisiwa24

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    What's Hot

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026
    Kisiwa24Kisiwa24
    • Home
    • Ajira
    • Michezo
    • Makala
    • Elimu
    Kisiwa24
    Home»Ajira»NAFASI za Kazi Dereva Daraja la II Makambako Town Council
    Ajira

    NAFASI za Kazi Dereva Daraja la II Makambako Town Council

    Kisiwa24By Kisiwa24June 19, 2025No Comments2 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    Halmashauri ya Mji Makambako imepokea kibali cha Ajira mpya chenye Kumb. Na. FA.97/228/01/A/25 cha tarehe 29/04/2025 kwa nafasi ya Dereva Daraja la II, Mwandishi Mwendesha Ofisi Daraja la II na Msaidizi wa Kumbukumbu Daraja la II kutoka kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Manejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora. Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Makambako anatangaza nafasi za kazi na anakaribisha maombi kwa Watanzania wenye sifa za kujaza nafasi kama ilivyoorodheshwa katika tangazo hili.

    NAFASI za Kazi Dereva Daraja la II Makambako Town Council

    DEREVA DARAJA LA II – NAFASI- 6

    KAZI/ MAJUKUMU YA DEREVA

    i. Kukagua gari kabla na baada ya safari ili kubaini hali ya usalama wa gari;
    ii. Kuwapeleka watumishi maeneo mbalimbali kwenye safari za kikazi;
    iii. Kufanya matengenezo madogo madogo ya gari;
    iv. Kukusanya na kusambaza nyaraka mbalimbali;
    v. Kujaza na kutunza taarifa za safari zote katika daftari la safari;
    vi. Kufanya usafi wa gari; na
    vii. Kufanya kazi nyingine kadri atakavyoelekezwa na Msimamizi wake.
    viii. Pamoja na kazi zingine utakazopangiwa na Mwajiri wako.

    SIFA ZA MWOMBAJI

    Kuajiriwa wenye cheti cha Kidato cha Nne (Form IV) na Leseni ya Daraja E au C ya
    uendeshaji magari ambayo wamefanyia kazi kwa muda usiopungua mwaka mmoja (1)
    bila kusababisha ajali pamoja na vyeti vya mafunzo vilivyowapatia sifa ya kupata
    madaraja husika. Wawe wamehudhuria mafunzo ya msingi ya Uendeshaji magari

    (Basic Driving Course) yanayotolewa na Chuo cha VETA au Chuo kingine
    kinachotambuliwa na Serikali.

    MSHAHARA

    Ngazi ya Mshahara ni TGS B1

    Mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 01 Julai, 2025,

    MUHIMU: Kumbuka kuambatanisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa pamoja na vyeti vya Elimu, Anuani ya barua hiyo ielekeze kwa:-
    Mkurugenzi wa Mji,
    Halmashauri ya Mji Makambako,
    S. L. P 405,
    MAKAMBAKO.

    Maombi yote yatumwe kwenye mfumo wa kielektroniki wa Ajira kupitia anwani ifuatayo; https://portal.ajira.go.tz/ (Anuani hii pia inapatikana kwenye tovuti ya Sekretarieti ya Ajira kwa kuingia sehemu iliyoandikwa (‘Recruitment Portal’)

     

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleNAFASI 11 za Kazi Makambako Town Council
    Next Article MAGAZETI ya Leo Ijumaa 20 June 2025
    Kisiwa24

    Related Posts

    Ajira

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026
    Ajira

    NAFASI 33 za Kazi Chuo Cha MUST

    January 3, 2026
    Ajira

    NAFASI 10 za Kazi Halmshauri ya Mji Babati

    January 3, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    Demo
    Top Posts

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202560 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202537 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202537 Views
    Stay In Touch
    • Facebook
    • YouTube
    • TikTok
    • WhatsApp
    • Twitter
    • Instagram
    Latest Reviews

    Subscribe to Updates

    Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

    Demo
    Most Popular

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202560 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202537 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202537 Views
    Our Picks

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    • Home
    • Buy Now
    © 2026 ThemeSphere. Designed by ThemeSphere.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.