Close Menu

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    What's Hot

    Exploring the Thrill of the Aquatic Quest in Big Bass Bonanza

    November 4, 2025

    Il Viaggio Magico a Chicken Road Casino

    November 4, 2025

    Официальный сайт приватного онлайн-казино.

    November 4, 2025
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Kisiwa24
    • Home
    • Ajira
    • Makala
    • Michezo
    • Usaili
    • Kuitwa Kazini
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Kisiwa24
    Home»Nafasi Za Kazi Tanzania 2025»NAFASI za Kazi Halmashauri ya Manispaa ya Geita June 2025
    Nafasi Za Kazi Tanzania 2025

    NAFASI za Kazi Halmashauri ya Manispaa ya Geita June 2025

    Kisiwa24By Kisiwa24June 3, 2025No Comments3 Mins Read
    Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    NAFASI za Kazi Halmashauri ya Manispaa ya Geita June 2025
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Geita amepokea kibali cha Ajira mpya kutoka kwa Katibu Mkuu OR – Utumishi chenye Kumb. Na. FA.97/228/01A/25 cha
    terehe 29/04/2025. Hivyo anapenda kuwatangazia watanzania wote wenye sifa kutuma maombi kwa nafasi tisa (09) kama zilivyoainishwa kwa kuzingatia sifa tajwa:-

    Table of Contents

    Toggle
    • DEREVA DARAJA LA II (NAFASI 09)
      • KAZI NA MAJUKUMU
      • SIFA ZA MWOMBAJI
      • NGAZI YA MSHAHARA
    • MASHARTI YA JUMLA KWA WAOMBAJI
      • BONYEZA HAPA KUTUMA MAOMBI

    NAFASI za Kazi Halmashauri ya Manispaa ya Geita June 2025

    MATANGAZO YA AJIRA BOFYA HAPA

    DEREVA DARAJA LA II (NAFASI 09)

    KAZI NA MAJUKUMU

    i. Kukagua gari kabla na baada ya safari ili kubaini hali ya usalama wa gari
    ii. Kupeleka watumishi kwenye safari za kazi
    iii. Kufanya matengenezo madogo madogo ya gari
    iv. Kukusanya na kusambaza nyaraka mbalimbali
    v. Kujaza na kutunza taarifa za safari zote katika daftari la safari
    vi. Kufanya usafi wa gari.

    SIFA ZA MWOMBAJI

    Awe amehitimu Elimu ya Kidato cha Nne (IV). Awe na leseni ya Daraja la C au E ya uendeshaji magari ambayo amefanyia kazi kwa muda usiopungua mwaka mmoja bila kusababisha ajali. Awe amehudhuria mafunzo ya msingi ya uendeshaji magari (Basic Driving Course) yanayotolewa na chuo cha VETA.

    NGAZI YA MSHAHARA

    Ngazi ya Mshahara ni TGS B

    MASHARTI YA JUMLA KWA WAOMBAJI

    i. Waombaji wote wawe ni Raia wa Tanzania wenye umri wa miaka 18 na usiozidi miaka 45 isipo kuwa kwa wale tu walioko kazini Serikalini.
    ii. Waombaji wenye ulemavu wanahamasishwa kutuma maombi na wanapaswa kuainisha kwenye mfumo wa kuombea ajira Ulemavu walionao kwa ajili ya taarifa kwa Sekretarieti ya ajira katika Utumishi wa Umma.
    iii. Waombaji waambatanishe maelezo binafsi yanayojitosheleza (Detailed C.V) yenye anuani inayotumika, namba za simu zinazopatikana na anuani ya barua pepe (E-mail Adress) pamoja na majina ya wadhamini (referees) watatu wa kuaminika.
    iv. Waombaji ambao tayari ni watumishi wa Umma na wamejipatia sifa za kuingilia katika kada tofauti na walizonazo, wapitishe barua zao za maombi ya nafasi za kazi kwa waajiri wao na Waajiri wajiridhishe ipasavyo.
    v. Maombi yote yaambatane na vyeti vya elimu na taaluma vilivyothibitishwa na Mwanasheria Wakili ambavyo ni vyeti vya Kidato cha Nne au Kidato cha Sita kwa wale waliofikia kiwango hicho na vyeti vya kuhitimu mafunzo mbalimbali kwa kuzingatia sifa za kazi husika.
    vi. Testmonials”, “Provisional Results”, “Statement of results”, hati za matokeo za kidato cha nne na sita (FORM IV AND FORM VI RESULTS SLIPS)
    HAVITAKUBALIWA.
    vii. Waombaji waliosoma nje ya Tanzania wahakikishe vyeti vyao vimehakikiwa na Vimethibitishwa na Mamlaka husika (TCU, NECTA na NACTVET).
    viii. Waombaji waliostaafishwa katika Utumishi wa Umma hawaruhusiwi kuomba isipokuwa kama wana kibali cha Katibu Mkuu Kiongozi.
    ix. Waombaji kazi ambao tayari ni waajiriwa katika nafasi za kuingilia walioko katika Utumishi wa Umma wasiombe na wanatakiwa kuzingatia maelekezo yaliyo katika Waraka Na. CAC. 45/257/01/D/140 wa tarehe 30 Novemba, 2010.
    x. Uwasilishaji wa taarifa na sifa za kughushi wahusika watachukuliwa hatua za kisheria.
    xi. Waombaji watakaowasilisha taarifa na sifa za kughushi watachukuliwa hatua za kisheria.
    xii. Mwisho wa kutuma maombi ni tarehe 16 Juni, 2025.

    • BONYEZA HAPA KUTUMA MAOMBI

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Kisiwa24
    • Website

    Related Posts

    Majina ya Usaili kusimamia Uchaguzi NEC 2025 – Jimbo la Moshi Vijijini

    October 8, 2025

    MATOKEO Ya Usaili Wa Vitendo Uliofanyika Tarehe 07-08/10/2025

    October 8, 2025

    MAJINA ya Walioitwa Kwenye Usaili Majina Ya Nyongeza 07-10-2025

    October 8, 2025
    Leave A Reply Cancel Reply

    Demo
    Top Posts

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2025

    July 12, 202591 Views

    PDF ya Majina ya Walioitwa Kwenye Usaili Jeshi la Magereza 2025/2026

    September 30, 202544 Views

    Jinsi Ya Kurudisha Channel Zilizopotea Kwenye Kisimbizi Cha Azam TV

    December 12, 202427 Views
    Stay In Touch
    • Facebook
    • YouTube
    • TikTok
    • WhatsApp
    • Twitter
    • Instagram
    Latest Reviews

    Warning: Undefined array key "file" in /home/u605461473/domains/habarika24.com/public_html/wp-content/themes/smart/inc/media.php on line 688
    Makala

    Pico 4 Review: Should You Actually Buy One Instead Of Quest 2?

    8.5 By Kisiwa24January 15, 20210
    Uncategorized

    A Review of the Venus Optics Argus 18mm f/0.95 MFT APO Lens

    8.1 By Kisiwa24January 15, 20210
    Magazeti

    DJI Avata Review: Immersive FPV Flying For Drone Enthusiasts

    8.9 By Kisiwa24January 15, 20210

    Subscribe to Updates

    Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

    Demo
    Covid-19 Statistics

    [rb_covid countries_code=’CN’ countries_label=’China’ columns=1]

    Most Popular

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2025

    July 12, 202591 Views

    PDF ya Majina ya Walioitwa Kwenye Usaili Jeshi la Magereza 2025/2026

    September 30, 202544 Views

    Jinsi Ya Kurudisha Channel Zilizopotea Kwenye Kisimbizi Cha Azam TV

    December 12, 202427 Views
    Our Picks

    Exploring the Thrill of the Aquatic Quest in Big Bass Bonanza

    November 4, 2025

    Il Viaggio Magico a Chicken Road Casino

    November 4, 2025

    Официальный сайт приватного онлайн-казино.

    November 4, 2025

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    • Home
    • Buy Now
    © 2025 ThemeSphere. Designed by ThemeSphere.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.