Close Menu
Kisiwa24

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    What's Hot

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026
    Kisiwa24Kisiwa24
    • Home
    • Ajira
    • Michezo
    • Makala
    • Elimu
    Kisiwa24
    Home»Michezo»Ratiba Ya Ligi Kuu Ya Nbc Msimu Wa 2024/2025
    Michezo

    Ratiba Ya Ligi Kuu Ya Nbc Msimu Wa 2024/2025

    Kisiwa24By Kisiwa24October 25, 2024No Comments8 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    Ratiba Ya Ligi Kuu Ya Nbc Msimu Wa 2024/2025

    Tangazo

    Habari hii na nyingine nyingi zinapatikana kwenye telegram channel yetu na WhatsApp channel yetu tumia linki hapo chini kujiunga

    BONYEZA HAPA KUJIUNGA NA TELEGRAM CHANNEL YETU

    Ligi Kuu ya NBC Tanzania ni mojawapo ya mashindano maarufu na yenye msisimko mkubwa katika medani ya soka nchini. Ligi hii inasimamiwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), ambalo limekuwa likifanya kazi kubwa kuhakikisha kuwa ligi inakua na inaboresha kiwango cha soka nchini. Msimu wa 2024/2025 unatarajiwa kuwa na ushindani mkali na burudani ya hali ya juu kutokana na ushiriki wa timu zenye uwezo na rekodi nzuri.

    Ratiba Ya Ligi Kuu Ya Nbc Msimu Wa 2024/2025

    Hapa Tumekuwekea ratiba ya Ligi kuu ya NBC msimu wa 2024/2025 kwa roundi ya KWANZA hapa utapata michezo ya mechi zote kwa roundi ya 1;

    Siku; 8/16/2024

    Timu; Pamba Jiji VS Tanzania Prisons

    Muda; 16:00

    Uwanja; CCM Kirumba

    Siku; 8/17/2024

    Timu; Mashujaa FC VS Dodoma Jiji

    Muda; 16:00

    Uwanja; Lake Tanganyika

    Siku; 8/17/2024

    Timu; Namungo FC Vs Fountain Gate

    Muda; 19:00

    Uwanja; Majaliwa Stadium

    Siku; 8/18/2024

    Timu; KenGold FC VS Singida BS

    Muda; 14:00

    Uwanja; Sokoine Stadium

    Siku; 8/18/2024

    Timu; Simba SC VS Tabora United

    Muda; 16:15

    Uwanja; KMC Complex

    Siku; 8/28/2024

    Timu; JKT Tanzania VS Azam FC

    Muda; 16:00

    Siku; 8/29/2024

    Timu; KMC FC VS Coastal Union

    Uwanja; Mej. Jen. Isamuhyo

    Muda; 16:00

    Uwanja; KMC Complex

    Siku; 8/29/2024

    Timu; Kagera SugarV S Young Africans

    Muda; 19:00

    Uwanja; Kaitaba Stadium

     

    Ratiba Ya Ligi Kuu Ya Nbc Round 2 Msimu Wa 2024/2025

    Hapa Tumekuwekea Ratiba ya Ligi Kuu ya NBC msimu wa 2024/2025 kwa roundi ya PILI hapa utapata michezo ya mechi zote kwa roundi ya 2;

    Muda; Friday, August 23, 2024

    Timu; Mashujaa FC VS Tanzania Prisons

    Muda; 16:00

    Uwanja Lake Tanganyika Kigoma

    Siku; Saturday, August 24, 2024

    Timu; Pamba Jiji VS Dodoma Jiji

    Muda; 16:00

    Uwanja; CCM Kirumba Mwanza

    Siku; Saturday, August 24, 2024

    Timu; Kagera Sugar VS Singida BS

    Muda; 19:00

    Uwanja; Kaitaba Stadium Kagera

    Siku; Sunday, August 25, 2024

    Timu; Simba SC VS Fountain Gate

    Muda; 16:00

    Uwanja; KMC Complex Dar es Salaam

    Siku; Sunday, August 25, 2024

    Timu; Namungo FC VS Tabora United

    Muda; 19:00

    Uwanja; Majaliwa Stadium Lindi

    Siku; Wednesday, September 25, 2024

    Timu; JKT Tanzania VS Coastal union

    Muda; 14:00 Mej.

