Close Menu
Kisiwa24

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    What's Hot

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026
    Kisiwa24Kisiwa24
    • Home
    • Ajira
    • Michezo
    • Makala
    • Elimu
    Kisiwa24
    Home»Michezo»Orodha ya Timu Zinazoshiriki Ligi Daraja la kwanza 2024/2025
    Michezo

    Orodha ya Timu Zinazoshiriki Ligi Daraja la kwanza 2024/2025

    Kisiwa24By Kisiwa24December 19, 2024No Comments3 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    Orodha ya Timu Zinazoshiriki Ligi Daraja la kwanza 2024/2025, timu zinazoshiriki NBC Championship 2024/2025, Habari mwana Kisiwa24, karibu katika makala hii inayoenda kukupa mwongozo wa timu zinazoshiliki kwenye michuano ya ligi Daraja la kwanza msimu wa 2024/2025

    Kama wewe ni mpenzi wa soka hasa kwenye michuano ya NBC Championship basi huna budi kufahamu ni timu zipi zinazoshiriki kwenye ligi hiyo. Hapa katika makala hii fupi ya kimichezo tunaenda kukuwekea orodha ya timu zote ambazo zinashiriki katika ligi hii ya NBC Championship 2024/2025

    Orodha ya Timu Zinazoshiriki Ligi Daraja la kwanza 2024/2025

    Baada ya msimu wa 2023/2024 kukamilika na kushudia timu 2 kutoka kwenye ligi ya NBC Championship kuweza kupanda daraja na kuingia kwenye ligi kuu ya NBC Tanzania bara kwa msimu mpya wa 2024/2025, Sasa bado mkimbizano unaendela kwenye ligi Daraja la kwanza. Timu zilizopanda daraja kwenye msimu huu wa 2024/2025 kutoka ligi daraja la kwanza ni pamoja na;

    1. KenGold
    2. Pamba Jiji

    Japo hadi sasa kwenye msimo wa ligi kuu ya NBC hazijaweza kufanya vizuri kwan KenGold iko kwenye nafasi ya 16 na Pamba Jiji iko kwenye nafasi ya 14.

    Idadi ya Timu Kwenye Ligi ya NBC Championship

    Kuna jumla ya timu 16 zinazoshiriki ligi Daraja la kwanza 2024/2025, hadi mwisho wa ligi kila timu itakua imecheza jumla ya michezo 30 ikiwa ina maaya ya kila timu itakutana na timu nyingine mara mbili

    Mgawanyo wa Mechi kwenye ligi Daraja la Kwanza

    Mgawanyo wa michezo kwenye ligi daraja la kwenza iko sawa na ule wa ligi kuu ya NBC Tanzania bara kwani kila timu itacheza na mwezake mara 2 kwa mgawanyo wa

    • Home
    • Away

    Hivyo basi kwa mgawanyo huu unaifanya ligi kua na jumla ya mechi 30 kwa kila timu.

    Timu zinazoshiriki michuano hii ya NBC Championship 2024/2025 ni pamoja na;

    1. Mtibwa

    2. Geita

    3. Stand United

    4. Mbeya City

    5. TMA

    6. Mbeya Kwanza

    7. Songea United

    8. Bigman

    9. Mbuni

    10. Polisi Tanzania

    11. Biashara UTD

    12. Green Warriors

    13. Cosmopolitan

    14. A.Sports

    15. Transit Camp

    16. Kiluvya

    Mwisho wa ligi timu zitakazo maliza katika nafasi ya 1 na 2 zitapanda daraja na kuingia kwenye ligi kuu ya NBC Tanzania bara kwa msimu ujao wa 2024/2025 na kwa zile zitazo maliza kwenye nafasi ya 15 na 16 zitashuka daraja na kujiunga na ligi ya daraja la pili.

    Mwenendo wa Ligi Draja la kwanza 2024/2025 NBC Championship

    Ligi imekua na mvutano mkubwa kwa timu kuwania nafasi ya 3 bora kwani hadi sasa imesha chezwa michezo 12 na muachano wa pointi kati ya nafasi moja hadi nyingine ni mdogo sana, hii inaonyesha uimara wa timu na ligi kwa ujumla wake

    Mapendekezo ya Mhariri;

    1. Timu Zinazoshiriki Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara 2024/2025

    2. Orodha ya Makombe Yote ya Simba SC Kwenye Ligi Kuu Tanzania

    4. Orodha ya Makombe yenye Thamani Kubwa Zaidi Barani Ulaya

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleOrodha ya Shule za Sekondari Mkoa wa Shinyanga
    Next Article Orodha ya Wafungaji Bora Ligi Kuu Uingereza EPL 2024/2025
    Kisiwa24

    Related Posts

    Michezo

    Chagua mechi za Raundi ya 3 za AFCON zenye kusisimua zaidi na 1xBet!

    December 30, 2025
    Michezo

    MATOKEO Simba vs Azam FC 07 December 2025

    December 7, 2025
    Michezo

    Kikosi cha Simba vs Azam Leo 07/12/2025

    December 7, 2025
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    Demo
    Top Posts

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202550 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202530 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202529 Views
    Stay In Touch
    • Facebook
    • YouTube
    • TikTok
    • WhatsApp
    • Twitter
    • Instagram
    Latest Reviews

    Subscribe to Updates

    Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

    Demo
    Most Popular

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202550 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202530 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202529 Views
    Our Picks

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    • Home
    • Buy Now
    © 2026 ThemeSphere. Designed by ThemeSphere.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.