Close Menu
Kisiwa24

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    What's Hot

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026
    Kisiwa24Kisiwa24
    • Home
    • Ajira
    • Michezo
    • Makala
    • Elimu
    Kisiwa24
    Home»Michezo»Yanga vs Mashuja Leo 19/12/2024
    Michezo

    Yanga vs Mashuja Leo 19/12/2024

    Kisiwa24By Kisiwa24December 18, 2024No Comments2 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    Yanga vs Mashuja Leo 19/12/2024, habari mwanamichezo wa Kisiwa24, karibu katika makala hii fupi itakayoenda kutoa uchambuzi mfupi wa mechi ya Yanga Dhidi ya Mashujaa kwenye ligi kuu ya NBC Tanzania bara msimu wa 2024/2025

    Yanga vs Mashuja Leo 19/12/2024

    Mechi ya Yanga na Mashujaa ni mechi ya matumaini mapya kwa klabu ya Yanga ambayo imetoka kushiriki michuano ya klabu bigwa Afrika kwa kucheza michezo 3, katika michezo hiyo mitatu Yanga imepoteza michezo 2 na kutoa sare mchezo mmoja.

    Nafasi ya Kila Timu kwenye Ligi kuu ya NBC

    Yanga SC

    Kwenye msimamo wa ligi kuu ya NBC klabu ya yanga ipo katika nafasi ya 4 ikiwa imecheza taklibani michezo 11 na kujikusanyia pointi 27. Katika michezo 11 ambayo klabu ya Yanga imefanikiwa kuicheza kwenye ligi kuu ya NBC imeshinda michezo 9 na kupoteza michezo 2.

    Mashujaa FC

    Klabu ya mashujaa inakutana na Yanga kwenye mchezo wa ligi kuu ya NBC round ya 4 ikiwa katika nafasi ya 7 huku ikiwa imefanikiwa kucheza michezo 14, katika michezo hiyo 14, imeshinda michezo 4, imetoa sare michezo 7 na kufungwa michezo 3 hivyo kujinyakulia pointi 19.

    Utabiri wa Mchezo

    Kutokana na uzoefua na rekodi za nyuma mchezo huu klabu ya Yanga inanafasi kubwa ya kushinda mchezo huu. kama klabu ya Yanga itashinda mchezo huu itakua na pointi 30 hivyo kusongea hadi nafasi ya 3 mbele ya Singida Big Stars kwa utofauti wa magoli.

    Ila kama mashujaa atashinda mchezo huu atasogea hadi nafasi ya sita kwa kua na pointi 22 na kuishisha klabu ya Fountain Gate ambayo inapointi 20.

    Kama mchezo utamalizika kwa matokeo ya Sare basi kila timu itasalia kwenye nafasi iliyopo kwani Yanga itakia na pointi 28 na Mashujaa itakua na pointi 20.

    Muda na Mahari Mchezo utakapochezwa

    Mechi hii ya Yanga vs Mashujaa itachezewa jijini Dar es salaam

    • Uwanja wa Benjamini Mkapa
    • Muda; 6:00 jioni

    Je wewe kama shabiki wa Yanga au Mashujaa nini matarajio yako kueleka mchezo huu? unaweza kuacha komenti yako hapo chini

    Mapendekezo ya Mhariri:

    1. CV ya Fahad Aziz Bayo Mchezaji Mpya wa Yanga Sc

    2. TETESI  za Usajili Yanga SC 2024/2025

    3. Orodha ya Makombe Yote ya Simba SC Kwenye Ligi Kuu Tanzania

    4. Msimamo wa Ligi ya NBC Championship Tanzania 2024/2025

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleCV ya Fahad Aziz Bayo Mchezaji Mpya wa Yanga Sc
    Next Article Matokeo ya Yanga Vs Mashujaa Leo 19/12/2024
    Kisiwa24

    Related Posts

    Michezo

    Chagua mechi za Raundi ya 3 za AFCON zenye kusisimua zaidi na 1xBet!

    December 30, 2025
    Michezo

    MATOKEO Simba vs Azam FC 07 December 2025

    December 7, 2025
    Michezo

    Kikosi cha Simba vs Azam Leo 07/12/2025

    December 7, 2025
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    Demo
    Top Posts

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202560 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202537 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202536 Views
    Stay In Touch
    • Facebook
    • YouTube
    • TikTok
    • WhatsApp
    • Twitter
    • Instagram
    Latest Reviews

    Subscribe to Updates

    Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

    Demo
    Most Popular

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202560 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202537 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202536 Views
    Our Picks

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    • Home
    • Buy Now
    © 2026 ThemeSphere. Designed by ThemeSphere.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.