Close Menu
Kisiwa24

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    What's Hot

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026
    Kisiwa24Kisiwa24
    • Home
    • Ajira
    • Michezo
    • Makala
    • Elimu
    Kisiwa24
    Home»Ajira»Mabadiliko Ya Tarehe Usaili wa Mahojiano Ajira za Uwalimu Daraja IIIC Kiswahili 2024/2025
    Ajira

    Mabadiliko Ya Tarehe Usaili wa Mahojiano Ajira za Uwalimu Daraja IIIC Kiswahili 2024/2025

    Kisiwa24By Kisiwa24January 26, 2025No Comments1 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    Mabadiliko Ya Tarehe Usaili wa Mahijiano Ajira za Uwalimu Daraja IIIC Kiswahili 2024/2025

    Katibu, Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anapenda kuujulisha umma kuwa usaili wa Walimu Daraja la IIIC – Kiswahili uliopangwa kufanyika tarehe 28 Januari, 2025 katika vituo mbalimbali nchini, sasa utafanyika tarehe 30 Januari, 2025 kuanzia saa 1.00 Asubuhi.

    Mabadiliko haya yametokana na uwepo wa Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Nishati utakaofanyika Jijini Dar es Salaam, uliosababisha kufungwa kwa baadhi ya barabara tarehe 27 na 28 Januari, 2024.

    Hali hii inaweza kusababisha changamoto ya usafiri kwa wasailiwa wanaotoka katika Jiji hilo na hivyo kushindwa kufika katika vituo vyao vya usaili kwa wakati.

    Tarehe nyingine za usaili, mahali pa kufanyia usaili na muda wa usaili utabaki kama ulivyo kwenye
    matangazo ya awali ya kuitwa kwenye usaili.

    Bonyeza HAPA Kupakua Tangazo Kamili

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleTimu Zilizofuzu Robo Fainali Kombe la Shirikisho Afrika 2025
    Next Article Nafasi za Kazi Ajira Portal Tanzania 2025
    Kisiwa24

    Related Posts

    Ajira

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026
    Ajira

    NAFASI 33 za Kazi Chuo Cha MUST

    January 3, 2026
    Ajira

    NAFASI 10 za Kazi Halmshauri ya Mji Babati

    January 3, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    Demo
    Top Posts

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202554 Views

    Jinsi Ya Kupata Prem Number Kwa Urahisi Tanzania

    July 15, 202531 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202530 Views
    Stay In Touch
    • Facebook
    • YouTube
    • TikTok
    • WhatsApp
    • Twitter
    • Instagram
    Latest Reviews

    Subscribe to Updates

    Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

    Demo
    Most Popular

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202554 Views

    Jinsi Ya Kupata Prem Number Kwa Urahisi Tanzania

    July 15, 202531 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202530 Views
    Our Picks

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    • Home
    • Buy Now
    © 2026 ThemeSphere. Designed by ThemeSphere.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.