Close Menu

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    What's Hot

    L’univers captivant des machines à sous au casino Allyspin

    November 4, 2025

    Exploring the Thrill of the Aquatic Quest in Big Bass Bonanza

    November 4, 2025

    Il Viaggio Magico a Chicken Road Casino

    November 4, 2025
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Kisiwa24
    • Home
    • Ajira
    • Makala
    • Michezo
    • Usaili
    • Kuitwa Kazini
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Kisiwa24
    Home»Nafasi Za Kazi Tanzania 2025»NAFASI Za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Handeni June 2025
    Nafasi Za Kazi Tanzania 2025

    NAFASI Za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Handeni June 2025

    Kisiwa24By Kisiwa24June 4, 2025Updated:June 4, 2025No Comments4 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    NAFASI Za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Handeni June 2025
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    NAFASI Za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Handeni June 2025

    MATANGAZO YA AJIRA BOFYA HAPA

    Table of Contents

    Toggle
    • MWANDISHI MWENDESHA OFISI II – NAFASI 4
      • SIFA ZA MWOMBAJI
      • KAZI NA MAJUKUMU
      • NGAZI YA MSHAHARA
    • DEREVA DARAJA LA II – NAFASI 7
      • SIFA ZA MWOMBAJI
      • MAJUKUMU YA KAZI
      • NGAZI YA MSHAHARA
      • MASHARTI YA JUMLA KWA WAOMBAJI
      • BONYEZA HAPA KUTUMA MAOMBI

    Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Handeni amepokea kibali cha Ajira mpya kwa ikama ya mwaka 2023/2024 kutoka kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais
    Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora chenye Kumb.Na.FA.97/228/01/A/25 cha tarehe 29/04/2025. Hivyo Watanzania wote wenye sifa wanatangaziwa kutuma maombi ya kazi kwa nafasi zifuatazo:-

    MWANDISHI MWENDESHA OFISI II – NAFASI 4

    SIFA ZA MWOMBAJI

    Awe amefaulu Kidato cha Nne (IV) au kidato cha Sita (VI) wenye Stashahada (Diploma) ya Uhazili au Cheti cha NTA level 6 ya Uhazili. Aidha awe amefaulu somo la Hatimkato ya Kiswahili na Kingereza maneno 100 kwa dakika moja na kupata program za compyuta za ofisi kama vile: – Word, Excel, Power point, Internet, E-mail na Publisher kutoka chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali.

    KAZI NA MAJUKUMU

    i. Kuchapa barua, taarifa na nyaraka za kawaida na za siri;
    ii. Kupokea wageni na kuwasiliza shida zao na kuwaeleza wanapoweza kusaidiwa;
    iii. Kutunza taarifa za kumbukumbu ya matukio, miadi, tarehe za vikao, safari za Mkuu wake na ratiba za kazi zingine;
    iv. Kutafuta majalada na nyaraka zinazohitajika katika utekelezaji wa majukumu ya kazi; Halmashauri ya Wilaya ya Handeni, S.L.P 355, Handeni, Simu: +255 0272977402, Nukushi: +255 0272977402, Barua pepe: [email protected], Tovuti: www.handenidc.go.tz
    v. Kupokea majalada na kusambaza kwa maafisa walio katika Idara/Kitengo/Sehemu husika;
    vi. Kukusanya, kutunza na kuyarejesha majalada na nyaraka sehemu zinahusika;
    vii. Kupanga dondoo na kufanya maandalizi ya vikao mbalimbali;
    viii.Kuandaa orodha ya mahitaji ya vifaa vya Ofisi.

    NGAZI YA MSHAHARA

    Kwa kuzingatia ngazi za mishahara ya Serikali – TGS C

    DEREVA DARAJA LA II – NAFASI 7

    SIFA ZA MWOMBAJI

    Awe na cheti cha Mtihani wa Kidato cha Nne (IV), mwenye leseni Daraja “E” au “C” ya uendeshaji Pamoja na uzoefu wa kuendesha magari kwa muda usiopungua Mwaka mmoja (1) bila kusababisha ajali, Awe amehudhuria mafunzo ya msingi ya Uendeshaji Magari (Basic Driving Course) yanayotolewa na chuo cha Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) au Chuo kingine kinachotambuliwa na Serikali

    MAJUKUMU YA KAZI

    i. Kukagua gari kabla na baada ya safari ili kubaini hali ya usalama wa gari;
    ii. Kuwapeleka Watumishi maeneo mbalimbali kwenye safari za kikazi;
    iii. Kufanya matengenezo madogo madogo ya gari;
    iv. Kutunza na kuandika daftari la safari “log book” kwa safari zote;
    v. Kukusanya na kusambaza nyaraka mbalimbali;
    vi. Kufanya usafi wa Gari na
    vii. Kufanya kazi nyingine kadri atakavyoelekezwa na Msimamizi wake

    NGAZI YA MSHAHARA

    Kwa kuzingatia viwango vya Serikali TGS B.

