Close Menu
Kisiwa24

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    What's Hot

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026
    Kisiwa24Kisiwa24
    • Home
    • Ajira
    • Michezo
    • Makala
    • Elimu
    Kisiwa24
    Home»Michezo»Yanga vs MC Alger Leo 18 January 2025
    Michezo

    Yanga vs MC Alger Leo 18 January 2025

    Kisiwa24By Kisiwa24January 18, 2025No Comments3 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    Yanga vs MC Alger Leo 18 January 2025

    Habari mwana michezo wa Kisiwa24 Blog karibu katika kurasa hii itakayoenda kukupa uchambuzi wa kina juu ya mchezo wa Yanga dhidi ya MC Alger kwenye ligi ya mabingwa roundi ya 6 katika hatua ya makundi kusaka tiketi ya kuweza kufuzu hatua ya robo fainali.

    Yanga vs MC Alger Leo 18 January 2025

    Siku na Muda wa Mchezo

    Mchezo huu unatarajiwa kuchezwa siku ya jumamosi ya taree 18/01/2025 katika uwanja wa Benjamini Mkapa jijini Dar es Salaam majira ya 10:00 jioni. Huu ni mchezo wa marudiano baina ya timu zote 2 baada ya mchezo wa kwanza uliochezwa 07 December 2024 na Yanga iliweza kupoteza mchezo huo akiwa ugenini kwa kupokea kichapo cha goli 2 kwa sifuri.

    Umuhimu wa Mchezo Huu

    Mchezo huu ni muhimu kwa timu zote mbili kwani ndio mchezo wa maamuzi ya timu ipi kati ya hizi mbili itaenda kuungana na Al Hilal katika kusonga mbele kwenye hatua ya robo fainali.

    Kutokana na msimamo wa kundi A Tayari timu moja imesha fuzu hatua ya robo fainali (Al Hilal) timu ya pili itakayoungana na Al Hilal kutoka kundi A itategemea mcheo wa Yanga na MC Alger. MC Alger iko katika nafasi ya pili katika msimamo wa kundi A ikiwa na pointi 8, ili kufudhu hatua ianayofuata inahitaji sare tu katika mchezo huu.

    Yanga SC yenyewe iko katika nafasi ya 3 katika msimamo wa kundi A ligi ya mabingwa Afrika ikiwa na pointi 7 pointi moja nyuma ya MC Alger ili Yanga iweze kusonga mbele kwenye hatua ya Robo fainali inahitaji ushindi wa mchezo huu wa pointi 3 ili ifikishe pointi 10.

    Matarajio ya Mashabiki

    Mashabi walio wengi wa soka nchini Tanzania hasa wale wa Yanga wanaimani kubwa juu ya klabu ya Yanga inayocheza mchezo huu katika uwanja wake wa nyumbani kuibuka na ushindi ili kuweza kujihakikishia kusonga mbele katika hatua ya robo fainali ya ligi ya mabingwa Afrika kwa msimu wa 2024/2025. Kwa upande mwingine MC Alger wanatumani kuhakikisha wanapata japo sare katika mchezo huu kama sio kushinda ili kujipa nafasi ya kusonga mbele.

    Tathimini ya Mchezo

    Mchezo huu yutakua wa upinzani mkubwa kani kila timu inahitaji matokeo chanya katika mechi hii. Mashabiki wa soka wasubilie kuona burudani nzuri katika mchezo huu na kuona wachezaji wakionyesha vipaji vyao na uwezo wao ndani ya uwanja katika dakika zotez 90 za mchezo.

    Mapendekezo ya Mhariri

    1. Vituo Vya Kununua Tiketi Mechi ya Yanga vs MC Alger 18/01/2025

    2. KIKOSI Yanga Vs MC Alger Leo 18 January 2025

    3. Yanga vs MC Alger Leo 18 January 2025 Ni Saa ngapi?

    4. CV Ya Jonathan Ikangalombo Mchezaji Mpya wa Yanga

    5. Timu Zilizofuzu Robo Fainali Kombe la Shirikisho Afrika 2025

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleVituo Vya Kununua Tiketi Mechi ya Yanga vs MC Alger 18/01/2025
    Next Article Nafasi za Kazi Loan Recovery Officer Kutoka Serene Microfinance Limited
    Kisiwa24

    Related Posts

    Michezo

    Chagua mechi za Raundi ya 3 za AFCON zenye kusisimua zaidi na 1xBet!

    December 30, 2025
    Michezo

    MATOKEO Simba vs Azam FC 07 December 2025

    December 7, 2025
    Michezo

    Kikosi cha Simba vs Azam Leo 07/12/2025

    December 7, 2025
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    Demo
    Top Posts

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202560 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202537 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202537 Views
    Stay In Touch
    • Facebook
    • YouTube
    • TikTok
    • WhatsApp
    • Twitter
    • Instagram
    Latest Reviews

    Subscribe to Updates

    Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

    Demo
    Most Popular

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202560 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202537 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202537 Views
    Our Picks

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    • Home
    • Buy Now
    © 2026 ThemeSphere. Designed by ThemeSphere.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.