Close Menu
Kisiwa24

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    What's Hot

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026
    Kisiwa24Kisiwa24
    • Home
    • Ajira
    • Michezo
    • Makala
    • Elimu
    Kisiwa24
    Home»Ajira»Nafasi Mpya Za Kazi Halmashauri Ya Manispaa Ya Iringa Novemba 2024
    Ajira

    Nafasi Mpya Za Kazi Halmashauri Ya Manispaa Ya Iringa Novemba 2024

    Kisiwa24By Kisiwa24November 20, 2024No Comments3 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Reddit Telegram Email
    Share
    Facebook Twitter LinkedIn Pinterest Email

    Nafasi Mpya Za Kazi Halmashauri Ya Manispaa Ya Iringa Novemba 2024

    Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa anawatangazia Watanzania wenye sifa na nia ya kufanya kazi katika Halmashauri ya Manispaa ya Iringa kuomba nafasi ya kazi iliyotajwa hapo chini, baada ya kupokea kibali chenye Kumb Na. FA. 170/363/01A/116 cha tarehe 25 Septemba, 2024 kutoka kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Menejimenti ya UtumishiwaUmmanaUtawalaBora.

    MHUDUMUWAJIKONIDARAJAII-(NAFASI 4)

    MAJUKUMUYAKAZI

    • Kusafishavyombovya kupikia;
    • Kusafishavyombovyakulia chakula;
    • Kusafishasehemuyakulia chakula;
    • KuwatayarishiaWapishi/Waandazi vifaavya kazi;
    • Kusafishamaeneoya kupikia.

    SIFAZAKUAJIRIWA

    • AweamehitimuElimuyaKidatochaNne(IV)
    • Mwenye cheti cha mafunzo ya mwaka mmoja ya Uhudumu wa Jikoni kutoka katika vyuo vinavyotambuliwa na Serikali

    NGAZIYAMSHAHARA

    • Ngazi ya mshahara ni TGOSA

    MASHARTIYAJUMLAKWAWAOMBAJI

    • Waombaji wote wawe ni Raia wa Tanzania na wenye umri usiozidi miaka 45 isipokuwa kwa wale tu walioko kazini Serikalini;
    • Waombaji wenyeulemavu wanahamasishwa kutu mamaombi na wanapaswa kuainisha kwenye mfumo wa kuombea ajira ulemavu walionao kwa ajili ya taarifa kwa

    SekretarietiyaAjirakatikaUtumishiwa Umma;

    • Waombaji wote waambatishe cheti cha kuzaliwa kilichothibitishwa na Mwanasheria/ Wakili;
    • Waombaji ambaotayarini watumishi wa Umma na wamejipatia sifa za kuingilia katika kada tofauti na walizonazo, wapitishe barua zao za maombi ya nafasi za kazi kwa Waajiri wao na Waajiri wajiridhishe ipasavyo.
    • Waombaji waambatishe maelezo binafsi yanayojitosheleza (Detailed C.V) yenye anwani na namba za simu za kuaminika pamoja na majina ya wadhamini (referees) watatu wa kuaminika.
    • Maombi yote yaambatane na cheti cha taaluma, maelezo, nakala za vyeti vilivyothibitishwa na Mwanasheria/ Wakili ambavyo ni vyeti vya Kidato cha Nne na cheti cha kuhitimu mafunzo ya Uhudumu wa jikoni.

    Waombaji waliosoma nje ya Tanzania wahakikishe vyeti vyao vimehakikiwa na kuidhinishwa na Mamlaka husika (TCU, NECTA na NACTE).

    Waombaji waliostaafishwa katika Utumishi wa Umma hawaruhusiwi kuombai sipokuwa kama wana kibali cha Katibu Mkuu Kiongozi.

    Waombaji kazi ambao tayari ni waajiriwa katika nafasi za kuingilia walioko katika Utumishi wa umma wasiombe na wanatakiwa kuzingatia maelekezo yaliyo katika Waraka Na CAC. 45/257/01/D/140 wa tarehe 30 Novemba, 2010.

    Uwasilishaji wa taarifa na sifa za kughushi wahusika watachukuli wahatua za kisheria.

    Muhimu: Kumbuka kuambatisha barua yako ya maombi ya kazi iliyosainiwa pamoja na vyeti vya elimu

    Maombi yote yatumwe kwenye mfumo wa kielektroniki wa Ajira (RecruitmentPortal) kupitia anuani ifuatayo; https://portal.ajira.go.tz/ (Anuani hii pia inapatikana kwenye tovutiya Sektretarieti ya Ajirak wakuingia sehemu iliyoandikwa‘ Recruitment Portal’).

    Mwisho wa kutuma maombi ya kazi ni tarehe02/12/2024.

    Mapendekezo Ya Mhariri;

    1. Nafasi Mpya 36 Za Kazi Shirika la Uhandisi na Usanifu Mitambo Tanzania (TEMDO) Novemba 2024

    2. Nafasi Mpya 34 Za Kazi Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC)

    3. Nafasi Mpya 40 za Kazi Kampuni ya Angela Peace and Love 

    4. Nafasi Mpya 99 Za Kazi Taasisi Mbalimbali Za Umma Novemba 2024

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleNafasi Mpya 36 Za Kazi Shirika la Uhandisi na Usanifu Mitambo Tanzania (TEMDO) Novemba 2024
    Next Article Majina Walioitwa Kwenye Usaili Chuo Kikuu Cha Ushirika Moshi (Mocu) Novemba 2024
    Kisiwa24

    Related Posts

    Ajira

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026
    Ajira

    NAFASI 33 za Kazi Chuo Cha MUST

    January 3, 2026
    Ajira

    NAFASI 10 za Kazi Halmshauri ya Mji Babati

    January 3, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    Demo
    Top Posts

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202560 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202537 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202537 Views
    Stay In Touch
    • Facebook
    • YouTube
    • TikTok
    • WhatsApp
    • Twitter
    • Instagram
    Latest Reviews

    Subscribe to Updates

    Get the latest tech news from FooBar about tech, design and biz.

    Demo
    Most Popular

    Mfano wa Barua ya Kuomba Kazi ya Sheli

    July 2, 202560 Views

    Link Za Magroup Ya WhatsApp Tanzania 2026

    December 21, 202537 Views

    Jinsi ya kuangalia Namba ya leseni ya udereva

    March 9, 202537 Views
    Our Picks

    Fomu za Kujiunga Kidato cha Kwanza 2026 – TAMISEMI Form One Joining Instructions

    January 4, 2026

    RATIBA Mpya ya Treni Za SGR Dar, Morogoro hadi Dodoma 2026

    January 4, 2026

    NAFASI 07 za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Gairo

    January 3, 2026

    Subscribe to Updates

    Get the latest creative news from FooBar about art, design and business.

    Facebook X (Twitter) Instagram Pinterest
    • Home
    • Buy Now
    © 2026 ThemeSphere. Designed by ThemeSphere.

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.