Close Menu
Kisiwa24

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    What's Hot

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026
    Kisiwa24Kisiwa24
    • Home
    • Ajira
    • Michezo
    • Makala
    • Elimu
    Kisiwa24
    Home»Michezo» CS Sfaxien vs Simba SC Leo 05 January 2025  Saa Ngapi?
    Michezo

     CS Sfaxien vs Simba SC Leo 05 January 2025  Saa Ngapi?

    Kisiwa24By Kisiwa24January 4, 2025No Comments2 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

     CS Sfaxien vs Simba SC Leo 05 January 2025  Saa Ngapi? Karibu katika makala hii fupi itakayoenda kukupa mwongozo wa ratiba ya muda fani mechi ya Simba dhidi ya CS Sfaxien ya Tunisia itachezwa.

    Leo 05/01/2025 Mnyama Simba yuko Tunisia akisubili kuingia dimbani kukipiga dhidi ya klabu ya CS Sfaxien kwenye mechi ya roundi ya 4 katika michuano ya CAF Confederation Cup hatua ya makundi.

    Mchezo huu ni mchezo wa marudiano baada ya mchezo uliowakutanisha miamba hii miwili katika jiji la Dar es Salaam tarehe 15 Decenber na Simba Kuibuka na Ushindi wa goli 2 kwa moja goli la ushi la Simba likifungwa kunako dk 8 baada ya dk 90 kutamatika na Kibu Denis.

     CS Sfaxien vs Simba  Leo 05 January 2025  Saa Ngapi?

    Hapa chini tuanenda kujibu swali lao juu ya muda gani mchezo wa Simba vs  CS Sfaxien utaenda kuchezwa

    1. CAF Confederation Cup

    2. Kundi A

    3. Mchezo wa Roundi ya 4

    4. CS Sfaxien vs Simba

    5. Uwanja wa; Stade Olympique Hammadi Agrebi

    6. Sudani

    7. 19:00 Pm

    Hapo juu ni taarifa za muhimu kuhusu mchezo huu wa CAF Confederation Cup unaozikutanisha klabu 2 kutoka katika kundi A.

    Nafasi ya Simba Kwenye Kundi A

    Hadi sasa Simba SC wamecheza michezo 3, katika michezo hiyo ameshinda michezo 2 na kupoteza mchezo 1, hivyo basi mchezo huu ni muhimu sana kwa Simba kuweza kushinda kwani yuko katika nafasi ya 3 akiwa sawa pointi na walioko ju yake wote wanapointi 6 kama atashinda mchezo huu atakua na pointi 9 huku akiombea walioko juu yake kupoteza mchezo au kutoa sare kama walioko juu wataishia na matokeo ya sare kisha Simba akashinda basi atakua anaongoza kundi A.

    Matarajio ya Mashabi wa Simba.

    Mashabiki wengi wa klabu ya Simba wanaimani na timu yao kuweza kushinda mchezo huu, hasa ukizingatia Kibu Denisi tayari kesha rudi kwenye kikosi, pia Elie Mpanzu atakuwepo uwanjani hivyo ni matumaini ya juu kua Simba itashinda mchezo huu ili kuweza kuendelea kujihakikishia nafasi ya kufudhu hatua ya robo fainali.

    Mapendekezo ya Mhariri;

    1. RATIBA ya Mechi za Yanga Mwezi Januari 2025

    2. Ratiba ya Mechi Za Leo Ligi Mbalimbali

    3. Msimamo Wa Ligi Kuu ya NBC 2024/2025 Tanzania Bara

    4. Msimamo wa Ligi Kuu Uingereza EPL 2024/2025

    5. Ratiba Ya Ligi Kuu England 2024/2025 (EPL Fixtures 2024/2025)

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleRATIBA ya Mechi za Yanga Mwezi Januari 2025
    Next Article Matokeo ya CS Sfaxien vs Simba Leo 05/01/2025
    Kisiwa24

    Related Posts

    Michezo

    Chagua mechi za Raundi ya 3 za AFCON zenye kusisimua zaidi na 1xBet!

    December 30, 2025
    Michezo

    MATOKEO Simba vs Azam FC 07 December 2025

    December 7, 2025
    Michezo

    Kikosi cha Simba vs Azam Leo 07/12/2025

    December 7, 2025
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    Demo
    Top Posts

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202560 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202545 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202538 Views
    Stay In Touch
    • Facebook
    • YouTube
    • TikTok
    • WhatsApp
    • Twitter
    • Instagram
    Latest Reviews

    Subscribe to Updates

    Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

    Demo
    Most Popular

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202560 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202545 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202538 Views
    Our Picks

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    • Home
    • Buy Now
    © 2026 ThemeSphere. Designed by ThemeSphere.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.