    MASHARTI YA JUMLA KWA WAOMBAJI

    i. Waomabji wote wawe ni Raia wa Tanzania na wenye umri wa kuanzia miaka 18 na usiozidi miaka 45 isipokuwa kwa wale walioko kazini Serikalini
    ii. Waombaji wenye ulemavu wanahamasishwa kutuma maombi na wanapaswa kuainisha kwenye Mfumo wa kuombea ajira ulemavu walionao kwa ajili ya
    taarifa kwa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma. Halmashauri ya Wilaya ya Handeni, S.L.P 355, Handeni, Simu: +255 0272977402, Nukushi: +255 0272977402, Barua pepe: [email protected], Tovuti: www.handenidc.go.tz
    iii. Waombaji wote waambatishe maelezo binafsi yaliyojitosheleza (Details Curriculum Vitae) yenye anuani inayotumika, namba za simu zinazopatikana na Anuani ya Barua Pepe (E-mail address) pamoja na majina ya wadhamini (Referees) watatu wa kuaminika.
    iv. Waombaji ambao tayari ni Watumishi wa Umma na wamejipatia Sifa za kuingia katika kada tofauti na walizonazo, wapitishe barua zao za maombi ya nafasi ya kazi
    kwa waajiri wao na waajiri wao wajiridhishe ipasavyo.
    v. Waombaji waambatishe maelezo binafsi yanayojitosheleza (Detail C.V) yenye anuani na namba za simu za kuaminika Pamoja na majina ya wadhamini (referees) watatu wa kuaminika;
    vi. Maombi yote yaambatane na vyeti vya Elimu na Taaluma vilivyothibitishwa na Mwanasheria/Wakili ambavyo ni vyeti vya Kidato cha Nne au Sita kwa wale waliofikia kiwango hicho na vyeti vya kuhitimu mafunzo mbalimbali kwa kuzingatia sifa za kazi husika;
    vii. Postgraduate/Degree/Advanced Diploma/Certificates, – Cheti cha mtihani wa Kidato cha IV na VI, Computer Certificates, Vyeti vya Kitaaluma (Professional Certificate
    from Respective Boards);
    viii. Testimonial, “Provisional Results”, hati ya matokeo ya Kidato cha Nne na Kidato cha Sita (FORM IV AND FORM VI RESULTS SLIPS) HAVITAKUBALIWA.
    ix. Waombaji waliosoma nje ya Nchi wahakikishe vyeti vyao vimehakikiwa na vimethibitishwa na Mamlaka husika (TCU, NECTA na NACTE).
    x. Waombaji waliostaafishwa katika Utumishi wa Umma hawaruhusiwi kuomba isipokuwa kama wana kibali kutoka kwa Katibu Mkuu Kiongozi
    xi. Waombaji kazi ambao tayari ni waajiriwa katika nafasi za kuingilia walioko katika Utumishi wa Umma wasiombe na wanatakiwa kuzingatia maelekezo yaliyo katika
    Waraka Na. CAC.45/257/01/D/140 wa tarehe 30 Novemba, 2010.
    xii. Uwasilishaji wa taarifa na sifa za kughushi wahusika watachukuliwa hatua za kisheria
    xiii. Mwisho wa kutuma maombi ya kazi ni tarehe 16/06/2025

    • BONYEZA HAPA KUTUMA MAOMBI

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Kisiwa24
    • Website

    Related Posts

    Majina ya Usaili kusimamia Uchaguzi NEC 2025 – Jimbo la Moshi Vijijini

    October 8, 2025

    MATOKEO Ya Usaili Wa Vitendo Uliofanyika Tarehe 07-08/10/2025

    October 8, 2025

    MAJINA ya Walioitwa Kwenye Usaili Majina Ya Nyongeza 07-10-2025

    October 8, 2025
    Leave A Reply Cancel Reply

    Demo
    Top Posts

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2025

    July 12, 202597 Views

    PDF ya Majina ya Walioitwa Kwenye Usaili Jeshi la Magereza 2025/2026

    September 30, 202547 Views

    Jinsi Ya Kurudisha Channel Zilizopotea Kwenye Kisimbizi Cha Azam TV

    December 12, 202427 Views
    Stay In Touch
    • Facebook
    • YouTube
    • TikTok
    • WhatsApp
    • Twitter
    • Instagram
    Latest Reviews

    Warning: Undefined array key "file" in /home/u605461473/domains/habarika24.com/public_html/wp-content/themes/smart/inc/media.php on line 688
    Makala

    Pico 4 Review: Should You Actually Buy One Instead Of Quest 2?

    8.5 By Kisiwa24January 15, 20210
    Uncategorized

    A Review of the Venus Optics Argus 18mm f/0.95 MFT APO Lens

    8.1 By Kisiwa24January 15, 20210
    Magazeti

    DJI Avata Review: Immersive FPV Flying For Drone Enthusiasts

    8.9 By Kisiwa24January 15, 20210

    Subscribe to Updates

    Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

    Demo
    Covid-19 Statistics

    [rb_covid countries_code=’CN’ countries_label=’China’ columns=1]

    Most Popular

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2025

    July 12, 202597 Views

    PDF ya Majina ya Walioitwa Kwenye Usaili Jeshi la Magereza 2025/2026

    September 30, 202547 Views

    Jinsi Ya Kurudisha Channel Zilizopotea Kwenye Kisimbizi Cha Azam TV

    December 12, 202427 Views
    Our Picks

    L’univers captivant des machines à sous au casino Allyspin

    November 4, 2025

    Exploring the Thrill of the Aquatic Quest in Big Bass Bonanza

    November 4, 2025

    Il Viaggio Magico a Chicken Road Casino

    November 4, 2025

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    • Home
    • Buy Now
    © 2025 ThemeSphere. Designed by ThemeSphere.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.