Close Menu
Kisiwa24

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    What's Hot

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026
    Kisiwa24Kisiwa24
    • Home
    • Ajira
    • Michezo
    • Makala
    • Elimu
    Kisiwa24
    Home»Michezo»Viwango vya Mishahara ya Wachezaji wa Azam FC 2025/2026
    Michezo

    Viwango vya Mishahara ya Wachezaji wa Azam FC 2025/2026

    Kisiwa24By Kisiwa24July 2, 2025No Comments3 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    Viwango vya Mishahara ya Wachezaji wa Azam FC 2024/2025,Mishahara ya wachezaji wa Azam FC 2024/2025, Katika makala hii ya kimichezo tutaenda kumilikia viwango vya mishahara wanayolipwa wachezaji wa klabu ya Azam FC kwa msimu wa 2024/2025.

    Kama wewe ni shabiki wa Azam FC huna budi kuweza kufahamu wachezaji wa klabu yako wanalipwa kiasi gani kwa mmoja mmoja, basi hapa utapata kujua mishahara ya wachezaji wote waliopo ndani ya klabu ya Azam FC.

    Azam FC

    Hii ni klabu maarufu sana nchini Tanzania kutokana na utajiri wa wawekezaji wake ambao ni Bhakresa Group. Timu hii inapatikana jijini Dar es Salaam na inatumia uwanja wa Azam Complex kama uwanja wake wanyumbani. Azam Fc kwa msimu huu wa 2024/2025 inashiriki katika ligi kuu ya NBC Tanzania bara

    Kikosi Kinachounda Klabu ya Azam FC

    Hapa chini ni jumla ya wachezaji wote wanounda kikosi cha Azm FC kwa msimu wa 2024/2025. Hatuwezi kuzungumzia mshahara wa wachezaji wa Azam FC bila kuwafahamu wachezaji hao na nafasi zao uwanjani.

    Magolikipa

    • Mohamed Mustafa
    • Abdulai Iddrisu
    • Ali Ahamada
    • Zuberi Foba Masudi

    Mabeki

    • Yeison Fuentes – Beki wa Kati
    • Lusajo Mwaikenda – Beki wa Kati
    • Yoro Diaby – Beki wa Kati
    • Abdalla Kheri – Beki wa Kati
    • Pascal Msindo – Beki wa Kushoto
    • Cheikh Sidibé – Beki wa Kushoto
    • Nathaniel Raphael Chilambo – Beki wa Kulia

    Viungo

    • Ever Meza – Kiungo wa Ulinzi
    • Adolf Bitegeko – Kiungo wa Ulinzi
    • Yannick Bangala – Kiungo wa Ulinzi
    • Feisal Salum – Kiungo wa Kati
    • Sospeter Bajana – Kiungo wa Kati
    • James Akaminko – Kiungo wa Kati
    • Yahya Zayd – Kiungo wa Kushambulia
    • Tepsi Evance – Kiungo wa Kushambulia

    Winga

    • Abdul Hamisi Suleiman – Winga wa Kushoto
    • Gibril Sillah – Winga wa Kushoto
    • Iddy Seleman Nado – Winga wa Kushoto
    • Franck Tiesse – Winga wa Kulia

    Washambuliaji

    • Jhonier Blanco – Mshambuliaji wa Kati
    • Franklin Navarro – Mshambuliaji wa Kati
    • Nassor Saadun – Mshambuliaji
    • Adam Omar Adam – Mshambuliaji wa Kati
    • Alassane Diao – Mshambuliaji wa Kati

    Mishahara ya wachezaji wa Azam FC 2024/2025

    Baada ya kuweza kutizama kikosi kiachounda klabu ya Azam Fc embu sasa tutizame mishahara ya wachezaji wa Azam FC kwa msimu wa 2024/2025

    Hapa chini ni jedwali linaloonyesha mshahara wa kila mchezaji aliyoko kwenye klabu ya Azam FC.

    Jina la Mchezaji Nafasi Yake Uwanjani Mshahara (TZS)
    Mohamed Mustafa Golikipa 8M
    Abdulai Iddrisu Golikipa 3M
    Ali Ahamada Golikipa 13M
    Zuberi Foba Masudi Golikipa –
    Yeison Fuentes Beki wa Kati 6.2M
    Lusajo Mwaikenda Beki wa Kati 2M
    Yoro Diaby Beki wa Kati –
    Abdalla Kheri Beki wa Kati 1.9M
    Pascal Msindo Beki wa Kushoto 2M
    Cheikh Sidibé Beki wa Kushoto 6M
    Nathaniel Raphael Chilambo Beki wa Kulia 1.3M
    Ever Meza Kiungo wa Ulinzi 5M
    Adolf Bitegeko Kiungo wa Ulinzi 25K
    Yannick Bangala Kiungo wa Ulinzi 5M
    Feisal Salum Kiungo wa Kati 17.8M
    Sospeter Bajana Kiungo wa Kati 3.4M
    James Akaminko Kiungo wa Kati 5M
    Yahya Zayd Kiungo wa Kushambulia 3M
    Tepsi Evance Kiungo wa Kushambulia 800K
    Abdul Hamisi Suleiman Winga wa Kushoto 2.7M
    Gibril Sillah Winga wa Kushoto 6M
    Iddy Seleman Nado Winga wa Kushoto 3M
    Franck Tiesse Winga wa Kulia 7M
    Jhonier Blanco Mshambuliaji wa Kati 10M
    Franklin Navarro Mshambuliaji wa Kati 5.6M
    Nassor Saadun Mshambuliaji 900K
    Adam Omar Adam Mshambuliaji wa Kati 1M
    Alassane Diao Mshambuliaji wa Kati 4M

    Mwnozo wa mishahara ya wachezaji wa klabu ya Azam Fc umekua kichocheo kikubwa kwa wachezaji wenye uwezo wa juu kutamani kujiunga na klabu hiyo wakiwa na matarajio ya kulipwa vizuri, kitu kinacho fanya timu hiyo kuwa na wachezaji wenye uwezo wa hali yajuu na wenye kujituma zaidi wawapo uwanjani katika kutafuta matokeo bora kwa timu yao.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleRekodi za Simba na Yanga Kufungana
    Next Article Wachezaji Wanaolipwa Pesa Nyingi Yanga Sc 2025/2026
    Kisiwa24

    Related Posts

    Michezo

    Chagua mechi za Raundi ya 3 za AFCON zenye kusisimua zaidi na 1xBet!

    December 30, 2025
    Michezo

    MATOKEO Simba vs Azam FC 07 December 2025

    December 7, 2025
    Michezo

    Kikosi cha Simba vs Azam Leo 07/12/2025

    December 7, 2025
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    Demo
    Top Posts

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202567 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202545 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202538 Views
    Stay In Touch
    • Facebook
    • YouTube
    • TikTok
    • WhatsApp
    • Twitter
    • Instagram
    Latest Reviews

    Subscribe to Updates

    Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

    Demo
    Most Popular

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202567 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202545 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202538 Views
    Our Picks

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    • Home
    • Buy Now
    © 2026 ThemeSphere. Designed by ThemeSphere.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.