Close Menu
Kisiwa24

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    What's Hot

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026
    Kisiwa24Kisiwa24
    • Home
    • Ajira
    • Michezo
    • Makala
    • Elimu
    Kisiwa24
    Home»Elimu»Ada, Fomu, Kozi na Sifa za Kujiunga na Chuo Cha Arusha Technical College
    Elimu

    Ada, Fomu, Kozi na Sifa za Kujiunga na Chuo Cha Arusha Technical College

    Kisiwa24By Kisiwa24June 24, 2025No Comments4 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    Ada, Fomu, Kozi na Sifa za Kujiunga na Chuo Cha Arusha Technical College, Habari ya wakati huu mwana Habarika24, karibu katika makala hii fupi ambayo tutaenda kukupa maelekezo juu ya Ada,fomu, kozi na sifa za kujiunga na chuo cha Arusha Technical Collage. Kama unatarajia kujiunga na chuo cha Ausha tech Collage basi hunabudi kusoma makala hii hadi mwisho kwani itakupa mwangaza wa mambo ya msingi kama vile ada za kozi mbali mbali katika chuo cha Arusha Technical Collage, fomu ya kujiunga na sifa na vigezo vya kujiunga na chuo.

    Ada, Fomu, Kozi na Sifa za Kujiunga na Chuo Cha Arusha Technical College

    Kuhusu Arusha Technical Collage

    Chuo cha Arusha Technical Collage kilianzishwa mwaka 1978 kwa ushirikiano wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Ujerumani inayojulikana pia kwa jina la FRG-Federal Republic of Germany “West Germany”, kwa jina la Chuo cha Ufundi Arusha (TCA). Wilaya ya Kati ya Biashara ya Jiji la Arusha ambalo ni kitovu cha Kaskazini mwa Tanzania cha kilimo, biashara, biashara na utalii. Jiji la Arusha pia ni Makao Makuu ya Jumuiya ya Afrika Mashariki na ni kitovu cha Afrika kati ya Cape Town na Cairo. Imezungukwa. na milima maarufu kama vile Mlima Kilimanjaro na Mlima Meru. Aidha, ni mlango wa makimbilio makubwa ya wanyamapori duniani ikiwemo Ngorongoro Crater, Serengeti na Tarangire. Yote haya hufanya eneo la Chuo kuwa mahali pazuri pa kusoma. Sehemu ya majukumu ya ATC wakati wa kuanzishwa kwake ilikuwa kutoa mafunzo kwa mafundi kwa miaka mitatu hadi ngazi ya Cheti cha Ufundi Kamili (FTC) katika fani za Uhandisi wa Magari, Uhandisi Ujenzi, Uhandisi Umeme, Uhandisi Usafirishaji na Uhandisi Mitambo. Mnamo Machi 2007, jina lilibadilishwa na kuwa Chuo cha Ufundi Arusha (ATC) kupitia Agizo la Uanzishwaji wa Chuo cha Ufundi Arusha Namba 78 kama ilivyowezeshwa na Sheria ya NACTE namba 9 ya 1997. taasisi ya elimu ya juu.

    Ada, Fomu, Kozi na Sifa za Kujiunga na Chuo Cha Arusha Technical College

    Kozi Zinazotolewa na Chuo Cha Arusha Technical Collage

    Chuo cha Arusha Technical Collage kinatoa kozi mbali mbali katika ngazi za diploma na digrii hapa chini tunaenda kukuwekea kozi kwa kila ngazi ya elimu

    Kozi za Diploma (Astashahada) Zitolewazo na Chuo cha Arusha Technical Collage

    1. Diploma ya Uhandisi Ujenzi
    2. Diploma ya Uhandisi Umeme wa Maji
    3. Diploma ya Uhandisi wa Mitambo ya Mafuta na Gesi
    4. Diploma ya Uhandisi Mawasiliano
    5. Diploma ya Tehama
    6. Diploma ya Uhandisi Magari

    Kozi za Digrii (Shahada) Zitolewazo na Chuo cha Arusha Technical Collage

    1. Shahada ya Uhandisi wa Umeme na Kiotomatiki
    2. Shahada ya Uhandisi wa Nishati Mbadala
    3. Shahada ya Sayansi ya Kompyuta
    4. Shahada ya Uhandisi wa Mitambo
    5. Shahada ya Uhandisi wa Maabara na Teknolojia ya Viwanda

