Close Menu
Kisiwa24

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    What's Hot

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026
    Kisiwa24Kisiwa24
    • Home
    • Ajira
    • Michezo
    • Makala
    • Elimu
    Kisiwa24
    Home»Ajira»PDF ya Majina Walioitwa Kwenye Mafunzo Ya Jeshi La Zimamoto Na Uokoaji MAY 2025
    Ajira

    PDF ya Majina Walioitwa Kwenye Mafunzo Ya Jeshi La Zimamoto Na Uokoaji MAY 2025

    Kisiwa24By Kisiwa24May 4, 2025No Comments2 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    Jeshi la Zimamoto na Uokoaji linatangaza majina ya waliochaguliwa kuhudhuria mafunzo ya Uaskari ngazi ya Konstebo wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji.

    • Wahusika wote wanatakiwa kufika Chuo cha Jeshi la Zimamoto na Uokoaji kilichopo Chogo Wilaya ya Handeni Mkoa wa Tanga kuanzia tarehe 16 Mei, 2025 hadi tarehe 18 Mei, 2025 bila kukosa; kwa ambaye hatafika chuoni kwa tarehe zilizopangwahatapokelewa na nafasi yake itachukuliwa na mtu mwingine.
    • Kufika chuoni shuka kituo cha Kabuku kilichopo kilometa 12 toka chuoni. Chuo kimeandaa utaratibu maalumu wa kuwapokea kwa tarehe zilizotajwa hapo juu, kuanzia saa 12 asubuhi hadi saa 4 usiku.
    • Mhusika atapaswa kujigharamia nauli ya kwenda sambamba na chakula na malazi kwa siku zote ambazo atakuwa hajapokelewa Chuoni.
    • Mhusika anapaswa kuja akiwa na vyeti halisi vya masomo, taaluma au ujuzi alioombeapamoja na cheti c ha kuzaliwa, kitambulisho cha NIDA au namba na leseni hai kwa walioomba nafasi ya udereva. Vyeti vyote tajwa hapo juu viwe na nakala tatu kwa kila
    • cheti pia vyeti hivyo vitakaguliwa na kwa ambaye majina yake yatatofautiana kati ya vyeti
    • vya shule/taaluma, NIDA na cheti cha kuzaliwa watarudishwa na nafasi zao zitachukuliwa
    • na wengine.
    • Mhusika atakapofika chuoni awe tayari kupimwa afya ya mwili, akili na Mimba kwa wanawake na ambaye atabainika kuwa na kasoro za kiafyahataruhusiwa kuendelea na mafunzo na atarudishwa kwa gharama zake na nafasi yake itachukuliwa na mtu mwingine.

    Wahusika wote wanatakiwa kuja na vifaa vifuatavyo:

    • Mashuka mawili (02) ya rangi yabluu,
    • Mto 01 na foronya 02 ya rangi ya bluu,
    • Chandarua 01 rangi ya bluu (cha duara),
    • Ndoo ya plastiki ya lita 20,
    • Sahani na kikombe cha bati,
    • Fedha kiasi kwa matumizi binafsi
    • Bima za afya kwa walionazo.

    Aidha vifaa vifuatavyo watanunua kwenye duka la Chuo,

    • Raba za michezo,
    • Fulana (T-shirt) rangi ya bluu,
    • Madaftari makubwa (counter books 4quire 5 pcs),
    • Vifaa vya michezo (truck suite, bukta bluu, na fulana)
    • Kalamu.

    BONYEZA HAPA KUPAKUA PDF FILE LA MAJINA

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleAda, Fomu, Kozi na Sifa za Kujiunga na Chuo Cha Ardhi Morogoro 2025/2026
    Next Article PDF: Majina Ya Walioitwa Kazini Utumishi Mei 2025
    Kisiwa24

    Related Posts

    Ajira

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026
    Ajira

    NAFASI 33 za Kazi Chuo Cha MUST

    January 3, 2026
    Ajira

    NAFASI 10 za Kazi Halmshauri ya Mji Babati

    January 3, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    Demo
    Top Posts

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202567 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202551 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202540 Views
    Stay In Touch
    • Facebook
    • YouTube
    • TikTok
    • WhatsApp
    • Twitter
    • Instagram
    Latest Reviews

    Subscribe to Updates

    Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

    Demo
    Most Popular

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202567 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202551 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202540 Views
    Our Picks

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    • Home
    • Buy Now
    © 2026 ThemeSphere. Designed by ThemeSphere.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.