Close Menu
Kisiwa24

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    What's Hot

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026
    Kisiwa24Kisiwa24
    • Home
    • Ajira
    • Michezo
    • Makala
    • Elimu
    Kisiwa24
    Home»Michezo»Mechi ya Yanga Vs Kagera Suger leo 01/02/2025 Saa Ngapi?
    Michezo

    Mechi ya Yanga Vs Kagera Suger leo 01/02/2025 Saa Ngapi?

    Kisiwa24By Kisiwa24February 1, 2025No Comments2 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    Mechi ya Yanga Vs Kagera Suger leo 01/02/2025 Saa Ngapi?

    Kama ni miongoni mwa watu wanaojiuliza kuhusu juu ya saa ngapi mechi ya Yanga na Kagera Sugar itacheza wakati gani siku ya Jumamosi, basi hapa katika kurasa hii utaenda kukupa mwongozo kamili wa mchezo huu wa kiporo ligi kuu ya NBC 2024/2025.

    Baada ya kusimama kwa ligi kuu ya NBC weekend hii itarejea tena kwa kuanza na mechi za viporo vya mzunguko wa kwanza. Siku ya Jumamosi ya tarehe 02/02/2025 klabu ya Yanga watakua wenyeji dhidi ya Kagera Sugar mchezo utakaofanyika katika viunga vya mwenge jijini Dar es Salaam katika uwanja wa KMC Complex majira ya saa 10:00 za jioni.

    Kipengele Maelezo
    Timu Zinazocheza Yanga vs Kagera Sugar
    Tarehe 02 February 2025
    Muda Saa 10: 00 jioni
    Uwanja Uwanja wa KMC Complex, Mwenge, Dar es Salaam
    Mashindano NBC Premier League
    Matangazo @azamtvsports

    Tathimi ya Mchezo

    Klabu ya Yanga inaingia uwanjani siku ya jumamosi ikiwa imetolewa kwenye michuano ya klabu bingwa barani Afrika, nguvu na jitihada za wachezaji wa klabu hiyo zinaelekezwa katika michezo ya ligi kuu ya NBC huku akiitaji kutete ubingwa wake. Hadi sasa Yanga ipo kwenye nafasi ya 2 ikiwa na jumla ya pointi 39 pointi moja nyuma ya klabu ya wekundu wa msimbazi Simba SC.

    Mchezo uliopita uliofanyika

    kwenye mchezo wa kwanza uliofanyikia Agost 29, 2025, mkoani Kangera Yanga iliibuka na ushindi wa goli 2 kwa sifuri, mchezo huu wa leo ni mchezo wa kutamatisha mechi ya mzunguko wa kwanza kabla ya kuanza kwa mzunguko wa 2 wa ligi kuu ya NBC Tanzania bara kwa msimu wa 2024/2025.

    Kwa maelezo zaidi kuhusu mechi hii, unaweza kutembelea Azam TV Sports kwa matangazo ya moja kwa moja na uchambuzi wa kitaalamu.

    Mapendekezo ya Mhariri;

    1. Vituo Vya Kununua Tiketi Mechi ya Yanga Vs Kagera Suger 01/02/2025

    2. Viingilio Mechi ya Yanga vs Kagera Suger 01 February 2025

    3. Tabora Utd vs Simba Sc Leo 2/02/2025 Saa Ngapi?

    4. Ligi Bora Africa 2025

    5. Tazama Hapa Makundi ya AFCON 2025 

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleGharama na Usajili wa Vodabima AfyaPass Tanzania 2025
    Next Article Kikosi cha Yanga vs Kagera Sugar leo 01/02/2025
    Kisiwa24

    Related Posts

    Michezo

    Chagua mechi za Raundi ya 3 za AFCON zenye kusisimua zaidi na 1xBet!

    December 30, 2025
    Michezo

    MATOKEO Simba vs Azam FC 07 December 2025

    December 7, 2025
    Michezo

    Kikosi cha Simba vs Azam Leo 07/12/2025

    December 7, 2025
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    Demo
    Top Posts

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202567 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202551 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202540 Views
    Stay In Touch
    • Facebook
    • YouTube
    • TikTok
    • WhatsApp
    • Twitter
    • Instagram
    Latest Reviews

    Subscribe to Updates

    Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

    Demo
    Most Popular

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202567 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202551 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202540 Views
    Our Picks

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    • Home
    • Buy Now
    © 2026 ThemeSphere. Designed by ThemeSphere.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.