    Ada za Chuo cha Arusha Technical Collage katika Kozi Mbali Mbali

    Hapa tunaenda kukupa maelezo ya kina juu ya ada za kozi zinazotolewa katika chuo cha Arusha technial Collage,

    Ada ya Kozi ya Diploma (Astashahada)

    • Ada kwa mwaka ni kati ya Tsh 1,200,000 – 1,500,000

    Ada ya Kozi ya Digrii (Shahada)

    • Ada kwa mwaka ni kati ya Tsh 1,500,000 – 2,000,000

    Fomu ya Kujiunga Na Chuo Cha Ufundi Cha Arusha Technical Collage

    Fomu za kujiunga na chuo cha ufundi cha Arusha Technical Collage zinapatika moja kwa moja kwenye wavuti kuu ya chuo, Ili kupata fomu ya maombi tafadhari fuata hatua zifuatazo hapa chini;

    1. Kwanza tembelea tovuti ya chuo cha ufundi cha Arusha Technical Collage kupitia linki hii –  https://www.atc.ac.tz/

    2. Ndani ya tovuti nenda kwenye menu iliyoandikwa ICT service kisha tafuta electronic Payment (GePG)

    3. Bonyeza hapo ili kupata namba ya malipo ili kufanya malipo(hakikisha umesha jisajili katika mfumowa tovuti ya chuo)

    4. Baada ya kupata namba ya malipo fanya malipo kupitia simu au banki, malipo ya fomu ni Tsh 20,000 tu.

    Sifa za Kujiunga na Chuo Cha Ufundi Cha Arusha Technical Collage

    Ili kujiunga na kozi zitolewazo na chuo cha ufundi cha Arusha Technical Collage lazima mwanafunzi aweze kukizi sifa na vigezo vya kozi ya ngazo husika.Hapa tutaenda kukuonyesha sifa kwa kila ngazi na kozi zake;

    Sifa za Kujiunga na Kozi za Diploma katika Chuo Cha Ufundi Cha Arusha

    1. Awe amehitimu kidato cha Nne na alama za ufaulu wa angalau D nne ikiwemo Hisabati na Sayansi

    2. Awe amehitimu kidato cha Sita na alama za ufaulu wa angalau E mbili katika masomo ya sayansi

    Sifa Za Kujiunga na Kozi za Digrii katika Chuo Cha Ufundi Cha Arusha

    1. Awe amehitimu kidato cha Sita na alama za ufaulu wa angalau D mbili katika masomo ya sayansi.

    2. Awe ana stashahada ya Ufundi kutoka chuo kinachotambulika na NACTE.

    Chuo cha ufundi cha Arusha Technical Collage ni chuo bora cha ufundi na kinatoa kozi katika ngazi za diploma (Astashahada) na digrii (Shahada). Ili kujiunga na kozi zinazotolewa katika chuo hiki lazima mwanafunzi aweze kukidhi sifa na vigezo kulingana na kozi husika kwa kujaza fomu kutoka katika tovuti ya chuo na kulipia ada ya fomu ya Tsh 20,00.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleBei Ya Friji Za Boss 2025
    Next Article Ada Na Kozi Zinazotolewa Na Chuo Kikuu cha Arusha (UoA)
    Kisiwa24

    Related Posts

    Elimu

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026
    Elimu

    Shule za Sekondari za Advanced (Form 5 & 6) Mkoa wa Arusha

    December 23, 2025
    Elimu

    Sifa za Kujiunga na Chuo Cha University of Dar es salaam Computing Center (UCC)

    December 21, 2025
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    Demo
    Top Posts

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202558 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202533 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202532 Views
    Stay In Touch
    • Facebook
    • YouTube
    • TikTok
    • WhatsApp
    • Twitter
    • Instagram
    Latest Reviews

    Subscribe to Updates

    Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

    Demo
    Most Popular

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202558 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202533 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202532 Views
    Our Picks

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    • Home
    • Buy Now
    © 2026 ThemeSphere. Designed by ThemeSphere.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.