Close Menu
Kisiwa24

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    What's Hot

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026
    Kisiwa24Kisiwa24
    • Home
    • Ajira
    • Michezo
    • Makala
    • Elimu
    Kisiwa24
    Home»Michezo»Tazama Cv ya Kelvin Nashon (Midfielder)
    Michezo

    Tazama Cv ya Kelvin Nashon (Midfielder)

    Kisiwa24By Kisiwa24December 19, 2024No Comments2 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    Cv ya Kelvin Nashon (Midfielder),Klabu ya Yanga iko kwenye mchakati wa kumsajili Kelvin Nashon kwenye usajili huu wa dirisha dogo.

    Lengo la Yanga kufanya sajili ya Kelvin Nashon ni miongoni mwa mikakati yake ya kukijenga na kukiimalisha kikosi chake hasa kutokana na ubora wa vikosi vya timu pinzani ndani ya ligi kuu ya NBC na kwenye mashindano ya klabu bingwa Afrika.

    Ikumbukwe ya kua hadi sasa kwenye michuano ya klabu bingwa Afrika klabu ya Yanga imesha cheza michezo 3 na kwenye michezo hiyo 3 imeshapoteza michezo 2 na kutoa sare mchezo 1 hivyo kujikusanyia pointi 1 na iko katika nafasi ya 4 kwenye msimamo wa kundi A.

    Kwenye ligi kuu ya NBC klabu ya Yanga iko kwenye nafasi ya 3 hadi sasa japo imecheza michezo 11 ikiwa na pointi 27 huku Azam ikiwa kileleni na pointi 33 ikiwa imecheza michezo 15

    Usajili wa Kelvin Nashon Yanga unatija kubwa sana kwa kua Yanga bado inamapambano makubwa sana kwenye ligi ya ndani na michuano ya kimataifa Afrika.

    Wasifu wa Kelvin Nashon

    Jina kamili: Kelvin Nashon

    Kuzaliwa: 2/08/2000

    Mahari: Mwanza

    Umri: miaka 24

    Urefu: 1.68m

    Nafasi Uwanjani: Kiungo (Midfielder)

    Safari ya Kelvin Nashon kwenye Ulimwengu wa soka

    Kelvin Nashon kwa sasa anachezea klabu ya Geita Gold na ni mchezaji wa timu ya taifa ya Tanzania

    Klabu ya Yanga inataka kufanya sajili ya Kelvin Nashon kama moango wa kubolesha eneo la kiungo la klabu hiyo.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleTimu Zinazoshiriki Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara 2024/2025
    Next Article Nafasi za Kazi Puma Energy December 2024
    Kisiwa24

    Related Posts

    Michezo

    Chagua mechi za Raundi ya 3 za AFCON zenye kusisimua zaidi na 1xBet!

    December 30, 2025
    Michezo

    MATOKEO Simba vs Azam FC 07 December 2025

    December 7, 2025
    Michezo

    Kikosi cha Simba vs Azam Leo 07/12/2025

    December 7, 2025
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    Demo
    Top Posts

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202560 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202545 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202538 Views
    Stay In Touch
    • Facebook
    • YouTube
    • TikTok
    • WhatsApp
    • Twitter
    • Instagram
    Latest Reviews

    Subscribe to Updates

    Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

    Demo
    Most Popular

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202560 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202545 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202538 Views
    Our Picks

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    • Home
    • Buy Now
    © 2026 ThemeSphere. Designed by ThemeSphere.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.