Close Menu
Kisiwa24

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    What's Hot

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026
    Kisiwa24Kisiwa24
    • Home
    • Ajira
    • Michezo
    • Makala
    • Elimu
    Kisiwa24
    Home»Makala»Vituo vya TIKETI Yanga SC vs TP Mazembe 04 January 2025 CAF
    Makala

    Vituo vya TIKETI Yanga SC vs TP Mazembe 04 January 2025 CAF

    Kisiwa24By Kisiwa24January 2, 2025No Comments3 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    Vituo vya TIKETI Yanga SC vs TP Mazembe 04 January 2025, Vituo vya TIKETI mchezo wa Yanga SC vs TP Mazembe 04 January 2025 CAF,Sehemu za kununulia tiketi mechi ya Yanga na TP Mazembe January 04,2025. Habari ya wakti huu mwanamichezo wa Kisiwa24, Karibu katika makala hii fupi itakayoenda kukupa mwongozo wa maeneo ambayo Tiketi za mchezo wa Yanga vs TP Mazembe zinapatikana.

    Je unatamani kwenda kushuhudia mchezo kati ya Yanga SC na TP Mazembe mchezo wa marudiano hatua ya makundi kwenye michuano ya klabu bingwa barani Afrika na hufahamu wapi kwa kwenda kukatia tiketi? basi usijali kwani makala hii ittaenda kukuonyesha maeneo yote ambayo tikeki za mchezo huu zinapatikana.

    Bei ya Tiketi Mechi ya Yanga Vs TP Mazembe

    Bei ya kiikigili kwenye mechi ya klabu bingwa barani Afrika round ya 4 kati ya Yanga na TP Mazembe  vimegawanywa katika makundi manne amabyo ni

    1. Mzunguko (Orange)
    2. VIP C
    3. VIP B
    4. VIP A

    ili kuweza kutazamaz bei ya tiketi ya mchezo huu kati ya Yanga na TP Mazembe basi bonyeza HAPA

    Vituo vya TIKETI Yanga SC vs TP Mazembe 04 January 2025

    Hapa chini ni orodha ya vituo vya kununulia tikeki kuelekea mchezo wa hatua ya makundi roundi ya 4 kati ya Yanga na TP Mazembe ikiwa ni mchezo wa marudiano baada ya mchezo ule wa DR Congo ulioisha kwa matokeo ya sare ya goli 1-1.

    1. Young Africans – Jangwani

    2. Vunja Bei – Dar es Salaam

    3. T-Money LTD – Kigamboni

    4. Gitano Samwel – Mbagara Zakiem

    5. Khalfan Mohamed – Ilala

    6. Lampard Electronics

    7. Gwambina Lounge – Gwambina

    8. Karoshy Pamba – Dar Live (Zakheim)

    9. Antonio Service – Sinza, Kivukoni

    10. Tumpe Kamwela – Kigamboni

    11. Sovereign – Kinondoni Mkaburini

    12. View Blue Skyline – Mikocheni

    14. Mkaluka Traders – Machinga Complex

    15. New Tech General Traders – Mbagala Maji Matitu

    16.Juma Burrah – Kivukoni

    17. Juma Burrah – Ubungo

    18. Alphan Hinga – Ubungo

    19. Mtemba Service Co – Temeke

    20. Jackson Kimambo – Ubungo

    21. Shgirima Shop – Leaders

    Hayo hapo ndio maeneo ambayo wanasoka na mashabiki wa klabu ya Yanga wanaweza kutembelea ili kuweza kujinunulia tiketi zao mapema kabisa. Hapa chini ni picha inayoonyesha maeneo ambayo tumweza kuyaainisha hapo juu kwa ajili ya kununua tiketi kuelekea mchezo huu wa Yanga na TP Mazembe roundi ya 4 kwenye kundi A.

    Vituo vya TIKETI Yanga SC vs TP Mazembe 04 January 2025

    Njia nyingine ya Kununua Tiketi ya Mchezo wa Yanga vs TP Mazembe

    Nje ya kutyembelea vituo vya nunuliji tiketi lakini pia shabi anaweza kujikatia tiketi yake kupitia mitandao ya simu kama vile Vodaom, Tigo na Airtel kupitia huduma ya N-Card.

    Vituo vya TIKETI Yanga SC vs TP Mazembe 04 January 2025

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleKikosi cha simba kilicho safiri kuelekea TUNISIA
    Next Article Mechi ya Yanga SC vs TP Mazembe leo 04/01/ 2025 Saa Ngapi?
    Kisiwa24

    Related Posts

    Makala

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026
    Michezo

    Chagua mechi za Raundi ya 3 za AFCON zenye kusisimua zaidi na 1xBet!

    December 30, 2025
    Makala

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 2025
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    Demo
    Top Posts

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202560 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202545 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202538 Views
    Stay In Touch
    • Facebook
    • YouTube
    • TikTok
    • WhatsApp
    • Twitter
    • Instagram
    Latest Reviews

    Subscribe to Updates

    Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

    Demo
    Most Popular

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202560 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202545 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202538 Views
    Our Picks

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    • Home
    • Buy Now
    © 2026 ThemeSphere. Designed by ThemeSphere.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.