Close Menu
Kisiwa24

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    What's Hot

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026
    Kisiwa24Kisiwa24
    • Home
    • Ajira
    • Michezo
    • Makala
    • Elimu
    Kisiwa24
    Home»Ajira»MAMBO ya Muhimu Fomu ya Ajira Tume ya Utumishi wa Mahakama June 2025
    Ajira

    MAMBO ya Muhimu Fomu ya Ajira Tume ya Utumishi wa Mahakama June 2025

    Kisiwa24By Kisiwa24June 5, 2025No Comments2 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    Mambo ya kujaza kwenye fomu ya maombi ya Ajira tume ya utumishi wa Mahakama, Judicial Service Commission – Application Form 2025

    MAMBO ya Muhimu Fomu ya Ajira Tume ya Utumishi wa Mahakama June 2025

    Tume ya Utumishi wa Mahakama ni chombo huru kilichoundwa kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa lengo la kusimamia masuala ya ajira na maendeleo ya watumishi wa Mahakama. Tume hii ina jukumu la kuhakikisha kuwa ajira, mafunzo, kupandishwa vyeo, pamoja na nidhamu ya watumishi wa Mahakama vinafanyika kwa haki, uwazi, na kwa kuzingatia misingi ya utawala bora. Kwa kufanya hivyo, Tume husaidia katika kuimarisha ufanisi wa huduma za kimahakama na kuleta imani kwa wananchi kuhusu mfumo wa utoaji haki nchini.

    Majukumu ya Tume hayaishii tu kwenye kusimamia ajira bali pia huchukua hatua za kiutawala katika kushughulikia malalamiko dhidi ya watumishi wa Mahakama, kuhakikisha uwajibikaji na maadili ya kazi yanafuatwa. Pia hufanya kazi kwa karibu na Mahakama ya Tanzania, Ofisi ya Jaji Mkuu na taasisi nyingine za kisheria ili kuhakikisha mfumo wa Mahakama unakuwa na rasilimali watu wenye weledi na maadili. Kwa ujumla, Tume ya Utumishi wa Mahakama ni mhimili muhimu katika kuhakikisha haki inatendeka kwa wakati na kwa usawa.

    MAMBO ya Muhimu Fomu ya Ajira Tume ya Utumishi wa Mahakama June 2025

    Baada ya kujisajiri na kuingia kwenye mfumo wa ajira tume ya utumishi wa Mahakama utaletewa fomu ya kujaza ya kutuma maombi ya kazi baada ya kuchagua kazi unayotaka kutuma maombi yako.

    Hapa chini ni vitu vyote vya msingi vilivyopo kwenye fomu ya maombi ya kazi tume ya utumishi wa mahakama

    A) Taarifa Binafsi(Persoal Details)

    • Majina matatu
    • Tarehe ya kuzaliwa
    • Jinsia na hali ya ndoa
    • Mahari unapoishi,Mkoa na namba ya simu
    • Kitambusho cha Taifa,Pasport Size na cheti cha kuzaliwa

    B) Taarifa za Kitaaluma

    • Taarifa za kidato cha nne
    • Taarifa za kidato cha sita
    • Taarifa za elimu ya juu

    C) Taarifa za kuajiriwa

    • Kama umeajiwa au hujaajiriwa

    Hizo ndio taarifa zote utakazoobwa katika fomu ya maombi ya ajira kwenye mfumo wa Ajira Tume ya Utumishi wa Mahakama.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleNAFASI za Kazi Halmashauri Mbalimbali Ajira Portal June 2025
    Next Article JINSI ya Kutuma Maombi ya Kazi Tume ya Utumishi wa Mahakama June 2025
    Kisiwa24

    Related Posts

    Ajira

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026
    Ajira

    NAFASI 33 za Kazi Chuo Cha MUST

    January 3, 2026
    Ajira

    NAFASI 10 za Kazi Halmshauri ya Mji Babati

    January 3, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    Demo
    Top Posts

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202566 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202545 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202538 Views
    Stay In Touch
    • Facebook
    • YouTube
    • TikTok
    • WhatsApp
    • Twitter
    • Instagram
    Latest Reviews

    Subscribe to Updates

    Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

    Demo
    Most Popular

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202566 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202545 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202538 Views
    Our Picks

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    • Home
    • Buy Now
    © 2026 ThemeSphere. Designed by ThemeSphere.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.