Close Menu
Kisiwa24

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    What's Hot

    PDF: MAJINA ya Walioitwa Kwenye USAILI Utumishi March 2026

    March 7, 2026

    Walioitwa Kwenye Usaili Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania(TAA)

    March 7, 2026

    Nafasi 19 za Kazi Halmashauri ya Jiji la Mbeya

    March 7, 2026
    Kisiwa24Kisiwa24
    • Home
    • Ajira
    • Michezo
    • Makala
    • Elimu
    Kisiwa24
    Home»Ajira»PDF: MAJINA ya Walioitwa Kwenye USAILI Utumishi March 2026
    Ajira

    PDF: MAJINA ya Walioitwa Kwenye USAILI Utumishi March 2026

    Kisiwa24By Kisiwa24March 7, 2026No Comments3 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
    MAJINA ya Walioitwa Kwenye USAILI Utumishi
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    MAJINA YA walioitwaKWENYE USAILI Utumishi Leo 2026, Majina ya Walioitwa Kwenye Usaili Utumishi na Ajira Portal 2026, Walioitwa kwenye Usaili Utumishi, majina walioitwa usaili ajira portal. Karibu katika ukrasa huu wenye PDF za majina ya walioitwa kwenye usaili Utumishi leo, wiki hii na mezi huu. Hapa utaweza kupata updates za majina kila siku waliotwa kwenye interview Utumishi au Names call  for interview UTUMISHI.

    Je! wewe ni miongoni mwa waliotuma maombi kupitia ajira portal an unahangaika jinsi ya kujua kama umeitwa kwenye usaili kulingana na kazi uliyoitumia maombi basi usijali kwenye kurasa hii ya kisiwa24 utaweza kusoma majina ya wote walioitwa kwenye usaili leo, wiki hii na mwezi huu 2026 katika mfumo wa PDF Document.

    Hii ni PDF Document iliyo beba orodha wa majina ya waliotuma maombi ya ajira ili kuweza kupitia mchakato wa usaili kabla ya matokeo ya waliochaguliwa kuitwa kazini kutangazwa.

    Soma Pia;

    • MAMBO ya Kuzingatia Unapoitwa Kwenye Usaili Ajira Portal
    • Maswali Yanayoulizwa Mara kwa Mara Kwenye Usaili Utumishi

    MAJINA YA walioitwa KWENYE USAILI Utumishi 2026

    Hapa chini utaweza kupata PDF Document zenye orodha ya majina ya walioitwa kwenye Usaili UTUMISHI. Tumeweka majina kulingana na Tangazo la kuitwa kwenye usaili kama lilivyotolewa na UTUMISHI

    Bonyeza kwenye kiungo unachohitaji kuangalia majina yake kulingana na wakati uliotuma maombi hapo chini (Call for Interview UTUMISHI)

    Majina Walioitwa Kwenye Usaili Utumishi (Call for Interview UTUMISHI) September 2026

    • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI MAMLAKA YA VIWANJA VYA NDEGE TANZANIA(TAA) 05-03-2026
    • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI TAASISI MBALIMBALI ZA UMMA 02-03-2026
    • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHUO KISHIRIKI CHA ELIMU DAR ES SALAAM (DUCE) 28-02-2026
    • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI CHUO KIKUU CHA SAYANSI NA TEKNOLOJIA MBEYA (MUST) 25-02-2026

    Kuhusu Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma

    Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma (PSRS) ni chombo cha serikali na hadhi ya Idara ya kujitegemea iliyoanzishwa hasa ili kuwezesha mchakato wa kuajiri wa wafanyakazi katika taasisi mbalimbali za Umma. Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma ilianzishwa na Sheria ya Utumishi wa Umma ya Nambari ya 8 0 ya 2002.

    Maono ya Sekretarieti ya Ajira

    • Kuwa kituo cha ubora katika huduma ya umma kuajiri katika kanda.

    Dira Kuu za Sekretarieti ya Ajira (PSRS)

    Kufanya kuajiri watumishi wa umma kwa kutumia mbinu za kisasa kwa kuzingatia kanuni za usawa, uwazi na sifa na pia kutoa ushauri kwa waajiri juu ya maswala yanayohusiana na ajira.

    Kazi Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma

    1. Kuajiri wafanyakazi kwenye taasisi za Umma,Jukumu kuu la PSRS ni kuwezesha kuajiri katika Huduma ya Umma.
    2. Kutafuta wataalamu mbalimbali wenye ujuzi maalum na kuandaa database kwa wataalamu hao kwa ajili ya kuajiri rahisi;
    3. Kurejista wahitimu na wataalamu kwa madhumuni ya urahisi wa rejea ya kujaza nafasi tupu;
    4. Kutangaza nafasi za kazi zinazotokea katika huduma ya umma;
    5. Kuhusisha wataalam husika kwa madhumuni ya kufanya mahojiano
    6. Kushauri waajiri juu ya masuala mbalimbali yanayohusiana na kuajiri, na
    7. Kufanya kitendo kingine chochote au kitu ambacho kinaweza kuelekezwa na Waziri anayehusika na Huduma ya Umma.
    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleWalioitwa Kwenye Usaili Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania(TAA)
    Kisiwa24

    Related Posts

    Ajira

    Walioitwa Kwenye Usaili Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania(TAA)

    March 7, 2026
    Ajira

    Nafasi 19 za Kazi Halmashauri ya Jiji la Mbeya

    March 7, 2026
    Ajira

    NAFASI za Kazi Kutoka Vodacom Tanzania 2026

    March 3, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    Demo
    Top Posts

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    March 3, 20261,869 Views

    SMS za Valentine Day kwa Mpenzi

    February 5, 2025547 Views

    Makabila ya Tanzania na Ngoma Zao za Asili

    June 9, 2025454 Views
    Stay In Touch
    • Facebook
    • YouTube
    • TikTok
    • WhatsApp
    • Twitter
    • Instagram
    Latest Reviews

    Subscribe to Updates

    Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

    Demo
    Most Popular

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    March 3, 20261,869 Views

    SMS za Valentine Day kwa Mpenzi

    February 5, 2025547 Views

    Makabila ya Tanzania na Ngoma Zao za Asili

    June 9, 2025454 Views
    Our Picks

    PDF: MAJINA ya Walioitwa Kwenye USAILI Utumishi March 2026

    March 7, 2026

    Walioitwa Kwenye Usaili Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania(TAA)

    March 7, 2026

    Nafasi 19 za Kazi Halmashauri ya Jiji la Mbeya

    March 7, 2026

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    • Home
    • Buy Now
    © 2026 ThemeSphere. Designed by ThemeSphere.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.