Close Menu
Kisiwa24

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    What's Hot

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026
    Kisiwa24Kisiwa24
    • Home
    • Ajira
    • Michezo
    • Makala
    • Elimu
    Kisiwa24
    Home»Makala»Ratiba Ya Usaili Ajira Mpya za Walimu 2024/2025
    Makala

    Ratiba Ya Usaili Ajira Mpya za Walimu 2024/2025

    Kisiwa24By Kisiwa24January 2, 2025No Comments3 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    Hii Hapa Ratiba Ya Usaili Ajira Mpya za Walimu 2024/2025, Habari, Je wewe ni mwombaji wa ajira mpya za ualimu kupitia tovuti ya Ajira portal basi unahitaji kufahamu Ratiba ya usaili iliyotolewa na Sekretalieti ya Ajira katika utumishi wa UMMA.

    Taarifa Kuhusu Usaili Wa Kada Za Ualimu

    Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma ilianzishwa kwa mujibu wa kifungu 29 (1) cha Sheria ya Utumishi wa Umma, Sura ya 298 iliyorejewa 2019, ambayo inaelekeza kuwepo kwa chombo maalumu cha kushughulikia mchakato wa ajira katika Utumishi wa Umma.

    Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma ilitoa taarifa ya kusitishwa usaili wa Walimu tarehe 17 Oktoba, 2024 ambapo taarifa hiyo ilitokana na tangazo la kuitwa kwenye usaili la terehe 15 Oktoba, 2024. Hivyo, kupitia tangazo hili, Katibu wa Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anapenda kuwatangazia waombaji kazi wote wa Kada za Ualimu ambao usaili wao ulisitishwa kwa muda kuwa usaili huo utafanyika kuanzia
    terehe 14 Januari, 2025 mpaka tarehe 24 Februari, 2025. Ratiba ya usaili huu itapatikana katika Tovuti ya Sekretarieti ya Ajira (www.ajira.go.tz) na mitandao rasmi ya kijamii ya Taasisi. Vile vile, Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anawajulisha wasailiwa wote wa kada za ualimu kuwa, usaili wa kuandika (mchujo) na mahojiano ya ana kwa ana utafanyika ndani ya mikoa wanayoishi wasailiwa na watapangiwa vituo vya kazi kulingana na ufaulu wao popote nchini.

    Hivyo basi, waombaji kazi wa kada za ualimu na wale walioomba kwa ajili ya kada za amali na biashara mnatakiwa kuhuisha taarifa za makazi ya sasa (current physical address) kwenye mfumo wa ‘Ajira Portal’ ili muweze kupangiwa kituo cha kufanyia usaili jirani na maeneo mnayoishi kwa sasa. Tangazo la majina kuonesha mtakapofanyia usaili
    litatolewa tarehe 06 Januari, 2025 kupitia tovuti ya Sekretarieti ya Ajira, mitandao rasmi ya kijamii ya Taasisi na akaunti za waombaji kazi kwenye mfumo wa ‘Ajira Portal’. Vilevile wale wote walioitwa kwenye usaili wanatakiwa waje na vyeti vyao halisi vya taaluma, Cheti cha Kuzaliwa pamoja na kitambulisho halisi kwa ajili ya Utambuzi.
    Vitambulisho vinavyotambulika ni pamoja na; kitambulisho cha Uraia (NIDA), kitambulisho cha Mkazi, kitambulisho cha Mpiga kura, Hati ya Kusafiria, Leseni ya Udereva, Kitambulisho cha Kazi, Barua ya Utambulisho kutoka Ofisi ya Serikali ya Mtaa unaoishi au Sheha. Aidha, Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma inawakumbusha watafuta fursa za ajira wote kuwa mchakato wa ajira unaendeshwa kwa kuzingatia
    misingi ya Sifa, Haki, Usawa na Uwazi hivyo mnapaswa kujiepusha kutoa rushwa na kupokea taarifa potofu.

    Ratiba Ya Usaili Ajira Mpya za Walimu 2024/2025

    Hapa chini ni ratiba kamili ya usaili wa Ajira za Ualimu kwa mwaka wa 2024/2025.

    Bonyeza HAPA kudownload Ratiba Yote

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleVIINGILIO Mechi ya Yanga vs TP Mazembe 04 January 2025
    Next Article Kikosi cha simba kilicho safiri kuelekea TUNISIA
    Kisiwa24

    Related Posts

    Makala

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026
    Makala

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 2025
    Makala

    Jinsi ya kupika Pilau kwenye Rice Cooker

    October 9, 2025
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    Demo
    Top Posts

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202560 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202537 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202537 Views
    Stay In Touch
    • Facebook
    • YouTube
    • TikTok
    • WhatsApp
    • Twitter
    • Instagram
    Latest Reviews

    Subscribe to Updates

    Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

    Demo
    Most Popular

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202560 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202537 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202537 Views
    Our Picks

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    • Home
    • Buy Now
    © 2026 ThemeSphere. Designed by ThemeSphere.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.