Close Menu
Kisiwa24

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    What's Hot

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026
    Kisiwa24Kisiwa24
    • Home
    • Ajira
    • Michezo
    • Makala
    • Elimu
    Kisiwa24
    Home»Makala»Bei ya iPhone 16 Pro Tanzania 2025
    Makala

    Bei ya iPhone 16 Pro Tanzania 2025

    Kisiwa24By Kisiwa24May 24, 2025No Comments2 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    Bei ya iPhone 16 Pro Tanzania, bei ya simu ya iPhone 16 Pro leo Tanzania, Habari mwana Kisiwa24 blog, karibu tena katika makala hii fupi ambaoyo itaenda kukuonyesha makadilio ya bei ya iPhone 16 Pro Tanzania.

    Kama wewe ni mpenzi wa kutumia simu za kampuni ya Apple basi utakua umesha sikia kuhusu simu ya iPhone 16 Pro, Hivyo basi katika makala hii tutaenda kukuonyesha bei harisi ya simu hiyo kwa hapa nchini Tanzania

    Apple ni kampuni maarufu sana katika utengenezaji wa vitu vya kielektroniki na kwa mwaka wa 2025 wameweza kutoa toleo jipya la simu zake aina ya iPhone ambayo imejulikana kama iPhone 16 Pro. Simu hii ni simu ya kisasa zaidi kwa kila eneo kwani imefanyiwa maboresho mengi sana.

    Bei ya iPhone 16 Pro Tanzania

    Kuhusu iPhone Pro

    Hii ni simu ya toleo la kisasa kwani imekuja na maboresho mendi sana kama vile

    • Uwezo wa Memory , 128GB, 256GB,512GB, 1TB
    • Haiingizi vumbi maji wa uchafu wa aiana yoyote ile
    • Kamera yake ni 12Mp

    iPhone ni moja ya bidhaa pendwa zaidi Tanzania na duniani kwa ujumla pia ni bidhaa zenye ubora wa hali ya juu na upekee katika soko. Hapa chini tutaenda kukuwekea bei halali ya simu aina ya iPhone 16 Pro kwa Tanzania

    iPhone ni bidhaa maarufu ya simu janja inayotengenezwa na Apple, kampuni inayoongoza duniani katika teknolojia na vifaa vya kielektroniki. iPhone inatambulika kwa ubora wake wa hali ya juu, programu bora, usalama wa kifaa, na uwezo wa kupiga picha na video zenye ubora wa juu. Simu hizi zina mfumo wa uendeshaji wa iOS ambao unatoa uzoefu wa kipekee kwa watumiaji.

    Bei ya iPhone 16 Pro Tanzania

    • iPhone 16 Pro (256GB): TSH Milioni 2.6 hadi Milioni 2.8
    • iPhone 16 Pro (512GB): TSH Milioni 3 hadi Milioni 3.2
    • iPhone 16 Pro (1TB): TSH Milioni 3.5 hadi Milioni 3.7

    Soma Pia;

    1. Ratiba ya Mechi Za Leo Ligi Mbali Mbali Duniani

    2. Ratiba Ya Ligi Kuu England 2024/2025 EPL

    3. Msimamo Ligi Kuu NBC 2024/2025

    4. Ratiba Ya Ligi Kuu Ya Nbc Msimu

    5. Ratiba Ya Mechi Zote Za Yanga Ligi Kuu Ya Nbc Msimu Wa 2024/2025

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleEWURA Bei Mpya za Mafuta Tanzania 2025
    Next Article Bei ya iPhone 16 Pro Max Tanzania 2025
    Kisiwa24

    Related Posts

    Makala

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026
    Makala

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 2025
    Makala

    Jinsi ya kupika Pilau kwenye Rice Cooker

    October 9, 2025
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    Demo
    Top Posts

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202554 Views

    Jinsi Ya Kupata Prem Number Kwa Urahisi Tanzania

    July 15, 202531 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202530 Views
    Stay In Touch
    • Facebook
    • YouTube
    • TikTok
    • WhatsApp
    • Twitter
    • Instagram
    Latest Reviews

    Subscribe to Updates

    Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

    Demo
    Most Popular

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202554 Views

    Jinsi Ya Kupata Prem Number Kwa Urahisi Tanzania

    July 15, 202531 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202530 Views
    Our Picks

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    • Home
    • Buy Now
    © 2026 ThemeSphere. Designed by ThemeSphere.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.