Close Menu
Kisiwa24

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    What's Hot

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026
    Kisiwa24Kisiwa24
    • Home
    • Ajira
    • Michezo
    • Makala
    • Elimu
    Kisiwa24
    Home»Ajira»NAFASI za Kazi Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro June 2025
    Ajira

    NAFASI za Kazi Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro June 2025

    Kisiwa24By Kisiwa24June 3, 2025No Comments3 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro amepokea kibali cha Ajira mpya kwa ikama ya Mwaka 2024/2025 kutoka kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais
    Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora chenye Kumb.Na.FA.97/288/01/A/25 cha tarehe 29/04/2025 na kibali cha Ajira Mbadala
    chenye Kumb.Na. FA.228/613/01G/049 cha tarehe 14/04/2025. Hivyo Watanzania wote wenye sifa wanatangaziwa kutuma maombi ya kazi kwa nafasi zifuatazo:-

    NAFASI za Kazi Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro June 2025

    DEREVA DARAJA LA II – NAFASI 11

    KAZI NA MAJUKUMU

    i. Kukagua gari kabla na baada ya safari ili kubaini hali ya usalama wa gari,
    ii. Kuwapeleka Watumishi maeneo mbalimbali kwenye safari za kikazi,
    iii. Kufanya matengenezo madogo madogo ya gari,
    iv. Kutunza na kuandika daftari la safari “log book” kwa safari zote,
    v. Kukusanya na kusambaza nyaraka mbalimbali,
    vi. Kufanya usafi wa Gari,
    vii. Kufanya kazi nyingine kadri atakavyoelekezwa na Msimamizi wake.

    SIFA ZA MWOMBAJI

    Awe amehitimu kidato cha nne (IV) na kupata Cheti cha Mtihani wa Kidato cha Nne (IV). Awe na leseni daraja ‘C’ au “E” ya uendeshaji pamoja na uzoefu wa kuendesha
    magari kwa muda usiopungua mwaka mmoja (1) bila kusababisha ajali, Awe amehudhuria mafunzo ya msingi ya Uendeshaji Magari (Basic Driving Course) yanayotolewa na chuo cha Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) au Chuo kingine kinachotambuliwa na Serikali. Halmashauri ya Manispaa Morogoro, S.L.P 166, 2 Station Road, 67182, Morogoro, Simu/Nukushi Na: +255 023 2935242,Tovuti: www.morogoro.go.tz, Barua Pepe: info@morogoromc.go.tz

    NGAZI YA MSHAHARA

    Kwa kuzingatia Ngazi za mishahara ya Serikali TGS – B

    MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU DARAJA II – NAFASI 4

    KAZI NA MAJUKUMU

    i. Kuorodhesha barua zinazoingia Masjala kwenye regista (incoming correspondence register)
    ii. Kuorodhesha barua zinazotoka nje ya taasisi (outgoing correspondence register)
    iii. Kusambaza majalada kwa Watendaji (action officers)
    iv. Kupokea majalada yanayorudi masjala toka kwa Watendaji
    v. Kurudisha majalada kwenye shabaka/kabati la majalada (racks/filling cabinets) au mahali pengine yanapohifadhiwa
    vi. Kufuatilia mzunguko wa majalada ndani ya Taasisi (file tracking)

    SIFA ZA MWOMBAJI

    Mwombaji awe na Cheti cha Kidato cha Nne (IV) au Kidato cha Sita (VI) aliyehitimu Stashahada (NTA level 6) katika fani ya Utunzaji wa kumbukumbu kutoka Vyuo vinavyotambuliwa na Serikali, mwenye ujuzi wa Kompyuta.

    NGAZI YA MSHAHARA

    Kwa kuzingatia viwango vya mishahara ya Serikali – TGS C

    MASHARTI YA JUMLA

    i. Waombaji wote wawe ni Raia wa Tanzania na wenye umri wa kuanzia miaka18 na usiozidi miaka 45
    ii. Waombaji wote waambatishe maelezo binafsi yaliyojitosheleza (Detail Curriculum Vitae) yenye anuani inayotumika, namba za simu zinazopatikana na Anuani ya Barua Pepe (E-mail address) pamoja na majina ya wadhamini (Referees) watatu wa kuaminika.
    iii. Maombi yote yaambatane na nakala ya vyeti vya Elimu na Taaluma
    vilivyothibitishwa na Mwanasheria/Wakili ambavyo ni vyeti vya Kidato cha Nne/Sita kwa wale waliofikia kiwango hicho na vyeti vya kuhitimu mafunzo
    mbalimbali kwa kuzingatia sifa za kazi husika. Diploma/Certificates, – Cheti cha Halmashauri ya Manispaa Morogoro, S.L.P 166, 2 Station Road, 67182, Morogoro, Simu/Nukushi Na: +255 023 2935242,Tovuti: www.morogoro.go.tz, Barua Pepe: info@morogoromc.go.tz mtihani wa Kidato cha IV na VI, – Computer Certificate, – Vyeti vya Kitaaluma.
    iv. “Testmonial“, ‘‘Provisional Results“, “Statement of results“, hati ya matokeo ya Kidato cha Nne na Kidato cha Sita (FORM IV AND FORM VI RESULTS SLIPS) HAVITAKUBALIWA.
    viii. Waombaji waliosoma nje ya Nchi wahakikishe vyeti vyao vimehakikiwa na vimethibitishwa na Mamlaka husika (TCU, NECTA na NACTE).
    ix. Waombaji waliostaafishwa katika Utumishi wa Umma hawaruhusiwi kuomba isipokuwa kama wana kibali kutoka kwa Katibu Mkuu Kiongozi.
    x. Uwasilishaji wa taarifa na sifa za kughushi wahusika watachukuliwa hatua za kisheria.
    xi. Mwisho wa kutuma maombi ya kazi ni tarehe 11 Juni, 2025.

    • BONYEZA HAPA KUTUMA MAOMBI

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleNAFASI za Kazi Kilombero Sugar Company Limited June 2025
    Next Article NAFASI za Kazi Halmashauri ya Manispaa ya Geita June 2025
    Kisiwa24

    Related Posts

    Ajira

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026
    Ajira

    NAFASI 33 za Kazi Chuo Cha MUST

    January 3, 2026
    Ajira

    NAFASI 10 za Kazi Halmshauri ya Mji Babati

    January 3, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    Demo
    Top Posts

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202560 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202537 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202537 Views
    Stay In Touch
    • Facebook
    • YouTube
    • TikTok
    • WhatsApp
    • Twitter
    • Instagram
    Latest Reviews

    Subscribe to Updates

    Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

    Demo
    Most Popular

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202560 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202537 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202537 Views
    Our Picks

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    • Home
    • Buy Now
    © 2026 ThemeSphere. Designed by ThemeSphere.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.