    Uwanja; Jen. Isamuhyo Dar es Salaam

    Siku; Wednesday, September 25, 2024

    Timu; KenGold FC VS Young Africans

    Muda; 16:15

    Uwanja; Sokoine Stadium Mbeya

    Siku; Thursday, September 26, 2024

    Timu; KMC FC VS Azam FC

    Muda; 16:00

    Uwanja; KMC Complex Dar es Salaam

     

    Ratiba Ya Ligi Kuu Ya Nbc Round 3 Msimu Wa 2024/2025

    Hapa Tumekuwekea ratiba ya Ligi kuu ya NBC msimu wa 2024/2025 kwa roundi ya TATU hapa utapata michezo ya mechi zote kwa roundi ya 3;

    Siku; Wednesday, September 11, 2024

    Timu; United VS Kagera Sugar

    Muda; 14:00

    Uwanja; Ali Hassan Mwinyi Tabora

    Siku; Wednesday, September 11, 2024

    Timu; Fountain Gate VS KenGold FC

    Muda; 16:15

    Uwanja; Tanzanite Kwaraa Manyara

    Siku; Thursday, September 12, 2024

    Timu; Singida BS VS KMC FC

    Muda; 16:00

    Uwanja; CCM Liti Singida

    Siku; Thursday, September 12, 2024

    Timu; Dodoma Jiji VS Namungo FC

    Muda; 19:00

    Uwanja; Jamhuri Stadium Dodoma

    Siku; Monday, October 21, 2024

    Timu; Coastal Union VS Mashujaa FC

    Muda; 16:00

    Uwanja; KMC Complex Dar es Salaam

    Siku; Monday, October 21, 2024

    Timu; Azam FC VS Pamba Jiji

    Muda; 19:00

    Uwanja; Azam Complex Dar es Salaam

    Siku; Tuesday, October 22, 2024

    Timu; Tanzania Prisons VS Simba SC

    Muda; 16:00

    Uwanja; Sokoine Stadium Mbeya

    Siku; Tuesday, October 22, 2024

    Timu; Young Africans VS JKT Tanzania

    Muda; 19:00

    Uwanja; Azam Complex Dar es Salaam

     

    Ratiba Ya Ligi Kuu Ya Nbc Round 4 Msimu Wa 2024/2025

    Siku; Saturday, September 14, 2024

    Timu; Tabora United VS Tanzania Prisons

    Muda; 16:00

    Uwanja; Ali Hassan Mwinyi Tabora

    Siku; Sunday, September 15, 2024

    Timu; Pamba Jiji VS Singida BS

    Muda; 14:00

    Uwanja; CCM Kirumba Mwanza

    Siku; Sunday, September 15, 2024

    Timu; Fountain Gate VS Dodoma Jiji

    Muda; 16:15

    Uwanja; Tanzanite Kwaraa Manyara

    Siku; Monday, September 16, 2024

    Timu; KMC FC VS KenGold FC

    Muda; 16:00

    Uwanja; KMC Complex Dar es Salaam

    Siku; Monday, September 16, 2024

    Timu; Kagera Sugar VS JKT Tanzania

    Muda; 19:00

    Uwanja; Kaitaba Stadium Kagera

    Siku; TBA

    Timu; Coastal Union VS Namungo FC

    Muda; TBA KMC

    Uwanja; Complex Dar es Salaam

    Siku; TBA

    Timu; Azam FC VS Simba SC

    Muda; TBA

    Uwanja; Benjamin Mkapa Dar es Salaam

    Siku; TBA

    Timu; Young Africans VS Mashujaa FC

    Muda; TBA

    Uwanja; Azam Complex Dar es Salaam

    Ratiba Ya Ligi Kuu Ya Nbc Msimu Wa 2024/2025

    Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) linahusika na kupanga na kusimamia ligi mbalimbali nchini, ikiwemo Ligi Kuu ya NBC Tanzania. TFF inajukumu la kuhakikisha kuwa ligi inaendeshwa kwa uwazi na haki, ikiwa ni pamoja na kutoa ratiba ya michezo, kusimamia masuala ya nidhamu, na kuhakikisha viwanja vinakidhi viwango vya kimataifa.

