WALIO CHAGULIWA KIDATO CHA TANO 2025

_________________________________________________

MATANGAZO YA AJIRA  KILA SIKU BOFYA HAPA

_________________________________________________

NOTES ZA KIDATO CHA 1 HADI 6 BOFYA HAPA

_________________________________________________

MAGROUP MAPYA YA WHATSAAP BOFYA HAPA

_________________________________________________
MATANGO YA AJIRA BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

Kikosi Cha Simba Sc vs RS Berkane 25 May 2025

Filed in Michezo by on May 24, 2025 0 Comments

Baada ya mchezo wa duru ya kwanza wa fainali za kombe la shirikisho Afrika kati ya RS Berkane vs Simba Sc uliofanyika 17 May 2025 Nchini Morocco leo 25 May 2025 ni mchezo wa Duru ya Pili.

Mchezo huu wa duru ya pili utafanyika nchini Tanzania Zanzibar visiwani katika uwanja wa Amaan leo jumapili kuanzia majira ya saa 10:00 za jioni.

Ikumbukwe ya kua mchezo wa Duru ya kwanza Simba ilikubali kichapo cha mabao 2 – 0 ugenini, ili kujihakikishia ushindi wa kombe hili klabu ya Simba itahitaji kushinda si chini ya goli 3 kwa sifuri.

Kuelekea mchezo huu Kisiwa24 Blog tuko hapa kukuletea kikosi cha Simba Sc kitakacho minyana na klabu ya RS Berkane katika kuwania taji hili la kombe la shirikisho Afrika kwenye mchezo wa Duru ya pili ya fainali za CAF Confederation Cup msimu wa 2024/2025.

Kikosi Cha Simba Sc vs RS Berkane 25 May 2025

Hapa chini ndio kikosi cha simba kitakacho tangazwa lisaa limoja kabla ya kuanza kwa mchezo huu wa fainali ya CAF Confideration Cup duru ya pili mjini Zanzibar kuanzia majira ya saa10:00 za jioni.

MATANGO YA AJIRA BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA
MATANGAZO YA KAZI BOFYA HAPA

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *