Close Menu
Kisiwa24

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    What's Hot

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026
    Kisiwa24Kisiwa24
    • Home
    • Ajira
    • Michezo
    • Makala
    • Elimu
    Kisiwa24
    Home»Michezo»Simba Sc vs Singida Black Stars Nusu Fainali CRDB Federation CUP 31 Mei 2025
    Michezo

    Simba Sc vs Singida Black Stars Nusu Fainali CRDB Federation CUP 31 Mei 2025

    Kisiwa24By Kisiwa24May 27, 2025No Comments2 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    Baada ya kumalizana na michuano ya kombe la shirikisho barani Afrika wekundu wa msimbazi Simba Sc tarehe 31 Mei inaenda kutupa karata yake katika mchezo wa nusu fainali ya CRDB Federation Cup.

    Nusu fainali hii ya CRDB Federation Cup itawakutanisha wababe hawa wawili wa ligi kuu ya NBC Tanzania Bara Simba Sc vs Singida Black Stars baada ya mchezo wa ligi kuu kati ya miamba hawa 2 utakaofanyika tarehe 28 Mei 2025.

    Maelezo Muhimu ya Mchezo Huu Wa Nusu Fainali CRDB Federation Cup

    Ligi: CRDB Federation Cup

    Hatua: Nusu Fainali

    Timu: Simba Sc vs Singida Black Stars

    Uwanja: Tanzanite Kwaraa, Manyara

    Muda: 15:30 Mchana

    Mchezo huu utakua mchezobwa ushindani sana na atakae shinda katika mechi hii atajiungana na klabu ya Yanga katika hatua ya Fainali ya CRDB Federation Cup kwa msimu huu wa 2024/2025.

    Matarajio ya Mashabiki

    Mashabiki wa soka nchini Tanzania wanatazania kuona mchezo wa kuvutia na huku wengi wakitarajia kuona hasira za mnyama simba baada ya kujeruhiwa kwa kukosa ubingwa wa kombe la shirikisho barani Afrika baada ya kupingwa na klabu ya RS Berkane.

    Mashabiki wa Yanga pia wanausubilia kwa hamu ya kutosha mchezo huu ili kuona mtaninwao nini atafanya na kama ataweza kukata tiketi ya fainali mbele ya wababe wa nafasi ya 3 katika ligi kuu ya NBC Tanzania bara.

    Kulekea mchezo huu Kisiwa24 blog tutakuletea taarifa zote za msingi hata siku ya mchezo ikiwa ni pamoja na,

    -Kikosi cha Simba kitakachocheza na Sigida black Stars Nusu Fainali CRDB Federation Cup

    – Live Matokeo ya Simba vs Singida Black Stars Fainali CRDB Federation Cup.

    Hivyo usiache kutembelea kwenye site yetu upamde wa Michezo ili kuweza kupata taarifa zote kuhusu mchezo huu wa nusu fainali ya CRDB Federation Cup kati ya Simba Sc vs Singida Black Stars 31 Mei 2025

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleKIKOSI Cha Simba sc vs Singida Black Stars 28 May 2025
    Next Article VITA ya Ubingwa NBC Premier League 2024/2025
    Kisiwa24

    Related Posts

    Michezo

    Chagua mechi za Raundi ya 3 za AFCON zenye kusisimua zaidi na 1xBet!

    December 30, 2025
    Michezo

    MATOKEO Simba vs Azam FC 07 December 2025

    December 7, 2025
    Michezo

    Kikosi cha Simba vs Azam Leo 07/12/2025

    December 7, 2025
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    Demo
    Top Posts

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202560 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202537 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202536 Views
    Stay In Touch
    • Facebook
    • YouTube
    • TikTok
    • WhatsApp
    • Twitter
    • Instagram
    Latest Reviews

    Subscribe to Updates

    Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

    Demo
    Most Popular

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202560 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202537 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202536 Views
    Our Picks

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    • Home
    • Buy Now
    © 2026 ThemeSphere. Designed by ThemeSphere.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.