Close Menu
Kisiwa24

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    What's Hot

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026
    Kisiwa24Kisiwa24
    • Home
    • Ajira
    • Michezo
    • Makala
    • Elimu
    Kisiwa24
    Home»Michezo»Idadi Ya Makombe Alioshinda Yanga kwenye Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara
    Michezo

    Idadi Ya Makombe Alioshinda Yanga kwenye Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara

    Kisiwa24By Kisiwa24December 11, 2024No Comments2 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    Idadi Ya Makombe Alioshinda Yanga kwenye Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara, Klabu ya Yanga ni moja ya klabu maarufu zaidi Tanzania na Afrika kwa ujumla.Yanga Sc imeanzishwa February 11, 1935, Inamakazi yake katika jiji la Dar es Salaam. Klabu ya Yanga inamajina ya utani kama vile Wananchi Fc; Vijana Stars (The Young Stars); Wananchi (kiboko).

    Toka kuanzishwa kwake imekua ikishiriki katika kwenye ligi kuu ya Tanzania Bara ambayo kwa sasa inajulikana kama NBC Premier League. Kwa sasa klabu ya yanga inahudumiwa na kocha Sead Ramović.

    Idadi Ya Makombe Alioshinda Yanga kwenye Ligi Kuu ya NBC

    Hapa chini ni miaka ambayo klabu ya Yanga iliweza kuchukua ubingwa wa ligi kuu ya NBC toka kuanzishwa kwake mwaka 1935.

    2023/2024

    • Yanga ilichukua ubingwa kwa pointi 80

    2022/2023

    • Yanga ilichukua ubingwa kwa pointi 78

    2021/2022

    • Yanga ilichukua ubingwa kwa pointi 74

    2016/2017

    • Yanga ilichukua ubingwa kwa pointi 68

    2015/2016

    • Yanga ilichukua ubingwa kwa pointi 73

    2014/2015

    • Yanga ilichukua ubingwa kwa pointi 55

    2012/2013

    • Yanga ilichukua ubingwa kwa pointi 60

    2010/2011

    • Yanga ilichukua ubingwa kwa pointi 49

    2008/2009

    • Yanga ilichukua ubingwa kwa pointi 28

    2007/2008

    • Yanga ilichukua ubingwa kwa pointi 80

    2006

    • Yanga ilichukua ubingwa kwa pointi 70

    Makombe mengine amabayo Yanga aliweza kuyachukua kwenye ligi kuu ya NBC Tanzania bara ni yale ya mwaka;

    1. 2005
    2. 2002
    3. 1997
    4. 1996
    5. 1993
    6. 1992
    7. 1991
    8. 1989
    9. 1987
    10. 1985
    11. 1983
    12. 1981
    13. 1974
    14. 1972
    15. 1971
    16. 1970
    17. 1969
    18. 1968

    Tangu mwaka 1968 hadi sasa klabu ya Yanga imechukua makombe 27 kwenye ligi kuu ya NBC Tanzania Bara na ndio imekua klabu yenye historia ya kua klabu iliyochukua makombe mengi zaidi ya ligi ya NBC Tanzania Bara.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleNafasi za Kazi Chuo cha Bugando (CUHAS) Desemba 2024
    Next Article Ratiba ya NBC Championship Tanzania 2024/2025 Ligi Daraja la Kwanza
    Kisiwa24

    Related Posts

    Michezo

    Chagua mechi za Raundi ya 3 za AFCON zenye kusisimua zaidi na 1xBet!

    December 30, 2025
    Michezo

    MATOKEO Simba vs Azam FC 07 December 2025

    December 7, 2025
    Michezo

    Kikosi cha Simba vs Azam Leo 07/12/2025

    December 7, 2025
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    Demo
    Top Posts

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202558 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202535 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202532 Views
    Stay In Touch
    • Facebook
    • YouTube
    • TikTok
    • WhatsApp
    • Twitter
    • Instagram
    Latest Reviews

    Subscribe to Updates

    Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

    Demo
    Most Popular

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202558 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202535 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202532 Views
    Our Picks

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    • Home
    • Buy Now
    © 2026 ThemeSphere. Designed by ThemeSphere.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.