    • Mzunguko wa 1: Kuanza Agosti 16, 2024
    • Mzunguko wa 2: Kuanza Agosti 24, 2024
    • Mzunguko wa 3: Kuanza Septemba 11, 2024
    • Mzunguko wa 4: Kuanza Septemba 14, 2024
    • Mzunguko wa 5: Kuanza Septemba 21, 2024
    • Mzunguko wa 6: Kuanza Septemba 28, 2024
    • Mzunguko wa 7: Kuanza Oktoba 2, 2024
    • Mzunguko wa 8: Kuanza Oktoba 19, 2024
    • Mzunguko wa 9: Kuanza Oktoba 26, 2024
    • Mzunguko wa 10: Kuanza Novemba 2, 2024
    • Mzunguko wa 11: Kuanza Novemba 9, 2024
    • Mzunguko wa 12: Kuanza Novemba 23, 2024
    • Mzunguko wa 13: Kuanza Novemba 30, 2024
    • Mzunguko wa 14: Kuanza Desemba 11, 2024
    • Mzunguko wa 15: Kuanza Desemba 14, 2024
    • Mzunguko wa 16: Kuanza Desemba 21, 2024
    • Mzunguko wa 17: Kuanza Desemba 28, 2024
    • Mzunguko wa 18: Kuanza Januari 18, 2025
    • Mzunguko wa 19: Kuanza Januari 25, 2025
    • Mzunguko wa 20: Kuanza Februari Mosi, 2025
    • Mzunguko wa 21: Kuanza Februari 15, 2025
    • Mzunguko wa 22: Kuanza Februari 22, 2025
    • Mzunguko wa 23: Kuanza Machi Mosi, 2025
    • Mzunguko wa 24: Kuanza Machi 8, 2025
    • Mzunguko wa 25: Kuanza Machi 29, 2025
    • Mzunguko wa 26: Kuanza Aprili 12, 2025
    • Mzunguko wa 27: Kuanza Aprili 19, 2025
    • Mzunguko wa 28: Kuanza Mei 3, 2025
    • Mzunguko wa 29: Kuanza Mei 17, 2025
    • Mzunguko wa 30: Kuanza Mei 24, 2025

    Tafadhali kumbuka: Ratiba hii inaweza kubadilika kulingana na maamuzi ya TPL na matukio mengine yasiyotarajiwa. Endelea kufuatilia tovuti rasmi ya TPL na vyombo vya habari kwa taarifa zaidi na ratiba iliyosasishwa

    Idadi ya Timu

    Msimu wa 2024/2025 wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania utashirikisha jumla ya timu 16 ambazo zitachuana kuwania ubingwa. Timu hizi zinajumuisha vigogo wa soka kama Simba SC, Yanga SC, Azam FC, na KMC. Pia kuna timu mpya zilizopanda daraja ambazo zitakuwa na hamasa kubwa ya kuonyesha uwezo wao katika ligi kuu.

    Timu Zilizopanda Daraja

    Miongoni mwa timu mpya zilizopanda daraja msimu huu ni pamoja na KenGold FC​, ambayo imeonyesha uwezo mkubwa katika ligi daraja la kwanza. Kupanda kwao daraja ni ushahidi wa juhudi na mipango thabiti ya klabu hii, na sasa wanatarajiwa kuleta ushindani mpya katika Ligi Kuu.

