Close Menu
Kisiwa24

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    What's Hot

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026
    Kisiwa24Kisiwa24
    • Home
    • Ajira
    • Michezo
    • Makala
    • Elimu
    Kisiwa24
    Home»Michezo»Simba Sc Vs Fc Bravos Do Maquis 27 Nov 2024
    Michezo

    Simba Sc Vs Fc Bravos Do Maquis 27 Nov 2024

    Kisiwa24By Kisiwa24December 1, 2024No Comments3 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    Simba Sc Vs Fc Bravos Do Maquis 27 Nov 2024, Habari ya wakati huu mwanamichezo wa blog pendwa ya Habraika24, Karibu katika makala hii fupi  ya kimichezo ambayo itaenda kuangazia kwa undani juu ya mechi ya Simba Sc dhidi ya klabu ya Fc Bravos Do Maquis kutokea nchini Angola leo Tarehe 27 Nov 2024.

    Huu ni mchezo wa kwanza kwa klabu ya Simba na Fc Bravos Do Maquis kwenye michuano ya kombe la shirikisho Afrika 2024/2025 kwenye hatua ya makundi. Simba Sc ikiwa nyumbani kwenye uwanja wa Benjamini Mkapa inaikaribisha Fc Bravos Do Maquis huku ikiwa na shahuku ya kupata alama 3 muhimu.

    Kuelekea mchezo wao wa kwanza klabu ya Simba imetangaza jezi zake mpya itakazozitumia kwenye michezo ya kimataifa ya kombe la shirikisho barani Afrika 2024/2025

    Simba Sc Vs Fc Bravos Do Maquis 27 Nov 2024

    Simba na Fc Bravos Do Maquis ni miongoni mwa klabu zinazo unda kundi A kwenye michuanao ya kombe la shirikisho barani Afrika msimu wa 2024/2025. Timu nyingine zinajumuika na Simba Sc na Fc Bravos Do Maquis kwenye kundi A ni Pamoja na;

    • CS Costantine
    • CS Sfaxien
    Simba Sc Vs Fc Bravos Do Maquis 27 Nov 2024
    Simba Sc Vs Fc Bravos Do Maquis 27 Nov 2024

    Kikosi Cha Simba Dhidi ya Fc Bravos Do Maquis

    Hapa ni orodha majina ya wachezaji wa klabu ya Simba wanaotarajiwa kucheza katika mechi dhidi ya Fc Bravos Do Maquis tarehe 27 November 2024

    • Lameck Lawi
    • Abdulrazack Hamza
    • Valentino Mashaka
    • Omari Omari
    • Kelvin Kijili
    • Yusuph Kagoma
    • Jushua Mutale
    • Steven Mukwala
    • Jean Charles Ahoa
    • Debora Fernandes Mavambo
    • Augustine Okajepha
    • Valentin Nouma
    • Karaboue Chamou

    Matokeo ya Simba vs Fc Bravos Do Maquis Leo 27 Nov 2024

    Kama unafuatilia matokeo ya mchezo wa hatua ya makundi katika kundi A kombe la shirikisho barani Afrika kati ya Simba Sc Vs Fc Bravos Do Maquis basi hapa chini tutaenda kukuwekea matokeo ya mchzo huo mara baada ya mechi kuisha

    Simba SC 1 – 0 Fc Bravos Do Maquis

    Simba inakutana na Fc Bravos Do Maquis ikiwa inaendelea kufanya vizuri katika michuano ya ligi kuu ya NBC msimu wa 2024/2025 huku ikiwa na wachezaji wenye uwezo mkubwa na uzoefu wa kutosha katika michuano ya ligi mbali mbali barani Afrika.

    Mapendekezo ya Mhariri

    1. Ratiba Ya Mechi Za Simba Kombe la Shirikisho Afrika 2024/2025

    2. Ratiba Ya Mechi Za Simba SC Ligi Kuu Ya NBC Premier

    3. Msimamo Ligi Kuu NBC 2024/2025

    4. Msimamo wa Ligi Kuu Uingereza EPL 2024/2025

    5. Kundi la Yanga SC Klabu Bingwa Afrika 2024/2025

    Asante kwa kusoma makala yetu hadi mwisho, ikiwa unamaswali yoyote tafadhali acha maoni hapa chini au unaweza Wasiliana nasi. Usisahau kujiunga nasi kwenye WhatsApp gropu letu kwa updates zaidi.

    Jiunge na Whatsap Gropu letu kwa updates za kila siku

    BONYEZA HAPA

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleNafasi ya Yanga Ligi Kuu Ya NBC 2024/2025
    Next Article Nafasi ya Simba SC Kwenye Ligi Kuu Ya NBC 2024/2025
    Kisiwa24

    Related Posts

    Michezo

    Chagua mechi za Raundi ya 3 za AFCON zenye kusisimua zaidi na 1xBet!

    December 30, 2025
    Michezo

    MATOKEO Simba vs Azam FC 07 December 2025

    December 7, 2025
    Michezo

    Kikosi cha Simba vs Azam Leo 07/12/2025

    December 7, 2025
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    Demo
    Top Posts

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202558 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202535 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202532 Views
    Stay In Touch
    • Facebook
    • YouTube
    • TikTok
    • WhatsApp
    • Twitter
    • Instagram
    Latest Reviews

    Subscribe to Updates

    Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

    Demo
    Most Popular

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202558 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202535 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202532 Views
    Our Picks

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    • Home
    • Buy Now
    © 2026 ThemeSphere. Designed by ThemeSphere.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.