Close Menu
Kisiwa24

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    What's Hot

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026
    Kisiwa24Kisiwa24
    • Home
    • Ajira
    • Michezo
    • Makala
    • Elimu
    Kisiwa24
    Home»Michezo»Kikosi cha Simba vs CS Sfaxien Leo 05/01/2025
    Michezo

    Kikosi cha Simba vs CS Sfaxien Leo 05/01/2025

    Kisiwa24By Kisiwa24January 5, 2025No Comments2 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    Kikosi cha Simba vs CS Sfaxien Leo 05/01/2025 kombe la shirikisho Afrika (CAF Confederation Cup), wachezaji wa Simba watakaocheza dhidi ya CS Sfaxien, Habari leo 5 january 2025 klabu ya Simba iko nchini Tunisia ikisubili kuingia uwanjani kuminyana na klabu ya CS Sfaxien katika mcheo wa roundi ya 4 kwenye michuano ya CAF Confederation Cup 2024/2025.

    Hapa katika kurasa hii tutaenda kukuwekea kikosi kitakachoenda kucheza na klabu ya CS Sfaxien leo, kama wewe ni shabiki wa Simba na ungetamani kufahamu ni wacheaji gani waliopangwa katika kikosi ili kucheza na klabu ya CS Sfaxien basi hapa utaweza kupata taarifa zote za kikosi hicho.

    Kikosi cha Simba vs CS Sfaxien Leo 05/01/2025

    Hapa chini tutaenda kukuwekea kikosi kitakacho cheza katika mchezo wa leo pindi kitakapokua tayari kimeweza kutajwa. Ila kwa sasa tutakuwekea majina ya wachezaji walioweza kusafiri kwenda Tunisia ili kuunda kikosi kitakachoweza kucheza na klabu ya Kikosi cha Simba vs CS Sfaxien Leo 05/01/2025

    Walinda Mlango (Goalkeepers)

    1. Mouse Camera
    2. Hussin Abel
    3. Ally Salim

    Safu ya Ulinzi (Defenders)

    1. Karaboue Chamau
    2. Che Malone Fondoh
    3. Valentin Nouma
    4. Abrazak Hamza
    5. Mohamed Hussein
    6. Shomari Kapombe
    7. Kelvin Kijili

    Safu ya Viungo (Midfielders)

    1. Mzamiri Yasin
    2. Awesu Awesu
    3. Fabrice Ngoma
    4. Jean Charles Ahour
    5. Yusuph Kagoma
    6. Elie Mpanzu
    7. Augustine Okejepha
    8. Kibu Denis
    9. Debora Fenandes
    10. Ladaki Chasamba

    Safu ya Ushambuliaji (Strikers)

    1. Leonel Ateba
    2. Steven Mukwale

    Hapo juu ndio wachezaji walioweza kusafiri kutoka Tanzania kwenda Tunisia, Tunatumaini kikosi cha Simba vs CS Sfaxien kitatoka kwenye orodha hiyo hapo juu.

    Mara baada ya kutangazwa kwa kikosi basi sisi kama Kisiwa24 tutakiweka kikosi hicho katika ukurasa huu. mchezo huu wa Simba vs CS Sfaxien unatarajiwa kuanza majira ya saa 07:00 PM na kikosi cha Simba kitakua wazi saa moja kabla ya mchezo Kuanza.

    Matarajio ya Mashabiki wa Simba

    Mashabiki wengi wa Simba wanatarajia kuona kikosi kizuri na chenye ushindani kwani matumaini ya mashabi ni kuona Simba ikishinda mchezo huu ili kuweza kujiweka katika nafsi nzuri na yenye matumaini katika konga mbele kuelekea kwenye  hatua ya robo fainali ya michuano ya kombe la shirikisho Afrika (CAF Confederation Cup)

    Mapendekezo ya Mhariri;

    1. Matokeo ya CS Sfaxien vs Simba Leo 05/01/2025

    2. CS Sfaxien vs Simba SC Leo 05 January 2025  Saa Ngapi?

    3. RATIBA ya Mechi za Yanga Mwezi Januari 2025

    4. Kikosi cha simba kilicho safiri kuelekea TUNISIA

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleMatokeo ya CS Sfaxien vs Simba Leo 05/01/2025
    Next Article RATIBA ya Mechi za Simba Mwezi Januari 2025
    Kisiwa24

    Related Posts

    Michezo

    Chagua mechi za Raundi ya 3 za AFCON zenye kusisimua zaidi na 1xBet!

    December 30, 2025
    Michezo

    MATOKEO Simba vs Azam FC 07 December 2025

    December 7, 2025
    Michezo

    Kikosi cha Simba vs Azam Leo 07/12/2025

    December 7, 2025
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    Demo
    Top Posts

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202567 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202545 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202538 Views
    Stay In Touch
    • Facebook
    • YouTube
    • TikTok
    • WhatsApp
    • Twitter
    • Instagram
    Latest Reviews

    Subscribe to Updates

    Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

    Demo
    Most Popular

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202567 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202545 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202538 Views
    Our Picks

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    • Home
    • Buy Now
    © 2026 ThemeSphere. Designed by ThemeSphere.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.