    KenGold FC

    KenGold ndio mabingwa wa NBC Championship Wakiwa kileleni mwa jedwali wakiwa na alama 70, KenGold imekuwa timu bora sana msimu huu imefanikiwa kucheza mechi 30, ushindi 21, droo 7 na kupoteza 2.

    2.Pamba FC​

    Wakishika nafasi ya pili wakiwa na pointi 67, Pamba pia wamejihakikishia kupanda Ligi Kuu. Wamekuwa na mbio za kuvutia na wameshinda michezo 20, sare 7, na kupoteza 3.

    Timu Zinazoshiriki

    1. Simba SC: Moja ya klabu kongwe na yenye mafanikio makubwa katika historia ya soka la Tanzania. Simba inajivunia mashabiki wengi na rekodi nzuri ya ubingwa.
    2. Yanga SC: Pia ni klabu yenye historia ndefu na mafanikio mengi, ikiwa na mashabiki wengi na ushindani mkali dhidi ya Simba SC.
    3. Azam FC: Timu hii imeweza kujijengea jina kubwa kwa muda mfupi, ikijulikana kwa uwekezaji mkubwa na maendeleo ya haraka.
    4. KMC: Timu inayomilikiwa na Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni, imekuwa na maendeleo mazuri na inazidi kuimarika kila msimu.
    5. Singida Big Star: Timu mpya iliyopanda daraja, ikitarajiwa kuleta ushindani mpya katika ligi.

    Ratiba ya Msimu

    Hadi sasa, TFF bado haijatoa ratiba rasmi ya msimu wa 2024/2025. Hata hivyo, mashabiki wanashauriwa kuendelea kufuatilia tovuti yetu ya habario50.com kwa habari za uhakika na za haraka kuhusu ratiba hiyo na matukio mengine muhimu ya Ligi Kuu ya NBC Tanzania.

    Hitimisho

    Msimu wa 2024/2025 wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania unatarajiwa kuwa wa kusisimua na wenye ushindani mkubwa. Timu 16 zitapambana kuwania taji la ubingwa, huku mashabiki wakitarajiwa kupata burudani ya hali ya juu. habarika24.com/ inawaomba kuendelea kutembelea ukurasa huu ili kupata habari mpya na ratiba ya ligi itakapotolewa na TFF.

    Soma Pia;

    >>Tiketi na Bei ya Viingilio vya Wiki ya Mwananchi 2024

    >>Ligi Bora Africa 2024 | Viwango vya ubora CAF Ranking

    >>Ratiba ya treni za SGR Dar es Salaam na Morogoro

    >>Soma Nauli za treni ya mwendokasi SGR

    >>Soma Nauli za treni ya mwendokasi SGR

    Asante kwa kusoma makala yetu hadi mwisho, ikiwa una maswali yoyote tafadhali acha maoni hapa chini au unaweza Wasiliana nasi. Usisahau kujiunga nasi kwenye WhatsApp gropu letu kwa updates zaidi.

    Jiunge na Whatsap Gropu letu kwa updates za kila siku

    BONYEZA HAPA

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleOrodha ya Shule za Sekondari Mkoa wa Mwanza
    Next Article Ten Hag Atimuliwa Man Utd
    Kisiwa24

    Related Posts

    Michezo

    Chagua mechi za Raundi ya 3 za AFCON zenye kusisimua zaidi na 1xBet!

    December 30, 2025
    Michezo

    MATOKEO Simba vs Azam FC 07 December 2025

    December 7, 2025
    Michezo

    Kikosi cha Simba vs Azam Leo 07/12/2025

    December 7, 2025
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    Demo
    Top Posts

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202550 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202530 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202529 Views
    Stay In Touch
    • Facebook
    • YouTube
    • TikTok
    • WhatsApp
    • Twitter
    • Instagram
    Latest Reviews

    Subscribe to Updates

    Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

    Demo
    Most Popular

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202550 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202530 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202529 Views
    Our Picks

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    • Home
    • Buy Now
    © 2026 ThemeSphere. Designed by ThemeSphere.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.