Close Menu
Kisiwa24

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    What's Hot

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026
    Kisiwa24Kisiwa24
    • Home
    • Ajira
    • Michezo
    • Makala
    • Elimu
    Kisiwa24
    Home»Michezo»Vituo Vya Kununua Tiketi Mechi ya Yanga Vs Kagera Suger 01/02/2025
    Michezo

    Vituo Vya Kununua Tiketi Mechi ya Yanga Vs Kagera Suger 01/02/2025

    Kisiwa24By Kisiwa24January 30, 2025No Comments2 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    Vituo Vya Kununua Tiketi Mechi ya Yanga Vs Kagera Suger 01/02/2025, Habari siku ys jumamosi ya tarehe 01/202/2025 mabingwa watetezi wa ligi kuu ya NBC watakua nyumbani katika uwanja wa KMC Complex wakiikalibisha klabu ya Kagera Sugar kutokea jijini Kagera.

    Mchezo huu ni mchezo wa kumalizia hatua ya mzunguko wa kwanza ambao haukufanyika hapo awali kutokana na ushiriki wa klabu ya Yanga katika michuano ya kimataifa ya klabu bingwa Afrika. Yanga anaingia uwanjani kumenyana na Kagera Sugar baada ya kutolewa katika hatua ya makundi huku kwenye msimamo wa ligi kuu ya NBC akiwa katika nafasi ya 2.

    Kuelekea mchezo huu tayari bei za tiketi zimesha tangazwa na hapa katika makala hii tutaenda kukuonyesha vituo vya kununulia tiketi za kwenda kutizama mchezo huu katika dimba la KMC Complex jijini Dar es Salaam maeneo ya Mwenge.

    Vituo Vya Kununua Tiketi Mechi ya Yanga Vs Kagera Suger 01/02/2025

    Hapa chini ni orodha ya vitua ambako mashabiki wa soka wataweza kunualia tiketi za kwenda kutizama mchezo huu

    1. Young Africans – Jangwani
    2. Vunja Bei – Dar Es Salaam Shops
    3. T-Money Ltd – Kigamboni
    4. Gitano Samweli – Mbagala Zakiem
    5. Khalfan Mohamed – Ilala
    6. Lampard Electronics
    7. Godwin Fredy – Geita
    8. Twisty Investment – Geita
    9. Gwambina Lounge – Gwambina
    10. Karoshy Pamba – Dar Live (Zakhiem)
    11. Antonio Service – Sinza, Kivukoni
    12. Tumpe Kamwela – Kigamboni
    13. Sovereign – Kinondoni Makaburini
    14. View Blue Skyline – Mikocheni
    15. Mkaluka Traders – Machinga Complex
    16. New Tech General Traders – Ubungo
    17. Sabana Business – Mbagala Maji Matitu
    18. Juma Burrah – Kivukoni
    19. Juma Burrah – Msimbazi
    20. Alphan Hinga – Ubungo
    21. Mtemba Service Co – Temeke
    22. Jackson Kimambo – Ubungo
    23. Shirima Shop – Leaders

    Bei za Tiketi Za Mchezo Huu

    Kwa mashabi wa soka wanaotarajia kwend katika uwanja wa KMC Complex kuweza kushuhudia mchezo huu live basi ni vyema kuweza kutambua bei za tiketi na hapa kwa kifupi zaidi tumeweza kukuwekea viingilio vya mchezo huu.

    Mzunguko – Tsh 10,000

    VIP A – Tsh 20,000

    Mambo ya Msingi ya Kuzingati Kwenye Mchzo Huu

    1. Hakikisha kama unaenda uwanjani uweze kununua tiketi mapema zaidi

    2. Kama ni shabiki wa Yanga au Kagera Sugar basi unaweza kuvaa jezi ya timu yako

    3. Hakikisha unafika uwanjani mapema zaidi na kukaa kwenye kiti chako

    Mapendekezo ya Mhariri;

    1. Viingilio Mechi ya Yanga vs Kagera Suger 2 February 2025

    2. Tabora Utd vs Simba Sc Leo 2/02/2025 Saa Ngapi?

    3. Ligi Bora Africa 2025

    4. Tazama Hapa Makundi ya AFCON 2025 

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleViingilio Mechi ya Yanga vs Kagera Suger 01 February 2025
    Next Article Jinsi ya Kupata Tokeni ya LUKU Tigo Pesa 2025
    Kisiwa24

    Related Posts

    Michezo

    Chagua mechi za Raundi ya 3 za AFCON zenye kusisimua zaidi na 1xBet!

    December 30, 2025
    Michezo

    MATOKEO Simba vs Azam FC 07 December 2025

    December 7, 2025
    Michezo

    Kikosi cha Simba vs Azam Leo 07/12/2025

    December 7, 2025
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    Demo
    Top Posts

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202567 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202548 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202538 Views
    Stay In Touch
    • Facebook
    • YouTube
    • TikTok
    • WhatsApp
    • Twitter
    • Instagram
    Latest Reviews

    Subscribe to Updates

    Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

    Demo
    Most Popular

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202567 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202548 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202538 Views
    Our Picks

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    • Home
    • Buy Now
    © 2026 ThemeSphere. Designed by ThemeSphere.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.