Close Menu
Kisiwa24

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    What's Hot

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026
    Kisiwa24Kisiwa24
    • Home
    • Ajira
    • Michezo
    • Makala
    • Elimu
    Kisiwa24
    Home»Makala»Ada, Fomu, Kozi na Sifa za Kujiunga na Chuo Cha Ardhi Morogoro 2025/2026
    Makala

    Ada, Fomu, Kozi na Sifa za Kujiunga na Chuo Cha Ardhi Morogoro 2025/2026

    Kisiwa24By Kisiwa24May 2, 2025No Comments6 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    Ada, Fomu, Kozi na Sifa za Kujiunga na Chuo Cha Ardhi Morogoro

    Tangazo

    Habari hii na nyingine nyingi zinapatikana kwenye telegram channel yetu na WhatsApp channel yetu tumia linki hapo chini kujiunga

    BONYEZA HAPA KUJIUNGA NA TELEGRAM CHANNEL YETU

    Ada, Fomu, Kozi na Sifa za Kujiunga na Chuo Cha Ardhi Morogoro (ARIMO), Habari ya muda huu mwana Habarika24, karibu tena katika makala hii ambayo itaenda kukupa maelezo ya kina juu ya Ada, Fomu, Kozi na sifa za kujiunga na chuo cha Aridhi Morogoro. Kama unahitaji kujiunga na chuo cha Aridhi Morogoro basi fahamu ya kua makala hii itakua na umuhimu mkubwa sana kwako.

    Ada, Fomu, Kozi na Sifa za Kujiunga na Chuo Cha Ardhi Morogoro

    Kuhusu Chuo Cha Aridhi Morogoro

    Chuo cha Ardhi Morogoro kilianza mwanzoni mwa 1958 kilipoanza kama Kituo cha Mafunzo ya Upimaji kwa madhumuni ya kutoa mafunzo kwa mafundi wa upimaji ardhi kwa muda wa miezi sita kwa kila ulaji. Wakati huo, kituo kilipo eneo la Mgulani, Dar es Salaam. Mnamo 1966, kozi hiyo ilibadilishwa kuwa nadharia ya mwaka mmoja na mwaka mmoja katika mafunzo ya viwandani. Sifa ya kuingia ilikuwa kidato cha nne. Muundo upya ulibadilisha eneo kutoka Mgulani hadi eneo la Observation Hill/Makongo ambapo Chuo Kikuu cha Ardhi (ARU) kipo kwa sasa.

    Kufuatia ripoti ya McKinsey ya mwaka 1972 ambayo ilibainisha pamoja na mambo mengine kuwa makada wa Wizara ya Ardhi hasa katika mikoa walikuwa chini ya nguvu, na wafanyakazi duni; na kufuatia kutangazwa kwa sera za ugatuaji na uanzishaji wa vijiji vya kudumu katika maeneo ya vijijini, ikabidi kuanzishwa kwa programu ya mafunzo ambayo yangezalisha watumishi wa kitaalamu ambao wangehudumu katika maeneo mbalimbali ya uendelezaji wa ardhi halisi.

    Ada, Fomu, Kozi na Sifa za Kujiunga na Chuo Cha Ardhi Morogoro

    Kozi Zinazotolewa na Chuo Cha Aridhi Morogoro

    Chuo cha Aridhi morogoro kinatoa kozi mbali mbali katika ngazi ya Cheti na Diploma, hapa tutaenda kukuonyesha kozi zote zinazotolewa na chuo hiki katika ngazi zote za kielimu;

    Kozi za Cheti Zitolewazo na Chuo cha Aridhi Morogoro

    ARIMO inatoa kozi 2 tu katika ngazi ya cheti ambayo ni;

    1. Cheti cha Msingi cha Geomatics
    2. Cheti cha Msingi cha Mipango Miji

    Kozi za Diploma Zitolewazo na Chuo cha Aridhi Morogoro

    ARIMO inatoa kozi 3 tu katika ngazi ya diploma ambayo ni;

    1. Diploma ya Geomatics (NTA Level 5-6)
    2. Diploma ya Mifumo ya Taarifa za Kijiografia (GIS) (NTA Level 5-6)
    3. Diploma ya Mipango Miji na Kikanda (NTA Level 5-6)

    Ada za Chuo cha Aridhi Morogoro katika Kozi Mbali Mbali

    Ada za kozi zitolewazo na chuo cha Aridhi Morogoro zinatofautiana kutokana na ngazi ya kozi husika, hapa tutaenda kuangazia ada kwa kozi za ngazi zote ngazi ya cheti na ngazi ya Diploma;

    Ada za Kozi za Ngazi ya Cheti katika Chuo cha Aridhi Morogoro

    • Cheti cha Msingi cha Geomatics ada yake ni Tsh 800,000 kwa mwaka
    • Cheti cha Msingi cha Mipango Miji ada yake ni Tsh 700,000 kwa mwaka

    Ada za Kozi za Ngazi ya Diploma katika Chuo cha Aridhi Morogoro

    • Diploma ya Geomatics ada yake ni Tsh 1,200,000 kwa mwaka
    • Diploma ya Mipango Miji ada ya ni Tsh 1,000,000 kwa mwaka

    Fomu ya Kujiunga Na Chuo Cha Aridhi Morogoro

    Fomu za kuweza kujiunga na chuo cha Aridhi Morogoro zinapatikana moja kwa moja kwenye tovuti ya chuo. Ili kutuma maombi ya kujiunga na chuo cha Aridhi Morogoro tafadhari futa hatua zifuatazo

