Close Menu
Kisiwa24

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    What's Hot

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026
    Kisiwa24Kisiwa24
    • Home
    • Ajira
    • Michezo
    • Makala
    • Elimu
    Kisiwa24
    Home»Makala»Njinsi ya Kuanzisha Kampuni Tanzania
    Makala

    Njinsi ya Kuanzisha Kampuni Tanzania

    Kisiwa24By Kisiwa24June 1, 2025No Comments3 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    Jinsi ya kuanzisha Kampuni,Ili uweze kumiliki kampuni kwa nchini tanzania itakuhitaji uweze kupitia hatua kadha wa kadha ikiwemo usajili wa kampuni na usajili wa jina la kampuni unayotaka kuinzisha.

    BRELA,ndio idala ya serikali yenye dhamana kisheria juu ya usajili wa biashara na leseni. Ili uwezee kuendesha kampuni lazima kwa mujibu wa shetia uweze kufuata taratibu na sheria za BRELA.

    Kwenye makala hii tunaenda kukuonyesha hatua na taratibu za kisheria unazotakiwa kuzifuata ili uweze kuanzisha kampuni nchini Tanzania.

    Njinsi ya Kuanzisha Kampuni Tanzania
    Njinsi ya Kuanzisha Kampuni Tanzania

    Njinsi ya Kuanzisha Kampuni Tanzania

    Hatua za Kuanzisha Kampuni

    Kwa mujibu wa idara ya usimamizi wa uasjili wa biashara na leseni hapa chini tumekuwekea hatu za muhimu za kufuata ili uweze kuanzisha kampuni;

    Sajiri Akaunti ORS

    Kabla ya yote baada ya kuwa na jina la kampuni unatakiwa kufungua akaunti katika mfumo wa ORS – Online legislation System ili kuanza usajili.

    Maandalizi ya Vitu Muhimu

    Mara baada ya kufungua akaunti katika mtandao wa ORS sasa kabla ya kuanza mchakato wa kutuma maombi inakubili ufanye maadalizi ya vitu muhimu vitakavyohitajika wakati wa mchakato mzima wa ufanyaji maombi.Miongoni mwa vitu hivyo ni pamoja na;

      • Memorandum of Association,
      • Articles of Association (Memarts), na
      • Declaration of Compliance (Fomu 14b).

    Hizo hapo juu ni nyaraka muhimu sana katika utumaji wa maombi ya umiliki wa kampuni, hivyo hakikisha nyaraka zote hapo juu zimesainiwa na wamiliki wa kampuni lakini pia zimepigwa muhuri na saini ya mwanasheria. Cha kuzingatia zaidi hakikisha una copy ya nakala tepe kwa kila nyalaka hapo juu kwani mfumo unaruhusu upakiaji wa nakala tepe tu.

    Tuma Maombi ya Usajili

    Baadaya kua na vitu vya msingi kama nakala tepe tulizozitaja hapo juu sasa ni wakati wa kutuma maombi yako hii itakufanya upitie hatua kadhhaa;

    a) Ingia kwenye akaunti yako ya ORS na kisha ujaze taarifa za usajiri kwa kuhakikisha unajaza taarifa muhimu za kampuni yako ikiwemo jina la kampuni na anuani inapopatikana kampuni.

    b) Baada ya kumaliza kujaza taarifa pia utapakia nakala tepe za nyaraka ulizizianda kwa kusoma maelekezo katika mfumo wa usajili

    c) Mara baada ya kujaza taarifa zote na kupakia nakala za nyalaka utatuma maombi na mfumo utakutumia nakala ya bili ya maombi na utapaswa kuipa kulingana na maelekezo yaliyoko kwenye ujumbe wa malipo.

    Malipo ya bili ya usajili wa kampuni yanaweza kufanya wa njia tofauti kama vile;

    • Banki
    • Simu

    d) Baada ya Kukamilisha malipo mfumo wa BRELA utapitia maombi yako na kuleta majibu ya ombi lako kwa njia ya barua pepe ulioijaza wakati unafungua akaunti.

    -Ujumbe utaonyesha hali ya ombi la usajili wa kampuni kama limefanikiwa au la, Kama halijafanikiwa pia ujumbe utatoa taarifa ya mapendekezo ya vitu vya kubadilisha na kisha utatuma tena ombi lako

    e) Bada ya kukubaliwa kwa ombi lako BERLA  Kupitia akaunti yako ya ORS itakutumia cheti cha usajili wa kampuni yako, Ambayo itakua na maelezo ya kuthibitisha umiliki na usajili halali wa kampuni yako. Ingia kenryr akaunti yako na upakue cheti chako cha usajili na kukiprinti kwa matumizi ya kibiashar.

    Omba TIN namba na Leseni ya Biashara

    Baada ya zoizi la kusaji kampuni kukamilika sasa ili kampuni yako iweze kufanya kazi kiuhalali itakupasa ufanye maombi ya TIN namba kupitia mamlaka ya mapato Tanzania – TRA, kama hufahamu jinsi ya kuomba TIN namba tafadhari bonyeza hapa

    Hitimisho

    Kama wewe ni mfanyabiashara na lengo lako kuu ni kumiliki kampuni yako basi tunakushauri uhakikishe unafuata hatua za kisheria katika umiliki wa kampuni yako kama vile usajili wa kampuni na jina la kampuni kupitia BRELA na kuamba TIN namba ya Biashara kupitia TRA hii itakusaidi kuendesha kampuni yako kwa uhuru pasipo kupitia changamoto zozote zile za kisheria.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleOrodha ya Matajiri 20 Afrika 2025
    Next Article Jinsi ya Kuanzisha Kampuni ya Usafiri 2025
    Kisiwa24

    Related Posts

    Makala

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026
    Makala

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 2025
    Makala

    Jinsi ya kupika Pilau kwenye Rice Cooker

    October 9, 2025
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    Demo
    Top Posts

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202567 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202551 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202540 Views
    Stay In Touch
    • Facebook
    • YouTube
    • TikTok
    • WhatsApp
    • Twitter
    • Instagram
    Latest Reviews

    Subscribe to Updates

    Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

    Demo
    Most Popular

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202567 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202551 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202540 Views
    Our Picks

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    • Home
    • Buy Now
    © 2026 ThemeSphere. Designed by ThemeSphere.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.