⇒VIDEO ZA CONNECTION ZA WAKUBWA TU 18+ (BOFYA HAPA)

  _____________________________________

Kwa AJIRA Mpya Kila Siku (BOFYA HAPA)

_____________________________________

Nafasi za Kazi Mtendaji Wakijiji III Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa – Posti 20

Nafasi Mpya 224 Za Kazi Kutoka Utumishi (PSRS) Agosti 2024

Nafasi za Kazi Mtendaji Wakijiji III Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa – Posti 20

POST MTENDAJI WA KIJIJI III. – 20 POST
EMPLOYER Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa
APPLICATION TIMELINE: 2024-07-20 2024-08-02
JOB SUMMARY NIL
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
  1. Afisa Masuuli na mtendaji mkuu wa serikali ya kijiji;
  2. Kusimamia ulinzi na usalama wa raia na mali zao, kuwa mlinzi wa amani na msimamizi wa utawala bora katika kijiji;
  3. Kuratibu na kusimamia upangaji wa mipango ya maendeleo ya kijiji;
  4. Katibu wa mikutano na kamati zote za Halmashauri ya kijiji;
  5. Kutafsiri na Kusimamia Sera, Sheria na Taratibu;
  6. Kuandaa taarifa ya utekelezaji wa kazi katika eneo lake na kuhamasisha wananchi katika kuandaa na kutekeleza mikakati ya kuondoa njaa, umaskini na kuongeza uzalishaji mali;
  7. Kiongozi wa wakuu wa vitengo vya klitaalam katika kijiji;
  8. Kusimamia, kukusanya na kuhifadhi kumbukumbu zote na nyaraka za kijiji;
  9. Mwenyekiti wa kikao cha wataalam waliopo katika kijiji;
  10. Kupokea, kusikiliza na kutatua malalamiko na migogoro ya wananchi;
  11. Kusimamia utungaji wa Sheria Ndogo za kijiji; na
  12. Atawajibika kwa Mtendaji Mkuu wa Kata.
QUALIFICATION AND EXPERIENCE Kuajiriwa mwenye Elimu ya kidato cha Nne(IV) au Sita (VI) aliyehitimu mafunzo ya Astashahada/Cheti katika moja ya fani zifuatazo: Utawala,Sheria, Elimu ya Jamii, Usimamizi wa Fedha, Maendeleo ya Jamii na Sayansi ya Sanaa kutoka Chuo Cha Serikali za Mitaa Hombolo, Dodoma au Chuo chochote kinachotambuliwa na Serikali.
REMUNERATION TGS B

Apply Hapa

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

error: Content is protected !!