    1. Kwanza Pata Fomu ya Maombi

    Fomu ya maombi ya kujiunga na chua utaipata kwa kuingia kwenye tovuti ya chuo kisha pakua fomu ya maombi

    2. Jaza Fomu Ya Maombi

    Baada ya kupakua fomu utajaza fomu hoyo kulingana na taarifa zinazohitajiika na kozi unayotaka kusoma

    3. Lipa Ada ya maombi

    Baada ya kukamilisha kujaza fomu utatakiwa kulipia kiasi cha Tsh 20,000 kupitia account ya bank ya NMB akaunti namba 2211100065

    4. Tuma Fomu ya Maombi 

    baada ya kufanya malipo sasa unaweza kuituma fomu ya maombi ikiambatanishwa na risiti ya malipo ya ada ya fomu

    Anuani ya Kutuma fomu ya maombi ni

    • Principal,
    • Ardhi Institute Morogoro,
    • P. O. Box 155,
    • Morogoro, Tanzania.

    Sifa za Kujiunga na Chuo Cha Aridhi Morogoro

    Kuna sifa na vigezo tofuti tofauti katika kujiunga na kozi zitolewazo na chuo cha Aridhi Morogoro, hapa chini ni  sifa za kujiunga na kozi kulingana na ngazi ya kozi husika;

    Sifa ya Kujiunga na kozi ya Cheti cha Msingi cha Geomatics

    • Awe amehitimu Kidato cha Nne (CSEE) na alama ya angalau “D” katika Hisabati, Fizikia, Jiografia, na Kiingereza.

    Sifa za Kujiunga na Kozi ya Cheti cha Msingi cha Mipango Miji

    • Awe amehitimu Kidato cha Nne (CSEE) na alama ya angalau “D” katika Hisabati, Fizikia, Jiografia, na Kiingereza.

    Sifa za Kujiunga na Kozi ya Diploma ya Geomatics (NTA Level 5-6)

    • Awe na Cheti cha Kidato cha Sita (ACSSE) na alama ya angalau “Principal” katika Hisabati au Fizikia.
    • Awe na Cheti cha Upimaji Ardhi au sawa na hicho kutoka taasisi inayotambulika.

    Sifa za Kujiunga na Kozi ya Diploma ya Mifumo ya Taarifa za Kijiografia (GIS) (NTA Level 5-6)

    • Mwombaji awe na Cheti cha Kidato cha Sita (ACSSE) na alama ya angalau “Principal” katika Hisabati au Fizikia.
    • Mwombaji inabidi awe na Cheti cha Upimaji Ardhi au sawa na hicho kutoka taasisi inayotambulika.

    Sifa za Kujiunga na Kozi ya Diploma ya Mipango Miji na Kikanda (NTA Level 5-6)

    • Mwombaji awe na Cheti cha Kidato cha Sita (ACSSE) na alama ya angalau “Principal” na “Subsidiary” katika masomo ya Sayansi.
    • Mwombaji awe na Cheti cha Mipango Miji au sawa na hicho kutoka taasisi inayotambulika.

    Hitimisho

    Chuo cha Aridhi Morogoro ni miongoni mwa vyuo bora nchini kwakuwapa fursa vijana wanaohitaji kujiendeleza kielimu kakitika kozi mbali mbali za ngazi ya cheti na diploma. Unapotaka kujiunga na chuo hiki basi hakikisha unakidhi vigezo kwa kozi unayotaka kuomba. Mchakato wa maombi unafanywa kwa kupakua fomu ya maombi kutoka kwenye tovuti ya chuo, kisha kuijaza na kulipia ada ya maombi na kuituma kwa kutumia anuani ya chuo.

    Mapendekezo ya Mhariri;

    1. Ada, Fomu, Kozi na Sifa za Kujiunga na Chuo Cha Utalii Dar es Salaam

    2. Ada, Fomu, Kozi na Sifa za Kujiunga na Chuo Cha Utalii Temeke

    3. Ada, Fomu, Kozi na Sifa za Kujiunga na Chuo Cha Utalii Mwanza

    4. Ada, Fomu, Kozi na Sifa za Kujiunga na Chuo Cha Utalii Arusha

    Asante kwa kusoma makala yetu hadi mwisho, ikiwa una maswali yoyote tafadhali acha maoni hapa chini au unaweza Wasiliana nasi. Usisahau kujiunga nasi kwenye WhatsApp gropu letu kwa updates zaidi.

    Jiunge na Whatsap Gropu letu kwa updates za kila siku

    BONYEZA HAPA

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleSample Barua ya Maombi ya Kazi Jeshi la JWTZ 2025
    Next Article PDF ya Majina Walioitwa Kwenye Mafunzo Ya Jeshi La Zimamoto Na Uokoaji MAY 2025
    Kisiwa24

    Related Posts

    Makala

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026
    Makala

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 2025
    Makala

    Jinsi ya kupika Pilau kwenye Rice Cooker

    October 9, 2025
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    Demo
    Top Posts

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202567 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202551 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202540 Views
    Stay In Touch
    • Facebook
    • YouTube
    • TikTok
    • WhatsApp
    • Twitter
    • Instagram
    Latest Reviews

    Subscribe to Updates

    Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

    Demo
    Most Popular

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202567 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202551 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202540 Views
    Our Picks

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    • Home
    • Buy Now
    © 2026 ThemeSphere. Designed by ThemeSphere.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.